wadada wa kizazi kipya DRC nani zaidi?

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
5,139
1,139
Kuna watoto wawili ambao wamekua pamoja na kujifunza muziki pamoja na wametoka pamoja huko DRC,mmoja yuko chini Koffi Olomide ambae kwa sasa ni kama mke wake akiitwa Cindy Le Coeur na mwingine yuko chini ya mamaa mokonzi Tshala Muana akiitwa Meje 30,ambae mama Tshala anamuandaa kuwa mrithi wake,hapa kuna video zao ambapo wamejitahidi kunata na biti,je nani katisha?

CINDY CHANTE KOFFI TITRE L'eau L'eau L'eau / DJOMEGABP



MEJE 30 CHANTE ABETI MASIKINI Titre Bade Dans face B / DJOMEGABP
 
Last edited by a moderator:
lol!sauti nyororo viuno nyoronyoro hayo ndio mambo yangu nikiwa napata moja baridi na shemeji yenu huku nasikiliza muziki wataratibu na sauti nyororo kama hizi,asante sana.
 
Kuna watoto wawili ambao wamekua pamoja na kujifunza muziki pamoja na wametoka pamoja huko DRC,mmoja yuko chini Koffi Olomide ambae kwa sasa ni kama mke wake akiitwa Cindy Le Coeur na mwingine yuko chini ya mamaa mokonzi Tshala Muana akiitwa Meje 30,ambae mama Tshala anamuandaa kuwa mrithi wake,hapa kuna video zao ambapo wamejitahidi kunata na biti,je nani katisha?


CINDY CHANTE KOFFI TITRE L'eau L'eau L'eau / DJOMEGABP - YouTube




MEJE 30 CHANTE ABETI MASIKINI Titre Bade Dans face B / DJOMEGABP - YouTube


..Thank you for this post; hawa mabinti kwa sasa ndio kizazi kipya cha wanamuziki wa kike wa congo. binafsi nawakubali wote, meje 30 ana sauti nzuti na anafuata nyayo za Tshala Muana vizuri tu, na Cindy nae anatisha.....ingia google andika Cindy chante Koffi Zenith utaona show aliyofanya na Koffi Zenith, France was awesome! Tatizo critics wanasema Cindy anaimba nyimbo za Koffi ndio zinambeba wanampa changamoto atunge au aimbe nyimbo zake watu waone ubora wake
na upload video zao wote wawili soon
 
Lakini nyie mnabisha je mnajua walitokea wapi hawa watoto?hebu angalieni hii video kwa makini kama hamkulia na koffi kukabaka haka ka cindy,kwenye hii video mtawaona wote wawili wakiwa wadogo,cindy kulia kabisa na gauni ya rangi ya maziwa flani hivi,meje kushoto na blauzi nyeusi juu chini suruali white,katikati yao wenzao wengine wawili.Hapa walikua wanaimba kuhusu ukimwi na groupe yao ya mtaani enzi wakiwa makinda.kweli watu wanabadilikaga jamani lol,sasa hivi "walivyooga" huwezi amini kama ni wao!

Cindy Le Coeur et Meje30 chantent Sida avec leur groupe Wassa
 
Last edited by a moderator:
sikilizeni hii fimbo ya Bakandja toka kwa Meje 30!naona hii inaweza kuwa ni fimbo ya ushindi kwa wapenzi wa meje au vipi?


Mege 30 - Fimbo ya Bakandja
 
Last edited by a moderator:
Najuta kutoifungua mapema hii thread leo,lol!cindy kwenye video ya kwanza nimeisikiliza vizuri sana kuna maneno anayasema kuhusu yeye na mumewe koffi ameyachomekea vizuri sana nimeyapenda naona mpaka washabiki wakaomba arudie,pale anapoimba hivi:

"nzoto na ngai le coeur elengi na nga mopao,nzoto na ngai le coeur elengi na nga mokonzi,nzoto na ngai le coeur elengi na nga quadra kora man"
 
...Kim Kardash naona wewe namba moja yako ni Meje30; binafsi namkubali zaidi (lakini pengine niko biased kwa sababu naturaly nazimia wanawake wenye extra flesh).....
 
Najuta kutoifungua mapema hii thread leo,lol!cindy kwenye video ya kwanza nimeisikiliza vizuri sana kuna maneno anayasema kuhusu yeye na mumewe koffi ameyachomekea vizuri sana nimeyapenda naona mpaka washabiki wakaomba arudie,pale anapoimba hivi:

"nzoto na ngai le coeur elengi na nga mopao,nzoto na ngai le coeur elengi na nga mokonzi,nzoto na ngai le coeur elengi na nga quadra kora man"


..kama ukisikiliza huu wimbo halafu ukasikiliza FM Academia wimbo wa Utamu wa vanilla utagundua Nyoshi na jamaa zake wanatuibia; Huu wimbo wa L'eau L'eau L'eau ni wa Koffi hapa Cindy kaurudia tu, kwa tafsiri ya moja kwa moja L'eau (kifaransa) ni maji lakini for sure Koffi hazungumzii maji ya bomba hasa kwa kuwa pia anataja utamu/raha (elengi)sasa jamaa wa FM Academia nao wanaimba utamu wa hivi hivi lakini kwa kiswahili na kuchomeka maneno yao machache.
 
..kama ukisikiliza huu wimbo halafu ukasikiliza FM Academia wimbo wa Utamu wa vanilla utagundua Nyoshi na jamaa zake wanatuibia; Huu wimbo wa L'eau L'eau L'eau ni wa Koffi hapa Cindy kaurudia tu, kwa tafsiri ya moja kwa moja L'eau (kifaransa) ni maji lakini for sure Koffi hazungumzii maji ya bomba hasa kwa kuwa pia anataja utamu/raha (elengi)sasa jamaa wa FM Academia nao wanaimba utamu wa hivi hivi lakini kwa kiswahili na kuchomeka maneno yao machache.
Yap ni kweli cindy kaurudia,fm academia mbona wanatuibia mara nyingi mzee,wote tu hawa wa congo wa dar,wanachofanya ni kuzitafuta mapema cd za live concerts za hawa jamaa then wao fm na wengine wanazifanyia mazoezi na kurekodi fasta kabla hata wenyewe hawajaingia studio wakiwa bado wanazicheza tu live kwenye steji,ndio maana wasiofuatilia na kuujua muziki wa congo sawasawa sometimes wanakwambia eti wacongo ndio wanawaiga fm na wazaire wengini wa bongo!wizi mtupu.Mfano mzuri ni ule mtindo wa samaki ana vipande vingapi ambao kina nyoshi walikopi kutoka kwa jb mpiana na mtindo wake wa "LOPELEE" (mkia wa samaki),wao walichofanya ni kuingia studio na kurekodi haraka wakati jb bado anaupiga kwenye masteji,baadae alipokuja jb kuurekodi wasiojua wakadahni eti jb kawaiga jamaa na kuna watu mpaka leo huwabadilishi katika hilo,anayway ni kutokujua tu,hata sasa huu mtindo wa jb mpiana "mpunda" kuna bendi hapa bongo zimeshaanza kuufanyia mazoezi ili zirekodi,na mingine kama liboko,rotarota,biloko n.k.tunachezeshwa sana na kina nyoshi na kuamini ni yao kumbe wanaiga tu jb ndio yake na ataierekodi mwisho wa mwaka huu itakuwemo kwenye album ijayo baada ya hii ya sayons serieux iliyoko sokoni yenye mtindo wa "amataka na mpunda"

ANGALIENI STYLE WANAZOCHEZA WENGE BCBG YA JB MPIANA HAPA HALAFU MNAOENDA FM ACADEMIA MNIAMBIE KAMA HAMJAONA KINACHOFANANA NA KINACHOONEKANA HAPA KWA JB MPIANA.

http://www.youtube.com/watch?v=OSMDDOOFoNQ&feature=related
 
...Kim Kardash naona wewe namba moja yako ni Meje30; binafsi namkubali zaidi (lakini pengine niko biased kwa sababu naturaly nazimia wanawake wenye extra flesh).....
Kweli kabisa kaka namkubali sana Meje kuliko cindy.

Kwa wale wapenzi wa viuno vya mutuashi kama mimi mnakikumbuka kiuno bora barani afrika enzi hizo toka kwa MAMAA MOKONZI TSHALA MUANA?Hiki hapa leo kinaletwa kwenu na Meje 30,usibabaishwe na mwili mkubwa subiri mambo,maana kuna pahali viatu vitawekwa pembeni....na kuacha kiuno kifanye kazi yake

MEJE 30 & TSHALA MUANA 6 EN HD LIVE A PARIS / DJOMEGABP - YouTube
 
..Thank you for this post; hawa mabinti kwa sasa ndio kizazi kipya cha wanamuziki wa kike wa congo. binafsi nawakubali wote, meje 30 ana sauti nzuti na anafuata nyayo za Tshala Muana vizuri tu, na Cindy nae anatisha.....ingia google andika Cindy chante Koffi Zenith utaona show aliyofanya na Koffi Zenith, France was awesome! Tatizo critics wanasema Cindy anaimba nyimbo za Koffi ndio zinambeba wanampa changamoto atunge au aimbe nyimbo zake watu waone ubora wake
na upload video zao wote wawili soon

Pia ni kweli kabisa Cindy anabebwa na nyimbo za koffi zaidi,angalau meje ameweza kuimba nyimbo zake mwenyewe na pia kushirikiana na watu kama Fally na akafanya uzuri tu pia hiyo fimbo ya bakandjaa nilikua sijaisikia lakini utaona ni wimbo mzuri sana ambapo ameshirikiana vizuri na mwalimu wake mamaa tshala muana.Pia kuna wimbo huu wa kampeni alimtungia rais kabila kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa congo.
Meje30 CHANTE PRESIDENT JOSEPH KABANGE KABILA (clip exclusivite) - YouTube
 
Yap ni kweli cindy kaurudia,fm academia mbona wanatuibia mara nyingi mzee,wote tu hawa wa congo wa dar,wanachofanya ni kuzitafuta mapema cd za live concerts za hawa jamaa then wao fm na wengine wanazifanyia mazoezi na kurekodi fasta kabla hata wenyewe hawajaingia studio wakiwa bado wanazicheza tu live kwenye steji,ndio maana wasiofuatilia na kuujua muziki wa congo sawasawa sometimes wanakwambia eti wacongo ndio wanawaiga fm na wazaire wengini wa bongo!wizi mtupu.Mfano mzuri ni ule mtindo wa samaki ana vipande vingapi ambao kina nyoshi walikopi kutoka kwa jb mpiana na mtindo wake wa "LOPELEE" (mkia wa samaki),wao walichofanya ni kuingia studio na kurekodi haraka wakati jb bado anaupiga kwenye masteji,baadae alipokuja jb kuurekodi wasiojua wakadahni eti jb kawaiga jamaa na kuna watu mpaka leo huwabadilishi katika hilo,anayway ni kutokujua tu,hata sasa huu mtindo wa jb mpiana "mpunda" kuna bendi hapa bongo zimeshaanza kuufanyia mazoezi ili zirekodi,na mingine kama liboko,rotarota,biloko n.k.tunachezeshwa sana na kina nyoshi na kuamini ni yao kumbe wanaiga tu jb ndio yake na ataierekodi mwisho wa mwaka huu itakuwemo kwenye album ijayo baada ya hii ya sayons serieux iliyoko sokoni yenye mtindo wa "amataka na mpunda"

ANGALIENI STYLE WANAZOCHEZA WENGE BCBG YA JB MPIANA HAPA HALAFU MNAOENDA FM ACADEMIA MNIAMBIE KAMA HAMJAONA KINACHOFANANA NA KINACHOONEKANA HAPA KWA JB MPIANA.
JB MPIANA & WENGE BCBG SEBEN °° BILOKO °° LIVE FIKIN 2011 - YouTube
...Mkuu naona uko deep; kwa sasa ngoma ya kicongo nayoizimia ni Mpunda; JB ni bonge la entertainer!
 
sikilizeni hii fimbo ya Bakandja toka kwa Meje 30!naona hii inaweza kuwa ni fimbo ya ushindi kwa wapenzi wa meje au vipi?


Mege 30 - Fimbo ya Bakandja


kweli hii fimbo kaka,dada ana sauti nzuri sana sikumfahamu kabla thanx for this video,huyu dada viatu vya tshala muana vitamtosha tu hakuna shaka.
 
Last edited by a moderator:
...Mkuu naona uko deep; kwa sasa ngoma ya kicongo nayoizimia ni Mpunda; JB ni bonge la entertainer!

Mkuu hakuna ngoma inayoitwa mpunda bali mpunda(farasi)ni style iliyoanzishwa na kutumiwa na jb mpiana na wenge bcbg yake katika albu ya mwisho iliyotoka mwaka jana katikati iitwayo sayon serieux kama alivyobainisha mdau hapo juu.Kiukweli hiyo style imewashika sana wacongo man,habari nzuri kwa wabongo hasa wale ma bcbgque(wapenzi wa bcbg)kuna taarifa za ujio wa jb mpiana tanzania muda si mrefu kutoka sasa kama mambo yataenda sawa.

Hii hapa ni video ya jb mpiana na bendi yake huko Paris alipokwenda kuitambalisha mpunda kwa bana poto(watoto wa ulaya)

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom