Hii riwaya nmeisoma mda c mrefu na jina limenitoka ila ni kisa cha mdada jack na mumewe caros wakitaka kuiba benk naiomba hii mwenye nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo hii nimepigiwa simu asubuhi na mazungumzo yalikuwa kama hivi:
0688564622: Hello Habari
Mimi: Nzuri, Habari ya kwako
0688564622: Mimi ni wakala wa Vodacom Mpesa hapa dar es Salaam
Mimi: Ok...
MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI.
SIMU: 0718 069 269.
MAHALI: DAR ES SALAAM
KAHABA KUTOKA CHINA 1
‘Nisikilize Rose. Unataka niseme nini ili ujue kwamba nakupenda? Unataka nifanye nini ili ujue...
Ijapokua wengi hua wanapata taabu sana kumuelewa Mrisho Mpoto lakini hakuna atakaebisha kua jamaa anaitendea haki fasihi, hebu sikilizeni huu wimbo wake mpya halafu mlete mrejesho. kiiitendwiiiili
Kila nikisikikiliza zilipendwa ya Mond na seduce me ya Kiba then nkihusianisha na comments za watu mtandaoni nashindwa kuelewa kama me nimedownlod nyimbo tofaut na zenu au sikio langu limepinda...
Huu ni wimbo wa bongofleva ambao nilitokea kuupenda sana ila umenitoka kidogo, una mashairi haya; Nilimfukuza mpenz wangu eti kwa sababu ya bintii, nilimfukuza wangu moyo eti kwa sababu ya bintii...
EP.01
Kaka yangu Denisi alikuwa ni dereva wa magari ya mikoani. Kupitia kazi yake hiyo, aliweza kujenga nyumba kubwa ya kifahari na mke wake ila hawakuwahi kupata mtoto kwa muda wa miaka minne...
NYEMO CHILONGANI.
UTAJIRI WENYE UCHUNGU.
Sehemu ya Kwanza.
“All people who live at the beach have to leave immediately because tsunami will come. Once you hear this announcement, tell your...
Emancipate yourselves from mental slavery none but ourselves can free our minds, have no fear for atomic energy, cause none of them can stop the time, how long shall they kill our prophets, while...
Verse yake iko hv
'Kazi yao yote ua bure, sasa wanaona ubaya
Sisi sasa nawashambulia, wasijue hata lakufanya
Jeuri yao wote sasa, imekwisha kabisa leo
Kucheza na miziki ya watu,sasa wamekwisha...
Nimekuwa nikivutiwa sana na uimbaji wa hawa jamaa kwny huu wimbo na video yake ambayo sichoki kuitazama.mwenye lyrics za huu wimbo aweke hapa tafadhal maana nmetafuta sana ktk source nyingi bila...
Kwa wale wapenzi wa miziki. Kuna online radio wanacheza miziki balaa. www.colorsconnectradio.com hata huhitaji kuwa na miziki kwenye simu yako hiyo radio ni tosha. Hamna hata matangazo. Ni miziki tu.
Nyota wa mpira wa vikapu nchini Marekani LeBron James amewapongeza wachezaji wa ligi ya soka ya Marekani NFL ambao wamefanya mgomo dhidi ya rais Donald Trump na kumtuhumu rais huyo wa Marekani kwa...
Kati ya wimbo "Kapu" wa Juma Bhalo na "Bunduki bila Risasi" wa Shakila ni wimbo gani ulishida kwa mipasho?
Kapu (huu uliimbwa na Juma Bhalo, siyo Mohammed Mrisho kama ilivyoonyeswa kwenye video...
Baada ya kuwa mtoto niliyekataliwa na ndugu zangu wote mjini, sikuwa na kwingine kwa kwenda zaidi ya kuanza kufikiria kutorokea mtaani.
Kila mahali nilipodhani naweza kupata msaada ilishindikana...
Salaaam wakuu wa JamiiForums,
Tarehe 10/12/2023 kulikuwa na uzinduzi wa taasisi ya professorjay foundation ambayo lengo lake kuu ni kukusanya michango kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa figo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.