Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Leo hii nimepigiwa simu asubuhi na mazungumzo yalikuwa kama hivi:
0688564622: Hello Habari
Mimi: Nzuri, Habari ya kwako
0688564622: Mimi ni wakala wa Vodacom Mpesa hapa dar es Salaam
Mimi: Ok unasemaje
0688564622: kuna mama anaitwa Neema Tosha ametuma hela kimakosa imeingia kwako, amekosea namba 1 tu.
Mimi: katuma sh ngapi
0688564622: sh 88,000 umeiona?
Mimi: Bado sijaangalia sms kwenye simu,
0688564622: Lakini simu yako si ina MPESA
Mimi: Kwanini unataka ujue kuwa simu yangu ina MPESA
0688564622: ………………..(kapotezea na kukata simu haipatikani tena).
0688564622: Hello Habari
Mimi: Nzuri, Habari ya kwako
0688564622: Mimi ni wakala wa Vodacom Mpesa hapa dar es Salaam
Mimi: Ok unasemaje
0688564622: kuna mama anaitwa Neema Tosha ametuma hela kimakosa imeingia kwako, amekosea namba 1 tu.
Mimi: katuma sh ngapi
0688564622: sh 88,000 umeiona?
Mimi: Bado sijaangalia sms kwenye simu,
0688564622: Lakini simu yako si ina MPESA
Mimi: Kwanini unataka ujue kuwa simu yangu ina MPESA
0688564622: ………………..(kapotezea na kukata simu haipatikani tena).