Eliawinga 4really
Member
- May 23, 2015
- 53
- 2
Nibalaa..Lazima uoe mtu unaweza mmudu sio kwa stail hii..Ni too much.Kabla ya kumtokea demu huwa najitizama umbo langu uzuri nina tambo zuri tu ila nawashauri wanamume wenzangu mzingatie tambo mke ana uzito wa 90 weye una 45 hata ujazo wa mfuko wa dongo ulaya hujafika ukaparamie hulk hogan kama huyu