Baada ya kipindi kirefu watu wakilalamika kua instagram inaongoza kwa kunyonya mb nyingi hivyo vifurushi kuisha mapema, sasa vodacom wameamua instagram iwe free kama facebook
Utaipata huduma ya...
Habar wana jamvi
Kwanza niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.Nchi hii naona ina promote ushoga kupitia tamthiliya zake kama THE PROMISE,kuna jamaa anaitwa Takong linavaa nguo za...
Mimi Ni mpenzi mkubwa Sana WA muvi za mapenzi..zipo nyingi nzuri..but ninazo zipenda Sana Ni The Notebook,a walk to remember,dear John..40 and the first date..just go with it.shrek...
Huyu mama Mbilia Bell staili yake ya uimbaji, sauti, mwonekano wake (sura na shepu), huwa ananiacha hoi kweli.
Hasa vibao vyake vya Boyaye, Nadina, Nakeyi Nairobi na Ekoswai wapi huwa navihusudu...
Umofia
Haya ni baadhi ya Matamasha nayotamani sana kuja kwenda yashuhudia Tanzania. Na hizi ni long term goals za miaka 3 ijayo nilizojiwekea lazimma nije hudhuria matamasha yake:
Zanzibar...
Siku hizi mashabiki na wapenzi wa nyimbo za wasanii tofauti tofauti nchini na hata nchi za ughaibuni kumekuwa na tabia ya kupendelea kutizama video zaidi kuliko kusikia maneno yanayoimbwa katika...
Simba hapa inakuwaje na hii national anthem uliyotoa.Naona kuna clean version,vevo na ile ya watu wazima nini tatizo team wcb wenzangu.Mbona views vevo zajikongoja ili hali huku you tube views...
Katika historia ya muziki wetu Tanzania kumekuwepo album nyingi mno hasa kipindi cha miaka 15 iliyopita ambapo bado album za wanamuziki zilikuwa na soko kubwa hapa Tanzania.
Nafahamu album...
Uyu jamAa huenda akawa ana tumia ndumba maana haiwezekani jamaa tangu tulipo anza sema atapotea soon lkn wapi stl jamaa yuko na anaongoza kwa Ku hut
Ona kina darasa, man fongo, alikiba, Mr blue...
Leo kwa Mara kwanza nimepata fursa ya kuangalia Tamthilia ya "Huba" Kwa Kell wanajitahidi sana na wanastahili pongezi!
Lakini kuna jambo moja wanatakiwa mbele ya safari walirekebishe. Kuna...
Kwanza nitoe rai kwa Basata na TCRA hii video ndani ya wiki isionekane hewani ni kinyume kabisa na maadili ya mtanzania
Na pia video zote kutoka nje zisizo na maadili ya nchi yetu zipigwe...
SEHEMU YA 1
A. NINAITWA MTUMISHI PAPA
Mtumishi Papa:
Penny wewe unapenda stori jaman sijakuona sikunyingi ujue!
Money Penny: basi tukasalimiana hapo wee tukajikumbushia ya zamani akyanani...
HADITHI FUPI:
Meriana ni msichana mrembo na mwenye mafanikio makubwa Kwa nje.. kuna siku alitamani kula mayai akaamua kwenda Mtaani kwao nyuma kidogo...Malongwe Kwa mzee Kanyimbi amabae ni...
Huyu jamaa amejiwekea desturi sikuhizi kutoa nyimbo baada ya karne nzima,utadhani hana mashabiki ukimilinganisha na mpinzani wake, anajitahidi kutoa nyimbo na aim yake kubwa ni kutoa nyimbo ambayo...
Asante daimond kwa nyimbo hii kali sana..acha waendelee kubana mapimbi wale.
but hii age restricted iondoeni kwenye youtube siyo nzuri.
naona hii beat kijana Laizer hajausika hapa tafadhali sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.