New song: Diamond ft Omarion African Beauty

New song: Diamond ft Omarion African Beauty

chipa GM

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
1,817
Reaction score
2,976
Asante daimond kwa nyimbo hii kali sana..acha waendelee kubana mapimbi wale.

but hii age restricted iondoeni kwenye youtube siyo nzuri.
naona hii beat kijana Laizer hajausika hapa tafadhali sana Dada shonza kufungia miziki ya nyumbani alafu za kina beyonce mnaachia siyo acha vijana wapate mkate wao.


Japo hii nyimbo tamu sana..but baila baila ile nyimbo nimeipenda sana..ikiachiwa ile nadhani tunyimbo tote twa kibongo tutapoteana..


baila baila baila
 
Penzi twalipamba ngonjeraaaa...
Huba kama Tanga Segeraaaa,kwa viuno vya baikokooo kutoka Manza Bay...
Picha twazitwanga kiselaaaa,post insta wanga kuwakeraaaa..!

Ahahaaaaaaaaaaah...
Huyu bwana sijui anaokotaga wapi maneno yake..!

Ila Krizbeatz kaumiza sana kwenye hii hii beat..!!!
 
Penzi twalipamba ngonjeraaaa...
Huba kama Tanga Segeraaaa,kwa viuno vya baikokooo kutoka Mwanza Bay...
Picha twazitwanga kiselaaaa,post insta wanga kuwakeraaaa..!

Ahahaaaaaaaaaaah...
Huyu bwana sijui anaokotaga wapi maneno yake..!

Ila Krizbeatz kaumiza sana kwenye hii hii beat..!!!
Beat imetendewa haki zote stahiki
 
Asante daimond kwa nyimbo hii kali sana..acha waendelee kubana mapimbi wale.

but hii age restricted iondoeni kwenye youtube siyo nzuri.
naona hii beat kijana Laizer hajausika hapa tafadhali sana Dada shonza kufungia miziki ya nyumbani alafu za kina beyonce mnaachia siyo acha vijana wapate mkate wao.
Haya si ndo aliyoyakataa Juliana Shonza haya, and kuonyesha nayebni Coward ame age restrict hiyo video. Ngoja Juliana aamke
 
Wale mabingwa wa kufukingia sidhani kama wataiacha hii salama.
 
Ahahaaaah...
WAKUDA wameshaireport video..!
Wanapunguza na kasi ya views..!
Maana Mswahili hawezi kuelewa hayo mambo ya age verification..!
Haha mkuu restrictions noma mi kuna video yangu ilikuwa ya kawaida sana nika upload siku tano za kwanza ikawa suggested na kupata views kama 80k na subscriber zaid ya 300 siku mbili.Siku ya 3 naambiwa wakuda wame i flagg so Youtube wamage restrict.Baada ya hapo video ina mwezi imeokota view hawafiki mia imeganda pale pale 80k viewa
 
Rommy Jones anarusha picha ya ex wa cousin wake na kuandika ni African Queen..
Yaani hata MKE wake sio African Queen kwake.. eeeh
Kweli Zee aliwapiga cha uso..
 
Hu
Asante daimond kwa nyimbo hii kali sana..acha waendelee kubana mapimbi wale.

but hii age restricted iondoeni kwenye youtube siyo nzuri.
naona hii beat kijana Laizer hajausika hapa tafadhali sana Dada shonza kufungia miziki ya nyumbani alafu za kina beyonce mnaachia siyo acha vijana wapate mkate wao.

Huyu jamaa inaonekana mademu wa Tanga walimkosha sana,wimbo wa pili huu anasifia mapenzi ya Kitanga,ya kwanza Fire "Tanga kunani vurugu mechi mkwakwani...Msambaa Chumbani mtoto hofari wa ......" Huu ndao Tanga segera viuono toka Manza Bay hahahhahahahhaaa Tanga raha.
 
QUOTE="LAPTOP2016, post: 26225150, member: 394175"]We julliana kakojoe ulale.....................[/QUOTE]
Nanilivyo na mud nzuri......usitake ban inuhusu kwasababu ya ungese wako.
 
Back
Top Bottom