Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,556
- 14,302
Wakuu tusaidiane kutungs nyimbo yenye jina hilo juu. Ikiwa tayari tutanunua beats za nyimbo ya Diamond " The one"
Mie naaanza hivi
Wacha waseme , wacha waseme wacha wasemeeee.
Wapambe wamezoeaa
Kila kitu kukosoaa
Leo umekuwa wangu wanasemaa
Jana sikuwa na ubavu wangu wakasemaa
Siwajali najilia vyangu
Najivunia kuwa na wewe ubavu wangu
Na wakitaka kuendelea kusemaa..... wacha wasemee
Chorus
Wacha waseme , wacha waseme , wacha wasemeeee
Mie naaanza hivi
Wacha waseme , wacha waseme wacha wasemeeee.
Wapambe wamezoeaa
Kila kitu kukosoaa
Leo umekuwa wangu wanasemaa
Jana sikuwa na ubavu wangu wakasemaa
Siwajali najilia vyangu
Najivunia kuwa na wewe ubavu wangu
Na wakitaka kuendelea kusemaa..... wacha wasemee
Chorus
Wacha waseme , wacha waseme , wacha wasemeeee