Tanzania Hatuna Madison Square

Tanzania Hatuna Madison Square

Tumbo Tumbo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
1,278
Reaction score
1,556
Wakuu Habari Ya Uzima, Nina Wazo Moja, Tanzania na Dar es Salaam Hatuna Ukumbi Mkubwa Wa Kufanyia Matamasha Makubwa Hasa Burudani Mbali Mbali Kuchukua Nafasi Ya Leaders Club.
.
Sasa Wadau wa Burudani na Sanaa wakiongozwa na BASATA Ikiwapendeza kwa Nn wasikae na Serikali uwapatie eneo popote ikiwezekana kigamboni au mbagala anbapo utajengwa ukumbi ambao utakuwa ni MADISON SQUARE ya Tanzania.
....
Patajengwa kila kitu kinachohusu Sanaa na Burudani zote za kitaifa na kimataifa. SANAA NA BURUDANI NI KIWANDA KIKUBWA SANA CHENYE UTAJIRI NA AJIRA NYINGI.
.....
HIVYO KIWANDA HIKI KITAPATA SEHEMU NZURI YA KUFANYIA KAZI SHUGHULI HASA WORLD CLASS STAGE PERFORMANCE MIAKA YOTE KATIKA UKUMBI WA KISASA.
....
Linaweza kujengwa kwa partnership kati ya serikali kupitia BASATA na Mwekezaji yeyote, Mfano Wachina au Wakorea hasa kupitia cultural institutions zao..... I humbly Submit [emoji120]
 
Madison square mbona ipo tabata [emoji41]
 
Back
Top Bottom