Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Bonge la song kwa sisi wanaume mabahiri na tusiokua na hela za kuhonga.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Guys mambo niaje. Ebu tuwekane sawa kidogo hivi kati ya Starboy Wizkidayo na Davido nani zaidi katika nyanja ya muziki.
0 Reactions
0 Replies
948 Views
habarini wanajamvi natumai niwazima waafya.kwmudamrefu nimekuwa nikitafu wimbo wasanura ulioimbwa na marehemu tongolanga.naomba jamani mwenye nao anitumie. Naupenda sana
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Oohhooo it's me agaaain! Comrade kipepe mzee wa nyika, KING OF THE JUNGLE! Leo teeeena nipo mitamboni hapa jf kwenye moja na mbili! Nateleeeeza kama nawinda swala Hahaaha ebanaeeeee! Leo mzee...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Mwenginewe hachomozi nakupenda pekeyako... Daima nitakuenzi.... dawa yangu sauti yako... Nikikupa tabasamu, wanipa utamu.... basi moorooroo... πŸ˜‡ Alnuru Dadii πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wakuu,Hope weekend inaenda poa....Hivi kuna anayejua hii movie Girlfriend waloigiza akina TID,JayMoe,Monalisa wapi inapatikana maana iliyopo YouTube kuna baadhi ya vipande havina sauti...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Najua kwahakika mmekufa kiume
0 Reactions
1 Replies
574 Views
Jamani ni tamthilia ya kichina na imetafsiriwa kwa kiswahili ni tamthilia nzuri sana na inafundisha sana, inaonyeshwa channel ya star swahili ndani ya star times jtatu hadi ijumaa kuanzia saa 12...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Mimi nina uwezo wa kuandika hadithi nzuri, ninachohitaji ni jinsi ya kuwakilisha kazi zangu kwa wasomamaji na kingine ni mwandishi wa hadithi ananufaika vipi na kazi zake.nahitaji msaada wenu...
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Aisee kuna jamaangu alikuwa anachezeaga fimbo kinoma noma , unakuta kila ticha akiingia tu akitoa kazi analoooo Hebu tukumbushane chanzo ni nini?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wale wazee wa jamvi natoa game za kimataifa head to head niulize game yoyote nikupe mchambuo wote na pia ushauri natoa kwa wale wanao tandika jamvi........karibu tushinde
0 Reactions
1 Replies
560 Views
Huu wimbo uwa hauchuji masikion mwangu kwangu ni kati ya nyimbo nzuri zenye ujumbe wenye hisia ukiachilia mbali hayakuwa mapenzi wa sugu. Kipindi unatoka chid alikuwa chini ya jagged records...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Gwiji la matopeni wavaa njano na kijani JPM limeamua kuingia rasmi kwenye mziki kwa madai unalipa zaidi Juma pondamali mensah(JPM) ni mojawapo ya majina maarufu sana nchini danganyika Ikiwa ni...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanabodi, Mimi ni mshabiki wa tamthilia za ITV Tangu imeanzishwa, walianza na "Egoli" Place of Gold, ndipo wakaja na "Isidingo" The Needy. Kitu ambacho ITV imejijengea heshima kubwa, ni ile...
18 Reactions
43 Replies
8K Views
: BINTI KIPOFU Sehemu:01 Mtunzi: Salma Rashid Walionekana wafanyakazi walioweza kuvalia gauni nyeupe fupi wakijipanga mstari katika jumba Kubwa la kifahari kuelekea mlangoni. "Madam anakuja...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
1. UGONJWA UNAOUA Hadithi hii inamuhusu kijana Fredinho Piscus. Alikuwa miongoni mwa vijana walioishi katika Mtaa Complexo da Mare, moja ya mtaa wa kimasikini uliokuwa katika Jiji la Rio de...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nipo na feitoto, mwenye swali lolote atupie niwasaidie kumwuliza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Alfajiri imefika anga inang'aa mvua inaanza katika ghafla tumbo la njaa naweka sauti kwa spika nipate umbea wa dar mara simu inaita jina la anko twaha akisema, mama yu hoi kitandani kama si wa leo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rank & Title IMDb Rating Your Rating 1. The Shawshank Redemption (1994) 9.2 2. The Godfather (1972) 9.2 3. The Godfather: Part II (1974) 9.0 4. The Dark Knight (2008) 9.0 5. 12...
8 Reactions
117 Replies
20K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…