mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Jul 17, 2019 #1 Aisee kuna jamaangu alikuwa anachezeaga fimbo kinoma noma , unakuta kila ticha akiingia tu akitoa kazi analoooo Hebu tukumbushane chanzo ni nini?
Aisee kuna jamaangu alikuwa anachezeaga fimbo kinoma noma , unakuta kila ticha akiingia tu akitoa kazi analoooo Hebu tukumbushane chanzo ni nini?
Khantwe JF-Expert Member Dec 20, 2012 59,410 119,112 Jul 17, 2019 #2 Halafu yanayoandikia kushoto yanakuwaga na akili sana
mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Jul 17, 2019 Thread starter #3 Khantwe said: Halafu yanayoandikia kushoto yanakuwaga na akili sana Click to expand... Wa zamani walichezea kichapo cha mbwa koko
Khantwe said: Halafu yanayoandikia kushoto yanakuwaga na akili sana Click to expand... Wa zamani walichezea kichapo cha mbwa koko
Humorous Junior JF-Expert Member Jul 19, 2018 1,598 1,408 Jul 17, 2019 #4 Khantwe said: Halafu yanayoandikia kushoto yanakuwaga na akili sana Click to expand... Nakwepa hiyo,
mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Jul 18, 2019 Thread starter #5 Humorous Junior said: Nakwepa hiyo, Click to expand... Mara nyingi inakuwaga hivyo mkuu!
Humorous Junior JF-Expert Member Jul 19, 2018 1,598 1,408 Jul 18, 2019 #6 mbere said: Mara nyingi inakuwaga hivyo mkuu! Click to expand... Inawezekana, Dunia kubwa hii,
M Man to the k Member Feb 23, 2019 11 16 Jul 19, 2019 #8 samua said: Mashoto tunapata tabu sisi Click to expand... Zilkua imani potofu hizoo
skate-board JF-Expert Member Aug 22, 2018 489 575 Jul 19, 2019 #9 Mdogo wangu wa kike alipigwa sana na bimkubwa, ila saivi anatumia mkono wa kulia kwa kuandika tu ila kaz zingine zooote anafanya na mkono wa kushoto
Mdogo wangu wa kike alipigwa sana na bimkubwa, ila saivi anatumia mkono wa kulia kwa kuandika tu ila kaz zingine zooote anafanya na mkono wa kushoto