gemplatnumz
Senior Member
- Jan 24, 2017
- 133
- 371
: BINTI KIPOFU
Sehemu:01
Mtunzi: Salma Rashid
Walionekana wafanyakazi walioweza kuvalia
gauni nyeupe fupi wakijipanga mstari katika
jumba Kubwa la kifahari kuelekea mlangoni.
"Madam anakuja kila mtu akae vizuri"
alizungumza mmoja wa wafanyakazi hao
akiwatahadharisha wenzake ambao na wao
walianza kujiweka vizuri kwa kutengenezea tai
zao. Hapo hpo liliingia kundi la wanaume saba
walioweza kujigawa katika magari matatu
yaliyoweza kuwapo eneo lile.
Vilisikika viatu vilivyokuwa vikitoka ndani ya
jumba lile Kubwa la kifahari wote waliinama chini
ishara ya kutoa heshima alitoka mwanamama
mmoja aliyeweza kuyavalia miwani yake baada
tu ya kujitokeza mbele ya wafanyakazi wake.
Aliirudishia pochi yake vizuri mkononi kisha
akaanza kupiga hatua za kuelekea mahali magari
yalipo. Akiwa anaelekea huko alisimama baada
ya kuhisi ya kuwa kuna mtu anakuja nyuma yake.
Aligeuka nyuma na hapo aliweza kukutana na
mkono wa kiume uliokuwa ukilikunja shati lake
vizuri mkononi na kutengenezea saa yake vizuri
mkononi.
Adrian aliita mwanamk yule ambye makamo yake
yalionekana kusogea mbele.
Adrian alitabasamu kisha alipoweza kufika karibu
naye alimpiga busu la mdomo.
"Umeamkaje kipenzi changu Vanessa?? Aliweza
kuuliza Adrian ambye kwa umri alionao
hakupaswa kumuita Vanessa kipenzi bali mama
au aunt.
Walishikana mikono na kuelekea mahali magari
yalipo Adrian alitaka kuingia gari la kwanza lakin
watumishi waliweza kumzuia.
'Kwanini mnanizuia kupanda??! Aliuliza kwa sauti
ya ukali sana hadi kumfanya Vanessa ashuke
kwenye gari aliloweza kulipanda.
" kuna shida gani hapo??? Aliuliza Vanessa.
Mtumishi mmoja alitoa heshima kisha akaanza
kuzungumza.
"Madam Tropina amesema leo atapanda gari hili
kwahiyo boss Adrian hatopanda gari hili Leo"
"Hivi huyo kipofu ananitafutia nini Mimi?? Hajui
ya kuwa Mimi ndiye Baba mwenyenyumba hii"
"Nyumba ipi hiy? Ilisikika sauti laini na ya
utaratibu na kwa sauti ya juu ikiuliza swali hilo
Vilionekana viatu vyekundu simple vilivyowezwa
kubebwa na suruali nyeupe chini iloyoweza
kupanda hadi kiunoni, kiuno hicho kiliku kilikuwa
chembamba kilichoikaa vyema suruali hiyo shati
jekundu lililoweza kuchomekewa ndani ya suruali
hiyo nyeupe.
Adrian alimtizama juu mpaka chini kisha akakosa
neno la kuongea juu yake.
Tropina aliweza kupiga hatua hadi kufika pale
Adrian alipo.
"Mwambie mama yako akununulie gari la
kuzurura nalo mtahani lakini siyo utumie gari la
pesa aliyoweza kuitafuta Baba yangu
alizungumza Tropina kisha akaufungua mlango
wa gari kwa nguvu na kumgonga Adrian pajani
ambako alianza kugutaguta kwa maumivu
aliyoweza kuyapata huku akishika paja lake gari
liliwashwa na hatimaye aliweza kuondka zake.
Vanessa aliweza kwenda kumkimbilia Adrian na
kumpa pole huku akijaribu kumgusa gusa na
kutizama gari aliloweza kuondoka nalo Tropina.
Adrian aliyauma meno yake kwa hasira huku
akiona kabisa ya kuwa Tropina anamfanyia
dharau na makusudi.
Alirudi ndani kwa hasira sana huku nyuma
akifuata na Vanessa. Baady ya wote kuingia
ndani ya nyumba mbele yao aliweza kujitokeza
mfanyakazi mwenzao Diana aliyekuwa wa vituko
kila kukicha baada ya kufika pale aliweza
kuyarudia maneno ya Tropina huku akitembea na
akiwa ameyafunga macho yake. Ghafla Vanessa
aliweza kutoka ndani na Diana aliinama chini
akijifanya ya kuwa anafagia zake.
***** ******** *******
Katina upande mwingine alikuwa mwengine
aliyeonekana ya kuwa alikuwa akimsubiri mtu
aweze kufika eneo lile kwni alikuwa akiitizama
saa yake na kutizama upande wa juu wa
barabara.
Aliitoa simu yake kisha akaipiga.
"Mbona hapokei simu alizungumza huku
akiendelea kupiga cmu ghafla akiwa pale aliweza
kusikia mlio wa pikipiki ukiwa unakuja eneo lile.
" kila cku namwambia aache kukimbiza pikipiki
hivyo lakini Vikram huwa asikiagi mtu kbisa"
alilalamika Alice pikipiki ile ilipofika karibu na
yeye iliweza kusimama na Vikram aliweza
kushuka juu ya pikipiki ile.
Alianza kuitoa helmemt aliyoweza kuivaa lakini
kabla haijamtoka yote kichwani liliweza kupita
gari na kuwamwagia maji machafu hali iliyoweza
kumfanya Vikram aache kutoa helmet yake.
"Huyu...................... Anajifanya haoni amah
nini" alilalamika huku akitaka kuwasha pikipiki
yake kwaajili ya kumfuata lakini Alice alimzuia.
"Achana naye bhana alizungumza Alice
aliyeonekana siyo mpenda shari kabisa.
" adhabu mwenyezi Mungu aliyoweza kumpa
inatosha"
"Adhabu gani??
" ni kipofu huyo lakini anadharau sana
watu........pia hapatani kabisa na wanaume na
anamiliki kampuni Kubwa Kubwa zote Africa hiyo
ni kutokana na mali aliyoweza kuachiwa na Baba
yake. Alizungumza Alice aliyeonekana
kumfahamu vizuri sana Tropina.
****** ******* *******"
Upande mwingine alionekana mtoto mdogo
makamo yake miaka 9 akiwa amesimama njee ya
shule huku akitizama muda wake.
"Mbona dada Tropina hajafika mpaka sasa
alizungumza huku akiweza kutoa tablet yake na
kuanza kumtafuta dada yake.
" Larry unafanya nini hapo??? Aliuliza madam
wake aliyekuwa akimfuata Larry
"Unajua dada yako akikukuta njee ya geti
atagomba ingia ndani mpaka aje"
Ghfla aliweza kupigwa kikumbo na gari na
kudondoka chini hapo hapo mlango wa gari aina
ya Noah nyeusi ulifunguliwa kisha Larry
akatekwa na gari kuondoka eneo lile.
Wakati gari hilo likiondoka ndo gari la Madam
Tropina liliweza kufika pale.
Mwalimu alijitahidi kusimama ilihali alikuwa na
majeraha mengi huku walimu wengine wakitoka
njee baada ya kusikia kishindo kikubw baaada ya
sekunde kadhaa kupita.
"Umefanyaje??????
" Larry katekwa.!!!!
Ndyo kauli aliyoweza kuitoa na kauli hiyo iliweza
kupenya hadi katikati ya ngome za Tropina
aliyekuwa akishuka ndani ya gari lake. Mguu
wake mmoja ndyo uliokuwa umeteremka tu na
hkushusha tena mguu mwingine.
**** yalipitaa masaa7 *******
Na hakukuwa na habari zozote juu ya Larry
Vanessa ndiye aliyekuwa akiweweseka kwani
ndye mwanaye wa mwisho na kitinda mimba
wake.
"Nimesema nitatoa pesa yoyote ile mwanangu
tafadhali mtu asimdhuru na naomba mnipigieni
simu nmba zangu ni
........... Aliweza kutoa nmba zake na hapo hapo
aliingia Tropina na kusema.
" hakuna hela yoyote itakayoweza kutolewa
mahali popote kwasababu nmekufungia account
zote na wale walioweza kumchukua Larry
nawazidishia masaa7 mengine muwe
mumeshamrudisha Larry nyumbani na siyo
shuleni tena kwani nimechoka kutembea" baada
ya kusema hyo aliondoka na kupanda ngazi
Adrian alimtizama sana kwa hasira.
"Waaandishi wa habari nisikilizeni Mimi achaneni
na hiyo BINTI kipofu kwasababu tangu ajali ya
kifo cha bba yake anaishi kama mnyama na siyo
binadamu tafadhali naomba mnipigieni simu
nmba zangu tayri nimeshaweza kuzitoa kiac
chochote ntawapa nyie mlioweza kumteka.
Waaandishi wa habari walimtizama tu bila
kusema neno lolote kwani mwenye kauli ya
mwisho ni Tropina na siyo yeye.
**** **** *****
Bossi tufanyaj??? Ilikuwa sauti ya afande mmoja
akimuuliza mkuu wake.
" tufanye nini sasa ikiwa hata ndugu hakuna
aliyeweza kureport ya kuwa ndugu yao ametekwa
huyu Tropina sijui anaroho ya namna
gani.......sisi tuendelee tu kula ma apple
alizungumza huku akitupia kipande cha apple
mdomoni mwake na kutabasmu huyo alikuwa
mkuu katika kitengo cha polisi idara ya ulinzi na
usalama miaka yake haikupishana na Tropina
hata kidog pia alikuwa clasament wake hivyo
tabia za Tropina aliweza kuzifaham jina lake
aliweza kuitwa George pesambili.
"Ila ndani ya masaa3 watamrudisha wenyewe na
kama hawatamrudisha basi hii nchi itachafuka
ndani ya dakika20 tu na Larry atakuwa
amepatikana ,kwahiyo sisi tuendeleeni kula
jamani.
***** ****** *******
" halooo alionekana Adrian akipokea simu.
"Nawaambia ndani ya hayo masaa7 kaeni kimya
alafu tuone kama hatobadilisha mawazoyake
muuweni kisha mumtumie picha tutamuuza hata
akiwa marehemu alizungumza huku akiwa
anahasira sana.
Baada ya kugeuka nyuma tu aliweza kukutana
uso kwa uso na Tropina aliyekuwa nyuma yake.
"Kama nimeshindwa kuwapa pesa akiwa mzima
mnafikiri akiwa marehemu nampeleka wapi????
Nakupa masaa3 kama hajarudi hapa utanijua
Mimi ni nani? Alizungumza kisha akageuka
nyuma na kuondoka zake.
Adrian aliirusha simu yake chini kwa hasira kwani
game lake tayari limeshaweza kugundulika.
Aliyauma meno yake kwa hasira sana huku
akimtizama Tropina aliyekuwa akishuka chini.
" nakwambia ipo siku yako ipo siku yako maana
upofu haukutoshi ww bado unaakili sana"
aliyazungumza hayo Adrian.
** ** ** ** **
Huku nako alionekana Vikram akiwa anaelekea
nyumba moja kwani aliweza kupatiwa mzigo
aupelekee pale kutoka katika kampuni yao.
Alipofika alikuta ni kimya sana ndani hapo
alipogusa mlango uliweza kufunguka hivyo
alianza kuingia ndani taratibu kabisa na kwa
umakini wa hali ya juu kabisa.
Alisikia kelele zilizokuwa zikitoka kwenye TV
aliweza kusogea hadi kribu pale alimkuta Larry
akiwa anacheza game.
"Wewe wenye nyumba wako wapi??? Aliuliza
Vikram
Larry alimtizama bila kumjibu chochote kile.
" wewe mtoto si ninakusemesha"
"Inamaana Mimi sina muonekano wa kumiliki
nyumba???
Vikram alimtizama akaitizama na nyumba kisha
akamtizama tena.
" wewe mtoto nakuuliza bba yako yuko wapi???
"Kaburini"
*sawa na mma yako*
"Anaweweseka knitafuta Mimi" alijibu Larry.
Vikram alimtizama kisha akamuuliza dada yako
yuko wapi.
"Ananisikiliza nikicheza Game" alijibu Larry
Vikram alimpiga kwenzi la kichwa.
"Mpumbavu kabisa mtoto huna adab wewe mimi
ni wakiume siyo dada yako"
Larry alimgeukia na kumtizama kisha akamuuliza.
"Hivi unanijua Mimi ni nani???
" mtoto uliyekosa adabu tena unabahati Leo siko
kwenye mood ya kupiga watoto niambie bba na
mama yko wako wapi???
Larry alimkazia macho tu.
"Usinitizame Mimi" aliongea huku akimsukuma
kichwa Larry
"We mkaka kwanini unanisodola"
*kwasababu wewe ni wakiume lakini mjinga"
alijibu Vikram
Ujinga wangu uko wapi???
Akiwa anataka kumjibu Larry ghfla Larry aligusa
kitufe cha video bahati mbaya na kufanya taarifa
zake za kutekwa ndizo zilizokuwa hewani.
"Wewe mtoto hapa ni wapi??? Hapana
namaanisha hapa ndo nyumba uliyotekewa??
" ndyo" alijibu Larry kisha akauchukua mzigo
alioweza kuuleta.
"Niliwaambia sitaki bugger naitaji sandwiche"
Vikram alianza kurudi nyuma na bahati.aligonga
na na mtu.
"Kaka mtekaji Mimi hata sijui kama mmemteka
mtu kwanza Mimi ni bubu huwaga sioni kwahiyo
naomba niondoke.
Alipopiga hatua ya mbele zaidi alikutana
mwingine.
" Kaka jambazi nawaapia ya kuwa kwetu hatuna
mali kabisa na Mimi ni kiziwi jamni sioni"
"Mimi sijawahi kuona kiziwi asiyeona bali kipofu"
Vikram alibki akitizama tu bila kusema neno.
Ndyo Mimi ni kiziwi na bubu sioni.alizungumza
Vikram nakuanza kuondoka.
"Uncle kwahiyo ukitoka hapa unaenda
kumwambia dada ya kuwa nimetekwa katika
nyumba hii?? Aliuliza Larry
" hako katoto katakuwa kanawasemesha nyie
siyo Mimi" alisema Vikram.
"Uncle Vikram naongea na wewe"
"Vi.....vi.....Vikram amelijuaje jina langu??
Alijkuta akiropoka na kuwauliza magaidi wale.
" hapna kwanza mm siitwi Vikram bali Joseph "
alianza kuondoka lakini ghfla alivutiwa ndani na
jambazi mmoja.
"Tropina ndo amekutuma cndyo?? Aliuliza huku
akitoa kisu chake
Unafikiri ni kipi kitamkuta Vikram basi usikose
muendelezo
Sehemu:01
Mtunzi: Salma Rashid
Walionekana wafanyakazi walioweza kuvalia
gauni nyeupe fupi wakijipanga mstari katika
jumba Kubwa la kifahari kuelekea mlangoni.
"Madam anakuja kila mtu akae vizuri"
alizungumza mmoja wa wafanyakazi hao
akiwatahadharisha wenzake ambao na wao
walianza kujiweka vizuri kwa kutengenezea tai
zao. Hapo hpo liliingia kundi la wanaume saba
walioweza kujigawa katika magari matatu
yaliyoweza kuwapo eneo lile.
Vilisikika viatu vilivyokuwa vikitoka ndani ya
jumba lile Kubwa la kifahari wote waliinama chini
ishara ya kutoa heshima alitoka mwanamama
mmoja aliyeweza kuyavalia miwani yake baada
tu ya kujitokeza mbele ya wafanyakazi wake.
Aliirudishia pochi yake vizuri mkononi kisha
akaanza kupiga hatua za kuelekea mahali magari
yalipo. Akiwa anaelekea huko alisimama baada
ya kuhisi ya kuwa kuna mtu anakuja nyuma yake.
Aligeuka nyuma na hapo aliweza kukutana na
mkono wa kiume uliokuwa ukilikunja shati lake
vizuri mkononi na kutengenezea saa yake vizuri
mkononi.
Adrian aliita mwanamk yule ambye makamo yake
yalionekana kusogea mbele.
Adrian alitabasamu kisha alipoweza kufika karibu
naye alimpiga busu la mdomo.
"Umeamkaje kipenzi changu Vanessa?? Aliweza
kuuliza Adrian ambye kwa umri alionao
hakupaswa kumuita Vanessa kipenzi bali mama
au aunt.
Walishikana mikono na kuelekea mahali magari
yalipo Adrian alitaka kuingia gari la kwanza lakin
watumishi waliweza kumzuia.
'Kwanini mnanizuia kupanda??! Aliuliza kwa sauti
ya ukali sana hadi kumfanya Vanessa ashuke
kwenye gari aliloweza kulipanda.
" kuna shida gani hapo??? Aliuliza Vanessa.
Mtumishi mmoja alitoa heshima kisha akaanza
kuzungumza.
"Madam Tropina amesema leo atapanda gari hili
kwahiyo boss Adrian hatopanda gari hili Leo"
"Hivi huyo kipofu ananitafutia nini Mimi?? Hajui
ya kuwa Mimi ndiye Baba mwenyenyumba hii"
"Nyumba ipi hiy? Ilisikika sauti laini na ya
utaratibu na kwa sauti ya juu ikiuliza swali hilo
Vilionekana viatu vyekundu simple vilivyowezwa
kubebwa na suruali nyeupe chini iloyoweza
kupanda hadi kiunoni, kiuno hicho kiliku kilikuwa
chembamba kilichoikaa vyema suruali hiyo shati
jekundu lililoweza kuchomekewa ndani ya suruali
hiyo nyeupe.
Adrian alimtizama juu mpaka chini kisha akakosa
neno la kuongea juu yake.
Tropina aliweza kupiga hatua hadi kufika pale
Adrian alipo.
"Mwambie mama yako akununulie gari la
kuzurura nalo mtahani lakini siyo utumie gari la
pesa aliyoweza kuitafuta Baba yangu
alizungumza Tropina kisha akaufungua mlango
wa gari kwa nguvu na kumgonga Adrian pajani
ambako alianza kugutaguta kwa maumivu
aliyoweza kuyapata huku akishika paja lake gari
liliwashwa na hatimaye aliweza kuondka zake.
Vanessa aliweza kwenda kumkimbilia Adrian na
kumpa pole huku akijaribu kumgusa gusa na
kutizama gari aliloweza kuondoka nalo Tropina.
Adrian aliyauma meno yake kwa hasira huku
akiona kabisa ya kuwa Tropina anamfanyia
dharau na makusudi.
Alirudi ndani kwa hasira sana huku nyuma
akifuata na Vanessa. Baady ya wote kuingia
ndani ya nyumba mbele yao aliweza kujitokeza
mfanyakazi mwenzao Diana aliyekuwa wa vituko
kila kukicha baada ya kufika pale aliweza
kuyarudia maneno ya Tropina huku akitembea na
akiwa ameyafunga macho yake. Ghafla Vanessa
aliweza kutoka ndani na Diana aliinama chini
akijifanya ya kuwa anafagia zake.
***** ******** *******
Katina upande mwingine alikuwa mwengine
aliyeonekana ya kuwa alikuwa akimsubiri mtu
aweze kufika eneo lile kwni alikuwa akiitizama
saa yake na kutizama upande wa juu wa
barabara.
Aliitoa simu yake kisha akaipiga.
"Mbona hapokei simu alizungumza huku
akiendelea kupiga cmu ghafla akiwa pale aliweza
kusikia mlio wa pikipiki ukiwa unakuja eneo lile.
" kila cku namwambia aache kukimbiza pikipiki
hivyo lakini Vikram huwa asikiagi mtu kbisa"
alilalamika Alice pikipiki ile ilipofika karibu na
yeye iliweza kusimama na Vikram aliweza
kushuka juu ya pikipiki ile.
Alianza kuitoa helmemt aliyoweza kuivaa lakini
kabla haijamtoka yote kichwani liliweza kupita
gari na kuwamwagia maji machafu hali iliyoweza
kumfanya Vikram aache kutoa helmet yake.
"Huyu...................... Anajifanya haoni amah
nini" alilalamika huku akitaka kuwasha pikipiki
yake kwaajili ya kumfuata lakini Alice alimzuia.
"Achana naye bhana alizungumza Alice
aliyeonekana siyo mpenda shari kabisa.
" adhabu mwenyezi Mungu aliyoweza kumpa
inatosha"
"Adhabu gani??
" ni kipofu huyo lakini anadharau sana
watu........pia hapatani kabisa na wanaume na
anamiliki kampuni Kubwa Kubwa zote Africa hiyo
ni kutokana na mali aliyoweza kuachiwa na Baba
yake. Alizungumza Alice aliyeonekana
kumfahamu vizuri sana Tropina.
****** ******* *******"
Upande mwingine alionekana mtoto mdogo
makamo yake miaka 9 akiwa amesimama njee ya
shule huku akitizama muda wake.
"Mbona dada Tropina hajafika mpaka sasa
alizungumza huku akiweza kutoa tablet yake na
kuanza kumtafuta dada yake.
" Larry unafanya nini hapo??? Aliuliza madam
wake aliyekuwa akimfuata Larry
"Unajua dada yako akikukuta njee ya geti
atagomba ingia ndani mpaka aje"
Ghfla aliweza kupigwa kikumbo na gari na
kudondoka chini hapo hapo mlango wa gari aina
ya Noah nyeusi ulifunguliwa kisha Larry
akatekwa na gari kuondoka eneo lile.
Wakati gari hilo likiondoka ndo gari la Madam
Tropina liliweza kufika pale.
Mwalimu alijitahidi kusimama ilihali alikuwa na
majeraha mengi huku walimu wengine wakitoka
njee baada ya kusikia kishindo kikubw baaada ya
sekunde kadhaa kupita.
"Umefanyaje??????
" Larry katekwa.!!!!
Ndyo kauli aliyoweza kuitoa na kauli hiyo iliweza
kupenya hadi katikati ya ngome za Tropina
aliyekuwa akishuka ndani ya gari lake. Mguu
wake mmoja ndyo uliokuwa umeteremka tu na
hkushusha tena mguu mwingine.
**** yalipitaa masaa7 *******
Na hakukuwa na habari zozote juu ya Larry
Vanessa ndiye aliyekuwa akiweweseka kwani
ndye mwanaye wa mwisho na kitinda mimba
wake.
"Nimesema nitatoa pesa yoyote ile mwanangu
tafadhali mtu asimdhuru na naomba mnipigieni
simu nmba zangu ni
........... Aliweza kutoa nmba zake na hapo hapo
aliingia Tropina na kusema.
" hakuna hela yoyote itakayoweza kutolewa
mahali popote kwasababu nmekufungia account
zote na wale walioweza kumchukua Larry
nawazidishia masaa7 mengine muwe
mumeshamrudisha Larry nyumbani na siyo
shuleni tena kwani nimechoka kutembea" baada
ya kusema hyo aliondoka na kupanda ngazi
Adrian alimtizama sana kwa hasira.
"Waaandishi wa habari nisikilizeni Mimi achaneni
na hiyo BINTI kipofu kwasababu tangu ajali ya
kifo cha bba yake anaishi kama mnyama na siyo
binadamu tafadhali naomba mnipigieni simu
nmba zangu tayri nimeshaweza kuzitoa kiac
chochote ntawapa nyie mlioweza kumteka.
Waaandishi wa habari walimtizama tu bila
kusema neno lolote kwani mwenye kauli ya
mwisho ni Tropina na siyo yeye.
**** **** *****
Bossi tufanyaj??? Ilikuwa sauti ya afande mmoja
akimuuliza mkuu wake.
" tufanye nini sasa ikiwa hata ndugu hakuna
aliyeweza kureport ya kuwa ndugu yao ametekwa
huyu Tropina sijui anaroho ya namna
gani.......sisi tuendelee tu kula ma apple
alizungumza huku akitupia kipande cha apple
mdomoni mwake na kutabasmu huyo alikuwa
mkuu katika kitengo cha polisi idara ya ulinzi na
usalama miaka yake haikupishana na Tropina
hata kidog pia alikuwa clasament wake hivyo
tabia za Tropina aliweza kuzifaham jina lake
aliweza kuitwa George pesambili.
"Ila ndani ya masaa3 watamrudisha wenyewe na
kama hawatamrudisha basi hii nchi itachafuka
ndani ya dakika20 tu na Larry atakuwa
amepatikana ,kwahiyo sisi tuendeleeni kula
jamani.
***** ****** *******
" halooo alionekana Adrian akipokea simu.
"Nawaambia ndani ya hayo masaa7 kaeni kimya
alafu tuone kama hatobadilisha mawazoyake
muuweni kisha mumtumie picha tutamuuza hata
akiwa marehemu alizungumza huku akiwa
anahasira sana.
Baada ya kugeuka nyuma tu aliweza kukutana
uso kwa uso na Tropina aliyekuwa nyuma yake.
"Kama nimeshindwa kuwapa pesa akiwa mzima
mnafikiri akiwa marehemu nampeleka wapi????
Nakupa masaa3 kama hajarudi hapa utanijua
Mimi ni nani? Alizungumza kisha akageuka
nyuma na kuondoka zake.
Adrian aliirusha simu yake chini kwa hasira kwani
game lake tayari limeshaweza kugundulika.
Aliyauma meno yake kwa hasira sana huku
akimtizama Tropina aliyekuwa akishuka chini.
" nakwambia ipo siku yako ipo siku yako maana
upofu haukutoshi ww bado unaakili sana"
aliyazungumza hayo Adrian.
** ** ** ** **
Huku nako alionekana Vikram akiwa anaelekea
nyumba moja kwani aliweza kupatiwa mzigo
aupelekee pale kutoka katika kampuni yao.
Alipofika alikuta ni kimya sana ndani hapo
alipogusa mlango uliweza kufunguka hivyo
alianza kuingia ndani taratibu kabisa na kwa
umakini wa hali ya juu kabisa.
Alisikia kelele zilizokuwa zikitoka kwenye TV
aliweza kusogea hadi kribu pale alimkuta Larry
akiwa anacheza game.
"Wewe wenye nyumba wako wapi??? Aliuliza
Vikram
Larry alimtizama bila kumjibu chochote kile.
" wewe mtoto si ninakusemesha"
"Inamaana Mimi sina muonekano wa kumiliki
nyumba???
Vikram alimtizama akaitizama na nyumba kisha
akamtizama tena.
" wewe mtoto nakuuliza bba yako yuko wapi???
"Kaburini"
*sawa na mma yako*
"Anaweweseka knitafuta Mimi" alijibu Larry.
Vikram alimtizama kisha akamuuliza dada yako
yuko wapi.
"Ananisikiliza nikicheza Game" alijibu Larry
Vikram alimpiga kwenzi la kichwa.
"Mpumbavu kabisa mtoto huna adab wewe mimi
ni wakiume siyo dada yako"
Larry alimgeukia na kumtizama kisha akamuuliza.
"Hivi unanijua Mimi ni nani???
" mtoto uliyekosa adabu tena unabahati Leo siko
kwenye mood ya kupiga watoto niambie bba na
mama yko wako wapi???
Larry alimkazia macho tu.
"Usinitizame Mimi" aliongea huku akimsukuma
kichwa Larry
"We mkaka kwanini unanisodola"
*kwasababu wewe ni wakiume lakini mjinga"
alijibu Vikram
Ujinga wangu uko wapi???
Akiwa anataka kumjibu Larry ghfla Larry aligusa
kitufe cha video bahati mbaya na kufanya taarifa
zake za kutekwa ndizo zilizokuwa hewani.
"Wewe mtoto hapa ni wapi??? Hapana
namaanisha hapa ndo nyumba uliyotekewa??
" ndyo" alijibu Larry kisha akauchukua mzigo
alioweza kuuleta.
"Niliwaambia sitaki bugger naitaji sandwiche"
Vikram alianza kurudi nyuma na bahati.aligonga
na na mtu.
"Kaka mtekaji Mimi hata sijui kama mmemteka
mtu kwanza Mimi ni bubu huwaga sioni kwahiyo
naomba niondoke.
Alipopiga hatua ya mbele zaidi alikutana
mwingine.
" Kaka jambazi nawaapia ya kuwa kwetu hatuna
mali kabisa na Mimi ni kiziwi jamni sioni"
"Mimi sijawahi kuona kiziwi asiyeona bali kipofu"
Vikram alibki akitizama tu bila kusema neno.
Ndyo Mimi ni kiziwi na bubu sioni.alizungumza
Vikram nakuanza kuondoka.
"Uncle kwahiyo ukitoka hapa unaenda
kumwambia dada ya kuwa nimetekwa katika
nyumba hii?? Aliuliza Larry
" hako katoto katakuwa kanawasemesha nyie
siyo Mimi" alisema Vikram.
"Uncle Vikram naongea na wewe"
"Vi.....vi.....Vikram amelijuaje jina langu??
Alijkuta akiropoka na kuwauliza magaidi wale.
" hapna kwanza mm siitwi Vikram bali Joseph "
alianza kuondoka lakini ghfla alivutiwa ndani na
jambazi mmoja.
"Tropina ndo amekutuma cndyo?? Aliuliza huku
akitoa kisu chake
Unafikiri ni kipi kitamkuta Vikram basi usikose
muendelezo