Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kuna shida gani hapa kwanini haziishi na pesa nyingi imetumika ona mfano hizi The Equalizer Into the badlands Revolution Poppss house Lopez The strain Na nyingine nyingi Hii into the badlands...
3 Reactions
9 Replies
495 Views
"Nahonga pakubwa nakula kidogo" inapigwa live Tazama bendi ya Wamwiduka wakipiga wimbo wao "Nahonga pakubwa nakula kidogo",
4 Reactions
26 Replies
864 Views
Nilipata kuandika .... LIVERPOOL NA LAANA YA UBINGWA WA EPL NA NIHZRATH NTANI JNR. Ni Jumamosi moja jioni. Naam! ni jioni ile ya Jumamosi ya April 28, 1990. Historia ninayoizungumzia hivi...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka. Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja...
38 Reactions
318 Replies
21K Views
Wakati leo napata chai kwa wakwe zangu,kwenye luninga kukawa na tamthilia asubuhi hii kwenye Azam two. Katikati ya tamthilia ilipigwa nyimbo flani hivi kali sana ya kiswahili kama soundtrack...
0 Reactions
5 Replies
754 Views
Salamu Baba na Mama Nazituma kwa furaha Bila shaka zitafika , mfurahi nyote bila manung'uniko wapenzi oohh... Wazazi ninafuraha sana kuwakumbuka nyie, Wala msiwe na shaka juu yangu mie Na mimi...
1 Reactions
0 Replies
275 Views
Wana Jf ni muda sasa wa hip hop , tunaandika habar mbalimbali kwa vina na michano, haya twende kazi kwenye hizi ngumu nyeusi mpaka waeleewe
1 Reactions
818 Replies
95K Views
Utangulizi Binti aliyepewa mimba na Nabii ni story ya kweli kabisa, mhanga kaniomba nisambaze ili mabinti wengine wajifunze, karibuni nyote. Anaanza kwa kusimulia. PART 1 Nimelelewa kwenye...
6 Reactions
16 Replies
7K Views
Katika historia ya muziki wa kielektroniki (EDM), ni vigumu kutaja mafanikio ya miaka ya 90 bila kulitaja jina la Eiffel 65. Kundi hili la muziki kutoka Italia lilivuma sana duniani kwa wimbo wao...
2 Reactions
0 Replies
341 Views
DON'T SHOUT (usipige kelele) Sehemu ya...............01 Mtunzi: Saul David Tel : +255756862047 E-mail: saulstewarty@gmail.com **** EPISODE 01... "Moto, moto, jamani motooooo" "Moto, kuna mtu...
16 Reactions
404 Replies
153K Views
Habari za wakati huu wakuu, mimi Ni mdau mkubwa wa game ya Hip Hop ya hapa Bong (mainstream na underground hip hop). Leo nataka tujadili kuhusu hip hop ya bongo especially, underground hip hop...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
KAHAMA: ARDHI ILIYOLAANIWA NA DHAMBI Katika jiji lenye utajiri wa madini lakini limejaa giza la vita na usaliti—Kahama—shule ya kifahari inasimama katikati ya machafuko, ikificha ajenda kubwa...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
I hit the weed, I told myself the last time would be my last I don't trust my own niggas, now my mind racing fast Got my foot up on the gas, got a hundred on the dash If the police run up on me, I...
3 Reactions
18 Replies
866 Views
Bwana Marlow popote ulipo kama una mpango wa kurudi kwenye Bongo Fleva jaribu kufanya remix ya wimbo wa Bado Umenuna. Huu wimbo watoto wa 2000 bado hawajausikiliza...
4 Reactions
52 Replies
1K Views
Kwa upande wangu Mimi ni "shaolin soccer" sijawahi ona movie yenye uhongo wa kitaalamu Kama Ile. Je ww kwa upande wako ni movie gani
9 Reactions
104 Replies
10K Views
Aisee kuna sisi tunachelewa sana kurudi nyumbani hivyoo ata muda wa kukaa kuangalia Tv inakua shida. Sasa binafsi hua mara nyingi najikuta natazama taarifa ya habari ya UTV Ile ya Azam saa 6...
0 Reactions
1 Replies
240 Views
Habari wana jamvi, Kuna kipindi kinafika unatamani ukae na familia muangalie movie zenye story za kufunza au movie zenye maudhui mazuri ya dini. Leo nakuletea movie & Tv series maarufu...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limechukua hatua ya kuingilia mvutano unaoendelea kati ya msanii Ibraah na bosi wake, Harmonize, kwa kuitaka pande zote mbili kufika ofisini kwao Jumatatu Mei 12...
0 Reactions
10 Replies
978 Views
Holy Moses I have been removed I have seen the specter he has been here too Distant cousin from down the line Brand of people who ain't my kind Holy Moses I have been removed Holy Moses I have...
1 Reactions
1 Replies
332 Views
[Chorus] Sifa ya Uandishi Tunga bila Sifa Nikifa na Sifa nzuri Ni Sifa kwa alionisifu Mistari 16 Uvumi unasikika Lini mistari ya Mhuni itakwisha? Tungo zaidi ya Sifa Mdundo wa Kibabe Mikunjo ya...
0 Reactions
16 Replies
668 Views
Back
Top Bottom