Naomba kupatiwa jina la wimbo huu wa tangazo la salama condoms. Ilikuwa ni miaka ya 2004-2005..kuna mwanaume na mwanamke wapo ndani sebuleni wanajiandaa kufanya mapenzi, mwanaume akakumbuka kitu...
Mziki wa JAZZ mimi kwangu nilianza kuupenda kipindi cha miaka ya 90 katika king’amuzi cha DSTV kulikuwa na upande redio zilizokuwa zikiwa na mtiliiko wa JAZZ.
Mziki wa jazz ni aina ya muziki...
Daydream, I fell asleep amid the flowers
For a couple of hours on a beautiful day
Daydream, I dreamed of you amid the flowers
For a couple of hours, such a beautiful day!
I dreamed of the places...
Aje wadau,
Tuchangamshane kwa kutambua lyrics za nyimbo mbali mbali, andika lyrics wadau wajaribu kuzitambua ni za wimbo gani kwa kutaja jina la wimbo, tukifeli unatusaidia kushare wimbo husika...
NDOA YANGU INANITESA
Nilikuwa nikifanya kazi katika kampuni moja ya usafirishaji wa madini kutoka Tanzania kupeleka Bang kok nchini Thailand. Kampuni yetu ikiwa ya mtu binafsi na ilikuwa Mkoani...
Duuh leo nimeona Huko Youtube jambo la Kunishangaza sana, sijui kama ni kwlei au la ila limenishanagza Mno. hivi haya mambo ya ushirikina Kumbe yako Seriously hivi?
Hebu msikilize huyu dada...
Heshima yenu wakuu, niende direct kwenye mada.
Alizongwa na zimwi aliskika jirani akitoa hoja kwa kijiji, sababu ya kukosa elimu ya maambukizi walihisi kulogwa ndio tafsiri ya gonjwa la ukimwi...
March 7 mwaka 1985 baadhi ya wasanii waliounda kundi la “USA for Africa” walitoa kibao cha We are the World.
Lengo kuu la wimbo "We Are the World" lilikuwa ni kukusanya fedha kwa ajili ya...
[Nyerere Talk:]
Na kwa sababu
Mjinga
Akishaambiwa inakwisha
Si kwa sababu
Ujinga
Ni kutojua
Maana hujui lilifanyika nini
Sasa
Ukielezwa
Ujinga wako unakwisha
Now You Know
Ujinga
Ni Ignorance...
WEWE SIO TYPE YANGU
Mwanamke epuka kumuambia mwanaume wewe sio type yangu, wewe sio wa hadhi yangu, wewe huwezi kunimudu, katafute masikini wenzako huko Mimi ni wa viwango vya juu kama huna pesa...
We no know how we and dem a-go work this out,oy
We no know how we and dem a-go work it out
But someone will have to pay
For the innocent blood
That they shed every day
Oh,children,mark my word...
"Watu wanasema nisikufuateee,tena ikibidi nisikukumbuuuke,thamani ya kitu ajuaye mwenye chakee,niacheni chozi linidondoke.Nikikumbuka iyo sura yaaake ...."
Wakuu anayeukumbuka huo wimbo naomba...
Yes, kwa utamu na mpangilio wa rhythm na souti huku mdundo ukidunda kwa taratibu hadi mwili automatic unayumba kwa muitikio wa mapigo ya music, unaweza weka repeat asubuhi mpaka usiku usichoke...
SIMULIZI:REVENGE OF DERRICK
MTUNZI:WIZZY JOOH
SEHEMU YA KWANZA(1)*
"Walikuwa ni watu wema sana" "Ni kweli bamdogo lakini watu wabaya wamedhurumu nafsi za wazazi wangu na kwa ili bamdogo...
Hii biashara nahitaj kuianzisha na eneo nililopo lina watu wengi ila hakuna ukumbi zaidi ya kuangalia ktk bar tu,ukizingatia wengine hawapendi kuangalia mpira bar Mimi nahitaj kufungua ukumbi...
wakati wa ujana wangu mimi baba yenu shati shiling...... Unapata lakini hivi sasa....
Nitashukuru sana nimejalibu kuutafuta mtandaoni sijafanikiwa kuupata umeimbwa na marehemu mzee ngurumo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.