SIMULIZI:REVENGE OF DERRICK
MTUNZI:WIZZY JOOH
SEHEMU YA KWANZA(1)*
"Walikuwa ni watu wema sana" "Ni kweli bamdogo lakini watu wabaya wamedhurumu nafsi za wazazi wangu na kwa ili bamdogo...
Hii biashara nahitaj kuianzisha na eneo nililopo lina watu wengi ila hakuna ukumbi zaidi ya kuangalia ktk bar tu,ukizingatia wengine hawapendi kuangalia mpira bar Mimi nahitaj kufungua ukumbi...
wakati wa ujana wangu mimi baba yenu shati shiling...... Unapata lakini hivi sasa....
Nitashukuru sana nimejalibu kuutafuta mtandaoni sijafanikiwa kuupata umeimbwa na marehemu mzee ngurumo...
Yeah
Hey
Spinning in circles, live my life without rehearsal
If I die today my nigga was it business? Was it personal?
Should this be my last breath I'm blessed 'cause it was purposeful
Never...
PAZIA LA FILAMU 📽🎬
FREDDY (2022)
Mungu alimbariki sana Freddy Ginwala,
Akamuumbia moyo wa dhahabu, moyo wenye utajiri wa adili na ibada.
Akamjaalia tabia njema zilizoambatana na adabu...
Ni asubuhui moja tulivu ndani ya jiji la KAHAMA watu walionekana wengi, tena wakiwa na mishe mishe hali iliyothibitisha hapa ni mjini kama wanapopaita wenyeji wa sehemu hii"GOLD CITY"hasa kutokana...
Shallom!
Wakuu naomba mnijulishe walipo watangazaji hawa wenye sauti nzito zilizojaa mamlaka na kumfanya nyoka akimbilie pangoni kujificha kwa hofu.
Ifuatayo ni orodha ya baadhi ya hao...
Simulizi za kusisimua na fundisho kwa vijana:kijana alivyoingia kwenye mtandao wa wizi wa magari – Safari ya Subaru Legacy ya Gongolamboto hadi Arusha
Baada ya kumaliza kidato cha nne mwaka 2019...
[Chorus – Phyno]
Chineke Nna emegokwa nwa ogbenye Ezege
Everyday by day I just dey celebrate oh (eh)
Everything I do e just dey penetrate oh
I just want to say o thank you Jehovah oh
See I'm...
SURA YA KWANZA
MLANGO WA TANO
MIAKA MITATU BAADAE
TSS HQ-DAR ES SALAAM
Nchi ilikuwa imetulia na kurejea katika hali yake ya utulivu kama ilivyokabidhiwa na waasisi wa taifa...
Karibuni sana wapenzi wa simulizi, Leo naitambulisha kwenu simulizi hii iitwayo "MWACHENI AISHI." Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya maisha kwa ujumla, vimbwenga...
SURA YA KWANZA: DAMU YA UFALME
Mimi ni Triza, binti wa saba wa Mfalme Himza wa Peru. Katika kasri letu kubwa lenye kuta nene za dhahabu na mawe mazito, mimi na dada zangu tumeishi maisha ya hofu...
GOLDEN BOY
SEHEMU YA 1
MWANDishi NI JAXWIZZY
What'sapp no 0793538082
Jua lilikuwa linatua kwa upole, likipaka anga la Istanbul kwa rangi ya dhahabu na machungwa. Bahari ya Marmara iling'aa...
Mtunzi: Washawasha
Ilikuwa ni jumamosi moja tulivu,nikiwa nimetulia mjengoni naangalia match ya man utd ambayo nayo alipigwa na kuzidi kutuchanganya sisi mashabiki wake wa kuvuta kwa manati...
Wakati Dr. Dre anapelekewa Eminem ili amsaini, alimshangaa, hakuwa akiamini kama Mzungu huyo angeweza kuchana kama watu weusi lakini alipomsikiliza, sasa akawa na uhakika alimpata mwamba, mtu...
Salamu wakuu kwenye jukwaa la burudani.
Maisha ya mwanadamu ni mafupi, hivyo hata kama hatuna kipato kikubwa hatuna budi kujitafutia furaha sisi wenyewe maana muda hausimami na umri unaenda. Si...
Mtunzi Prince Oscar.
"We Doreen," mama aliniita kwa sauti ya ukali. Sikutegemea kumkuta yuko macho muda huo japokuwa alikuwa chumbani kwake. Ilikuwa saa nne usiku. Kwa kawaida mama ikishafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.