Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mwanzoni mwa miaka ya sabini kulikuwa na Bendi inaitwa Jamhuri Jazz pale Tanga ambayo ilikuwa na ushindani mkubwa sana na Atomic Jazz. Bendi hiyo ilianzishwa na ndugu wawili: William Kinyonga, na...
0 Reactions
3 Replies
453 Views
Bonta Maarifa ni Katibu wa Afya Halmashauri ya Ushetu Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Makazi yake ni Kahama Mjini maeneo ya Igomero (Masaki). Lakini pia ni member wa Crew ya Weusi kampuni ...
0 Reactions
1 Replies
611 Views
Salamu kwenu wabamuziki na wamiliki wa bendi za muziki wa dansi. Kwanza niwape hongera kwa kazi nzuri ya kuburudisha, kuelimisha na kuhabarisha jamii. Pamoja na kuwa mlifanya kazi nzuri sana...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Umaarufu na kupendwa sana kwa muziki wa Congo(DRC) imetokana na nini wakati hata raia wa nchi hii hasa wapenzi wa huo muziki hata hawajui lugha za Kifaransa, Kikongo au Kilingala? Amapiano japo...
1 Reactions
13 Replies
906 Views
HARD BLASTERS CREW FT. LB GENIUS ( TUKO NYUMA) Chorus. Tuko nyuma kimaendeleo Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo Tuko nyuma Tuko nyuma Tu na kichocheo Mambo ni ovyo hatuna Dira wala...
0 Reactions
2 Replies
341 Views
Ilikua siku mwanana wanafunzi walikua ukingoni kumaliza somo lao la siku hio ndio mwalimu akawagusia wanafunzi wake namna ya kumuona jini akiwa katika umbile la binaadam, inafahamika kwamba majini...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
UCHAMBUZI WA FILAMU 📽🎬 THE DA VINCI CODE (2006) -----‐----------------------------- Kwa desturi tunapotazama filamu yoyote ile, tunalenga kuziburudisha nafsi zetu. Sio kazi rahisi mtu akae chini...
3 Reactions
0 Replies
453 Views
DOSARI A Story by Elton Tonny Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Siri, Tamaa, Hila, Usaliti, Uhalifu, Ukatili, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa R-rated 18+ Enjoy! ★★★★★★★★★★★★★ SEHEMU YA KWANZA...
4 Reactions
24 Replies
9K Views
📌 Burudani bila kulipia? Ndiyo, inawezekana! Kwa mashabiki wa movies na series — kama wewe ni mpenda burudani lakini huwezi (au hutaki) kulipia Netflix, Showmax n.k., basi uzi huu ni kwa ajili...
8 Reactions
3 Replies
2K Views
CRAZY BUFFA FT ZAHARANI.. - MUELIMISHAJI.. Masela wote...!! kaeni chocho...!! Madawa ya kulevya haina ya faida kwako.. ebu sikiliza Eeeh.. huyu ni muelimishaji Eeeh Eeh..!!! Verse ..1. ( crazy...
0 Reactions
1 Replies
390 Views
Unatengeneza Roboti kwa ajili ya kusaidia kwenye kulinda nchi na ulimwengu, kisha anakusaliti na kutaka kuitawala Dunia je atafanikiwa movie yenye ukatili kinoma 🔥🔥🔥 https://youtu.be/DgxBGtYo1mI
0 Reactions
0 Replies
301 Views
Habari za Jumatatu Moja kwa moja kwenye mada ni kwamba nimekuwa nafuatilia tamthilia hii bila kufuata mtiririko. Ila siku za karibuni nimeifuatilia bila kupenda kwa kuwa nilikuwa nabembelezwa...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Hii Ndio Inaitwa hakuna jiwe litaachwa limesimama, kilichobaki labda Trailers Tu ! Ukiomba ushauri wa movies za genre unayoipenda unakuta kila movie ulishaivamia kitambo Hadi upate muvi mpya ni...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
WASIFU WA SAIDA KAROLI Jina Kamili: Saida Karoli Tarehe ya Kuzaliwa: 4 Aprili 1976 Mahali alikozaliwa: Kijiji cha Rwongwe, Wilaya ya Bukoba Vijijini, Mkoa wa Kagera, Tanzania Lugha: Kihaya...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Comics za Charlie Chaplin zilikuwa zinachekesha sana. Kulikuwa na kamopuni ya film kutopka Uingereza iliyokuwa inaitwa Factory Films Limited ilikuwa na tawi lake Arusha na Nairobi, ilikuwa...
1 Reactions
1 Replies
252 Views
VERSE 1: Yoh, yoh, yoh Ndani ya Bongo mambo super hapana ubongo Ingawa sometime Bongo chungu kama sifongo Nafanya makaratee kama machinga mtaa wa Congo Kimtindo mtindo nakata ngebe vimtima nyongo...
14 Reactions
63 Replies
2K Views
NIMEKUBALI Yanitesa abadani, Niliyo nayo moyoni, Naungulia kwa ndani, Rohoni nina huzuni, Faraja yangu siioni, Kufikia huku sikuwahi kudhani, Wanitesa kwa nini? Vanessa umebadilika sana, Wewe wa...
1 Reactions
0 Replies
244 Views
Je, 1. Ni ujuzi wa kupigana?!!! Kwahiyo mnataka kuniambia Angelina Jolie anapiga hatari, sio?!!! 2. Muonekano? 3. Utajiri Au nini'?!!! Msaada tafadhali.
1 Reactions
5 Replies
290 Views
Back
Top Bottom