Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Katika historia ya muziki wetu Tanzania kumekuwepo album nyingi mno hasa kipindi cha miaka 15 iliyopita ambapo bado album za wanamuziki zilikuwa na soko kubwa hapa Tanzania. Nafahamu album...
9 Reactions
92 Replies
18K Views
Huyu Mtoto Atafika mbali sanaaaaa...international Collabo
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Night Club nzuri Iringa town
0 Reactions
7 Replies
6K Views
ni kwa muda mrefu sana nimefatilia matamasha kama, Mziki Mnene, Komaa concert, Fiesta, Jembeka festival, Kili music, pamoja na Wasafi festival matamasha haya yote yana wadhamini tofauti, ila...
4 Reactions
43 Replies
5K Views
Ohy wadau.. Mwenye nahitaji wimbo wa Taifa (Audio) naomba aniwekee hapo.. Ile ya vyombo tupu itapendeza sana
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mambo vp wadau. Mara kwa mara nimekuwa nikisikia mivutano ya wasanii wetu hapa Bongo, Hasa Kiba na Chibu. Hii mivutano yao imenisukuma kuandika japo kidogo kuhusu beef ama ugomvi wa msanii nguli...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Baada ya kuweka misitari mbalimbali ya Nas kuwaacha wadau waseme kama yalikuwa ni utabiri ama ni coincidence tu (nilipata contribution ya watu 2 tu), nitaweka pieces zaidi pamoja hapa...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Hakuna aliyekuwa anadhani kundi la PSquare siku moja litakuja kuvunjika kwa sababu lilikuwa limeundwa na ndugu wa damu kuanzia wanamuziki mpaka meneja wake. Kaka yao (Jude Okoye) ndiyo alikuwa...
2 Reactions
18 Replies
6K Views
Heshima kwenu wakuu. Kwa muda mrefu Sasa nimekuwa nikitafuta huu wimbo au hata jina la kwaya hi ya zamani iliimba wimbo wa PESA na albam yao ikiitwa hvo hivo PESA, na kasha lake lilikuwa na picha...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Intro Ohh! ai say ai ai Ohh! mama ei, oi ei ei ei Say ei ei Verse 1 - Dully Sykes Nakupenda maa! Basi njoo maa! Nikila saa kabisa! uko kwa kichaa! Girl just listen,tuishi kama heaven Nakuweka...
3 Reactions
30 Replies
7K Views
Nimekutana nayo huko youtube imeapplodiwa 4 days ago.
2 Reactions
0 Replies
967 Views
Mara nyingi na kwa tabia za binadamu tulio wengi, kila mambo yanapotuendea vema tunaongeza au kubadili namna zetu za kuishi. Si kosa wala vibaya. Lakini huwa nahofia sana ikitokea kushuka kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
nilienda kufata biashara nchini korea kusini maana mizigo yangu huwa nachukuliaga japani sasa nikaona niende nchini korea kusini maana watu wanapasifu sana sasa NILIVYO tinga tu uwanja wa ndege...
6 Reactions
75 Replies
14K Views
Ford vs Ferrari inaonyesha ni bonge la movie ukiicheki trela lake...utamu wa hii kuichekia sinema...aisee msiache kutuletea hii.
1 Reactions
0 Replies
551 Views
Assalam aleykum, Nimeona thread moja ambayo imetoa utani nikashawishika kuandika hii in a serious manner kidogo. Kabla ya kuendelea nianze kwa kutoa ONYO: Haya ni mawazo yangu binafsi kwa kadri...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Na Mwanafalsamweusi Tigo Fiesta kwa sasa linaendelea kuwa ndo tamasha bora na lenye mvuto zaidi nchini Tanzania baada ya Tamasha la Wasafi Festival kukosa kitu cha ziada cha kulitofautisha na Na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
JST BRIEFLY: DID U KNOW THAT? 1.werrason really names are NOEL NGIAMA MAKANDA? 2He was born on 25th Dec 1965,in moliembo,small village in western DRC,kikwit,kwilu District? 3.He is the son of...
4 Reactions
8 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…