Gwangzu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2017
- 2,460
- 3,818
Akaondoka sijakaa vizuri mtu mwingine tena akaja akafyotoa picha
Yaani sasa tulivyofika ijumaa nikamuuliza jamaayangu hivi huku kuna masjidi maana nilisikia Tanzania wanasema hakunaga dini ya aina yoyote ike maana yule jamaayangu ameishi huko miaka miwili akanipelekahao watu utakuta hawajawahi kuona mtu mweusi katika maisha yao yote.
Duh Mr. Chow alikuja akataka tufanye biashara Fulani ya Mazao, ndio yeye?? Au ni majina tu?mkuu, hao watu walikuwa hawajawahi kumuona mtu mweusi live, ulikuwa kivutio kwa hiyo siku, nilipata wakati mgumu sana na mijamaa haina aibu wanakusema hapo hapo, ila kwa lugha yao afu inacheka...rafiki yangu Mr. Chow ambaye hakupenda alikuja kuniambia baadae tulivyorud tz, nilikasirika sana, kama siyo sababu za kibiashara ningekata nao mazoea
Duh!Maui acha kuwadanganya watu humu JF huko korea wengine tushaishi hadithi zako peleka huko Facebook, hhgrrhgg ati ukapotea then unaweka picha za Mghana ambae kweli nimaarufu hapa korea.
우키는 TV
Ufungua hio link utamuona, acha kutafuta kiki za kijinga.
hapana mkuu, siyo huyo itakuwa majina tuu, too bad kafariki last yr akiwa EthiopiaDuh Mr. Chow alikuja akataka tufanye biashara Fulani ya Mazao, ndio yeye?? Au ni majina tu?
Xsdtfuhybvjkiokplmswq당신이 한국에있을 때 지금 사주세요.