Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,868
- 3,624
Kuna haya makundi yalichuana saana kwa sababu aina ya uimbaji wao ulifanana. Waliuteka sana ulimwengu wa muziki hasa wadada ndo walipenda sana nyimbo japo na wanaume na tulikuwepo kuwasindikiza
Kundi gani lilikubamba na kwanini?
NSYNC walitamba na ngoma nyingi ila huu wa THIS I PROMISE YOU wakiongozwa na Justin Timberlake. Westlife Walibamba sana leo nakupa hii ngoma ya SOLEDAD wakiongozwa Shane Steven Filan. Backstreet Boys ngoma zao pia zilifunika sana, mimi nakupa huu "show me the meaning of being lonely" wakiongozwa na 'Howie D'
Taja kundi unalolikubali ukitaja na ngoma zilizokuvutia zaidi
Mimi nlikuwa mpenzi wa Backstreet Boys na my favorite song ilikuwa QUIT PLAYING GAMES WITH MY HEART
Tiririkeni wadau
Kundi gani lilikubamba na kwanini?
NSYNC walitamba na ngoma nyingi ila huu wa THIS I PROMISE YOU wakiongozwa na Justin Timberlake. Westlife Walibamba sana leo nakupa hii ngoma ya SOLEDAD wakiongozwa Shane Steven Filan. Backstreet Boys ngoma zao pia zilifunika sana, mimi nakupa huu "show me the meaning of being lonely" wakiongozwa na 'Howie D'
Taja kundi unalolikubali ukitaja na ngoma zilizokuvutia zaidi
Mimi nlikuwa mpenzi wa Backstreet Boys na my favorite song ilikuwa QUIT PLAYING GAMES WITH MY HEART
Tiririkeni wadau