Wimbo mpya The Brand New song kutoka kwa kijana Killy akimshirikisha The king of bongo fleva Mr. Alikiba! Wimbo unakwenda kwa jina la Gubu.
Plz subscribe and Watch Good music from Pure Bongo...
The GODDESS comes out with another masacre featuring uganda's finest dancers #GhettoKids , the queen of uganda's stages #SpiceDiana and South Africa's baddest female rapper #GigiLamayne The song...
Member wa JamiiForums siku ya leo amefanikiwa kutoa albamu pia kuzindua Vesta Project. Kupitia Vesta Project ametoa albamu yenye nyimbo takribani 10 pamoja na hints kuelekea utoaji wa kitabu hicho...
Jana nilikuwa naangalia kipindi chenu cha Women matters, kipindi kizuri ila kilikuwa hakina utulivu, hujui nani mgeni nani muongozaji, kila mtu anongea tu kama wako Baa, infact kiliboa sana...
MARIJANI Rajabu ingawa hatunaye tena hapa duniani, wapenzi wa muziki wa dansi hapa nchini hata nchi za jirani hawatamsahau kamwe.
Alikuwa miongoni mwa wanamuziki waliotoa mchango mkubwa wa...
Wanajukwaa habari.
Leo kuna tamasha la Tigo Fiesta jijini Dar es Salaam, Uwanja wa Taifa. Sijafanikiwa kwenda, kwasababu flani flani, ila ningependa kupata updates yanayoendelea.
Nilipenda sana...
Napenda kabla sijalala kusikiliza karibia kila siku hizi nyimbo
1.Kenny Rogers-The Gambler(HASA HII na pia huwa mkubali sana huyu jamaa kenny)
2.Don Williams-Listen To The Radio
Embu...
Tumaini langu mko poa na hata Kama hamko poa , hamna serious sickness ndiyo maana mpo JF time Hii
By the way nimeona nitoe mchango kwa namna ambavyo tunaweza kuwatunuku wasanii wetu heshima...
Kusema kweli siku hizi nimejikuta nashangaa sana jinsi binadamu tunavyotofautiana katika kupokea mambo.
Mimi huwa nafurahi na kupenda nyimbo hadi za wasomali,lakini huu bugana!Nawashangaa tu sana...
Nimepita maeneo ya Uhuru hapo shamba la bibi, ni hatari sana.. Ama hakika hawa jamaa ni balaa aisee, stage ni ya kimataifa, sound moja hatari sana, kumefungwa speaker zaidi ya mia moja, hawa jamaa...
Mimi ni miongoni mwa wasikilizaji wa redio hii hasa wa vipindi vya Power Breakfast, Jahazi na Amplifier. Hii ni wiki kama ya tatu redio hii haisikiki Morogoro na hakuna taarifa yoyote.
Jamani...
Tovuti 13 kwa ajili ya Movie Streaming bure.
Zitafute hizi kwenye Google:
1. Popcornfix
2. MovieNoLimit
3. Hotstar
4. Viewster
5. Snagfilms
6. TubiTV
7. Vudu Movies
8. Crackle
9. Yidio
10...
Wadau wa jukwaa hili wasalaam,
Mimi ni miongoni mwa watu wanaopenda sana muziki wa harakati, ingawa sisi wapenzi wasikilizaji tunapata burudani ila wasanii husika wamekuwa wakipata changamoto za...
Niko ground hapa uwanja haujajaa, pia majukwaa yako tupu. Nilijua bei ikiwa ndogo ingevuta watu wengi.
Hii inapelekea mpaka sasa hawarushi live matangazo yao kwenye Tv. Hata Millard Ayo camera...
Tuache unafiki Jana Nay wa Mitego na Konde Boy wamemfunika vilivyo Ali Kiba
Nyimbo zote alizoimba Nay wa Mitego ziliibua shangwe za ajabu kuliko wasanii wote waliopanda jukwa la Fiesta. Kama ile...
LEO Hii December 8, 2019
Katk ulimwengu wa burudani kuna rumos nying zime tanda kwenye mitandao tofauti ya kijamii
Juu ya kifo cha rapper Jarad Anthony Higgins Maarufu kama JUICE WRLD...