hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 662
- 523
Humo ndani wameimba kimafumbo wamewataja wafuatao:-
Mondi bin la deni
Lowassa
Dogo janja
Uwoya
Zari
Tanasha
Amber ruty
Shilole
Gwajiboy
Uchebe
Amunike
Mzee wa liqwidi
Ruge
Lissu
Wema sepetu
Ila wamewataja kimafumbo...take your time kuinjoy nyimbo na kuwarecognize
====
Wimbo: Kijiwe Nongwa wa ROSTAM Feat NAY WA MITEGO
Alikuja kama Masii tukamchangia sadaka Tukamwona nabii aliyeshushwa siku ya pasaka Tukamtolea na zaka ili kanisa lijengwe Eeh-eh na bado wakamlaza nabii kifo cha mende Hivi unamkumbuka babu?
Babu wa Loliondo Ah-ah yule mfugaji mwenye beach la kikogo Watu wamekufa, watu wamefungwa, watu wamepoteza biashara Sasa umekaribia uchaguzi amerudi chama tawala Vipi dada yetu wa Ihunga, simwoni udangani Ah mbona ashapata mchumba sio viben 10 wa zamani Yule fundi gereji chawa, si kamateka bibiye Na wamefungua mkahawa, yaani wote mama ntilie Na kuna dem aliyeachiwa mtoto akaolewa na mtoto Akaachana na mtoto akabaki anamlea mtoto Hizi ndoa za mjini bwana, zinasikitisha Eeh wanaofungiwa chumbani nauvunjikia --
So soka la Bongo linakwama wapi?
Tifwefu maanake nini Tanzania football failure, ndo nacho jua mimi Unamfukuzaje Hamunike ili udhaifu wenu umvuge Wakati mlimpeleka mlevi akacheze na mavude
Nasema leo hakilali kiporo, imeshakuwa kero Ukuta tunavunja kwa tindo Wameshapigwa guu wako telo Na kiki za kikolo Majita tushapiga kishindo Hili ni fagio la chuma Linang'oa visiki Safisha vichaka kwa moto
Simba kageuka duma Jangwa halipitiki Ukitufuata we toa boko Marehemu alimsema mnyonyaji, kwani mziki una maziwa?
Sasa Mungu kamhitaji na bado hajafanikiwa Hivi unadhani ndani ya mjengo nani ataliziba pengo? Wacha maisha yaendelee, jasiri ameumaliza mwendo Aliyeokota almasi mchangani alikuwa Miss Tanzania Na aliyekuja inunua dukani ni mganga aliyekuwa na nia Ya dhati la pakato akatokea mara mia Akawatumia ila mwamba ni mnyanyasaji wa kijinsia Sa skiza man hii--
my one Ah tupo tupo tu ila hatupo ka zamani Nawe vipi kwani, mbona wife simuoni nyumbani Hey chill man, sina majibu deal done Mbungeni daily majanga, viongozi wameishiwa mada Hivi mbunge wako wa Tanga hoja zake unaziskiaga? Sa nitazisikiaje?
Na ana spika mbovu za wana kijiji Ila fundi wao anakuja soon kutoka Ubelgiji Na Bi Tito na Dr Shika, tayari wamesahauliwa Mwenzao Mariamu, biriani anapika anapakuliwa Bongo bwana, ndo nchi inayosupport ujinga Utashangaa Amber Rutty kala shavu la babu Gwajima Yaliyosemwa yamesemwa Kazi kwenye mmezoea kutema Wakitaka tuwatafte tena Waambie muda sio rafiki mwema (Yeiye iyee )
Kusema kweli hatuchoki Na kwenda jela hatuogopi Tutabanana ata kama hapatoshi Hatupindishi ata kwa dumba Nasema leo hakilali kiporo, imeshakuwa kero Ukuta tunavunja kwa tindo Wameshapigwa guu wako telo Na kiki za kikolo Majita tushapiga kishindo Hili ni fagio la chuma Linang'oa visiki Safisha vichaka kwa moto Simba kageuka duma Jangwa halipitiki Ukitufuata we toa boko
Mondi bin la deni
Lowassa
Dogo janja
Uwoya
Zari
Tanasha
Amber ruty
Shilole
Gwajiboy
Uchebe
Amunike
Mzee wa liqwidi
Ruge
Lissu
Wema sepetu
Ila wamewataja kimafumbo...take your time kuinjoy nyimbo na kuwarecognize
====
Wimbo: Kijiwe Nongwa wa ROSTAM Feat NAY WA MITEGO
Alikuja kama Masii tukamchangia sadaka Tukamwona nabii aliyeshushwa siku ya pasaka Tukamtolea na zaka ili kanisa lijengwe Eeh-eh na bado wakamlaza nabii kifo cha mende Hivi unamkumbuka babu?
Babu wa Loliondo Ah-ah yule mfugaji mwenye beach la kikogo Watu wamekufa, watu wamefungwa, watu wamepoteza biashara Sasa umekaribia uchaguzi amerudi chama tawala Vipi dada yetu wa Ihunga, simwoni udangani Ah mbona ashapata mchumba sio viben 10 wa zamani Yule fundi gereji chawa, si kamateka bibiye Na wamefungua mkahawa, yaani wote mama ntilie Na kuna dem aliyeachiwa mtoto akaolewa na mtoto Akaachana na mtoto akabaki anamlea mtoto Hizi ndoa za mjini bwana, zinasikitisha Eeh wanaofungiwa chumbani nauvunjikia --
So soka la Bongo linakwama wapi?
Tifwefu maanake nini Tanzania football failure, ndo nacho jua mimi Unamfukuzaje Hamunike ili udhaifu wenu umvuge Wakati mlimpeleka mlevi akacheze na mavude
Nasema leo hakilali kiporo, imeshakuwa kero Ukuta tunavunja kwa tindo Wameshapigwa guu wako telo Na kiki za kikolo Majita tushapiga kishindo Hili ni fagio la chuma Linang'oa visiki Safisha vichaka kwa moto
Simba kageuka duma Jangwa halipitiki Ukitufuata we toa boko Marehemu alimsema mnyonyaji, kwani mziki una maziwa?
Sasa Mungu kamhitaji na bado hajafanikiwa Hivi unadhani ndani ya mjengo nani ataliziba pengo? Wacha maisha yaendelee, jasiri ameumaliza mwendo Aliyeokota almasi mchangani alikuwa Miss Tanzania Na aliyekuja inunua dukani ni mganga aliyekuwa na nia Ya dhati la pakato akatokea mara mia Akawatumia ila mwamba ni mnyanyasaji wa kijinsia Sa skiza man hii--
my one Ah tupo tupo tu ila hatupo ka zamani Nawe vipi kwani, mbona wife simuoni nyumbani Hey chill man, sina majibu deal done Mbungeni daily majanga, viongozi wameishiwa mada Hivi mbunge wako wa Tanga hoja zake unaziskiaga? Sa nitazisikiaje?
Na ana spika mbovu za wana kijiji Ila fundi wao anakuja soon kutoka Ubelgiji Na Bi Tito na Dr Shika, tayari wamesahauliwa Mwenzao Mariamu, biriani anapika anapakuliwa Bongo bwana, ndo nchi inayosupport ujinga Utashangaa Amber Rutty kala shavu la babu Gwajima Yaliyosemwa yamesemwa Kazi kwenye mmezoea kutema Wakitaka tuwatafte tena Waambie muda sio rafiki mwema (Yeiye iyee )
Kusema kweli hatuchoki Na kwenda jela hatuogopi Tutabanana ata kama hapatoshi Hatupindishi ata kwa dumba Nasema leo hakilali kiporo, imeshakuwa kero Ukuta tunavunja kwa tindo Wameshapigwa guu wako telo Na kiki za kikolo Majita tushapiga kishindo Hili ni fagio la chuma Linang'oa visiki Safisha vichaka kwa moto Simba kageuka duma Jangwa halipitiki Ukitufuata we toa boko