kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kusema kweli siku hizi nimejikuta nashangaa sana jinsi binadamu tunavyotofautiana katika kupokea mambo.
Mimi huwa nafurahi na kupenda nyimbo hadi za wasomali,lakini huu bugana!Nawashangaa tu sana watu wanaoupenda wimbo huu.
Ni ajabu sana,sioni kabisa kama akili zimeumia hapo kutunga na kuimba
Mimi huwa nafurahi na kupenda nyimbo hadi za wasomali,lakini huu bugana!Nawashangaa tu sana watu wanaoupenda wimbo huu.
Ni ajabu sana,sioni kabisa kama akili zimeumia hapo kutunga na kuimba