Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu, Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikisikia hii show maarufu ya Big Brother, inayowachukua watu tofauti tofauti kutoka nchi za Afrika kuingia katika mjengo mmoja na mwisho wa siku mtu kuibuka na...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Marvel Fans na DC kidogo Superhero gani zaidi kuliko mwenzie katika hizi picha na kwanini ? 1)Thor Vs Superman 2)Thor Vs Captain Marvel 3)Captain Marvel Vs Wonder Woman 4)Captain Marbel Vs...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
ITN newsreader Alastair Stewart was accused of calling a black Twitter user an "ape" just weeks before announcing his shock resignation from ITV News this evening. The veteran newsreader, 67...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
KIUMBE WA USIKU 01 “Naitwa Joy.. naishi Tandale. Abeeeh! Nina miaka 18,” hiyo ilikuwa ni sauti ya Joy akijibu maswali aliyoulizwa; akiwa katika moja ya vyumba vya gesti maarufu kwa jina la...
3 Reactions
6 Replies
6K Views
MTUNZI: ALLY MBETU 0713646500 Toka nimefika kwa mshikaji wangu Sammy ambaye tulisoma shule moja, baada ya kuandamwa na matatizo yaliyosababishwa na watoto wa kike kiasi kuwa nuksi kila...
1 Reactions
7 Replies
9K Views
Wakuu hope mko poa. Mimi ni mfuatiliaji kiasi wa movies za wenzetu hasa Hollywood & the like. Kinachonishangaza ni kuhusu budget zao, how comes mtu ana Invest up to $1.2 billions then faida...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Fela Anikulapo Kuti, jina lake la kuzaliwa Olufela Olusegun Oludotun Ransome-Kuti; alizaliwa 15 Oktoba 1938 alifariki 2 Agosti 1997) alikuwa mwanamuziki wa Nigeria. Alikuwa anapiga muziki wa...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Da hawa jamaa nimependa sana hii song yao inaitwa Melanin, humo kuna ma black beauty hatari, by the way kwanini tz wasanii wetu wanapenda kuweka wanawake weupe kwa video zao. Tofauti na nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yule msanii bora wa hiphop wa muda wote, yaani ninamaanisha yule msanii bora kabisa wa hiphop kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa mbingu na nchi ameachia albamu mpya inayokwenda kwa jina la Music to...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Ana kipaji kila mtu anafahamu hilo na akipanda jukwaani watu wanaelewa this is King Kong mtoto wa Ilala anaisimamisha DSM kweli, lakin nyota yake imefifia kwa sasa.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
A BUILDER has made the bonkers claim that Megxit was a cover-up to hide the truth that he is Prince Charles and Camilla’s secret son. Simon Dorante-Day, 53, says his family ties would have been...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
USINIUE MAMA YANGU Na, Robert Heriel Taikon wa Fasihi. Mama mimi ni mwanao (Kwa sauti ya huzuni). Mimi! Mimi ni mtoto wako. Usiniue. Ilikuwa ni sauti ya kijusi kilichokatika tumbo la Bertha...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kipande hiki cha muziki kilitengenezwa na mmoja kati ya wakali wa muziki wa zamani wa Ujerumani. Huyu bwana alitambulika kama Wolfgang Amadeus Mozart, kipande hiko cha muziki kikiwa ni Serenade...
2 Reactions
2 Replies
942 Views
Hebu tupia mstari wa wimbo wowote ambao ulikufanya ufikie malengo yako au kufanya kitu kikubwa kwenye maisha yako. Mfano: .... Changa uchache uende kiwanja unachotaka Funga mkanda, fungua mabano...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kisa cha kutaka kufungiwa ni kukosa maadili katika tenzi zake.
0 Reactions
44 Replies
14K Views
Nimekuwa nikifuatilia sana Wasafi Tv channel na radio pia nimeona ni jinsi gani hamjajipanga na mnafanya kazi kwa mazoea. Naamini hata wafanyakazi wenu wengi hawana taaluma ya utangazaji wala...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
If you love the easy hardcore HipHop; this will be definitely your Jam... Worth listening, Mad talent.
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Mchekeshaji na muigizaji kutoka nchini marekani ambaye ni mzaliwa wa nchini Ghana, Jafari Ferguson maarufu kwa jina la Michael Blackson, Leo tarehe 11 mwezi january amepost picture kwenye mtandao...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wadau wa JF? kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Ningependa kujua ni maeneo gani huyu kijana Ferouz anapatikana. lengo kubwa la kutaka kuonana nae ni kwamba nahitaji kumuinua kimuziki...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii ni kwa wapenzi na wafuatiliaji wa The story book kutoka wasafi fm! Hawa jamaa walianza vizuri sana na hichi kipindi chao lakini lakini saizi kipindi kinazidi kupoteza mvuto, baada ya kuanza...
1 Reactions
37 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…