Chombezo: Kiumbe wa usiku

Chombezo: Kiumbe wa usiku

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,662
https://4.bp.blogspot.com/-_Nc20QyW9nA/VyOtIX4_DUI/AAAAAAAAAqg/DjWJY9Q8qwc0kg5HLoZrvRaPmkeZJuJRgCLcB/s1600/20160428092259.jpg

KIUMBE WA USIKU 01
“Naitwa Joy.. naishi Tandale. Abeeeh! Nina miaka 18,” hiyo ilikuwa ni sauti ya Joy akijibu maswali aliyoulizwa; akiwa katika moja ya vyumba vya gesti maarufu kwa jina la Kuyangatana Guest House na mzee mmoja wa makamo aliyeonekana kuvutiwa na maongezi kwanza kabla ya kufanya ngono.
Joy aliyeonekana hana muda wa kupoteza alianza kumvua nguo yule mzee, alitaka kumalizana na mteja huyo haraka na kurudi tena uchochoroni ambapo wenzake walikuwa wamejipanga kusubiri wateja wengine wa kiume wenye hamu ya kufanya nao mapenzi.
“Kwa nini unafanya biashara hii wakati wewe ni msichana mzuri ambaye hata naweza kukuoa kabisa,” aliuliza yule mzee huku akijitahidi kuhakikisha ile tomasatomasa ya Joy inatoa majibu sahihi ya kusimamisha mlingoti wake ili uvalishwe kinga na kuanza kuchapa kazi.
“Babu mimi sina cha kukujibu, naomba tufanye tulichokijia!” alijibu Joy kwa ukali na kuendelea kuutomasatomasa mlingoti wa babu hadi ulipoitika.
Akahakikisha anauvalisha mpira na kuuingiza korokoroni. hakuwa na haja ya kuzungusha kiuno wala kuvua nguo zake zaidi ya kupandisha kimini chake hadi juu na kumuachia babu wa watu kiwiliwili kiasi cha kumuacha akihema hovyo juu ya kifua chake kibichi.
“Nikubalie nikuoe wewe mtoto mtamu kweli, aaashhhh mmmmhh! ” yalikuwa ni makelele ya mzee wa watu lakini kutokana na uzoefu wa kazi yake wala Joy hakuhangaika kumjibu lolote yule mzee zaidi ya kuhesabu dakika kimoyomoyo akikadiria mzee huyo atadondokea dakika ya ngapi.
Lakini tofauti na wazee wengine na vijana wengi wa siku hizi, wanaomaliza haja zao ndani ya dakika moja tu, mzee huyo alihimili mikiki, hakutegemea kama mzee huyo angedumu dakika tano.
 
Mtu kaikatisha mwenyewe halafu anashangaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom