Utangulizi:
Pengine umejaribu kuangalia series ya Game of Thrones lakini umeshindwa kuielewa kwa sababu mbalimbali.
Hapa nakupa utangulizi wa baadhi ya mambo yaliyotokea katika dunia hii ya...
Only lengendary understand this seasons
Ipi ilikukoshaa na hasa tukio gani huwezi lisahau.
Changia tuone picha itabaki kuwa ni dhahabu.
Only Lengendary wanazielewa hizo picha
Naanza GOT John...
Habari zenu wakuuu...!!!ni hivi nilikuwa na shida moviee yeyote ya kibongo ambayo ni nzuri nicheki mda huu nimemiss movie za kibongo kwaiyo kama,
Kuna yeyote anayejua jina la bongo movie nzuri...
Yani nipo sehemu napata upepo mara unapigwa wimbo wa Juma Kakere. Kama ni mfuatiliaji wa muziki wa dance utaujua. Sasa ni wimbo mtamu sana, tena wa siku nyingi. Najiuliza, kilichomfanya kuimba...
TAHADHARI!! Kama huna kichwa cha kuelewa na kuchambua mistari ya hiphop bora upite kushoto, hutakaa waelewa Fid Q na Joh milele.
Asee nimesikiliza hii nyimbo zaidi ya mara 3 yani alivyozungumza...
Yani kuna ngoma kibao zimewekwa ndani WCB, lengo lao kutaka tu kupinzana na Konde Boy.
Eti Rayvany Mr Nyegezi katoa ngoma 5 bada ya jeshi kutoa. Sasa Diamond anasubiri siku tu Harmo akitoa ngoma...
Jina la Kamili: Seydou Koné
Jina la kisanii: Alpha Blondy
Nchi: Ivory Coast
Alizaliwa :1 Januari 1953 ( miaka 62 kwasasa) Dimbokoro, Ivory Coast
Aina ya muziki : Raggae
Kazi yake : Muimbaji...
wadau huu uzi maalumu kwa wapenzi wote wa nyimbo za mwambao za kuanzia mwaka 2000 kurudi nyuma hadi 1918 nimemkumbuka sana asu misambano,bi shakila,bi malika,mushrooms wazee wa embe dodo, , ...
Spac Dawg ndiye msanii anayefanya Kiswahili cha Arusha kiwe na maneno ambayo yanatumiwa Zaidi na watu wa kule. Maneno kama ‘Mafekeche’ ‘Fasi ya dwasi’, ‘Fyade’ ‘Yechu!Yechu!’ nk ni maneno ambayo...
Mimi najiuliza kuhusu hivi vipindi na umuhimu wake kwa jamii.
Jamani watangazaji wanajinogesha kama wako kitandani duh!havichochei ngono kweli?Mambo yanayoongelewa ni vichocheo tosha.
Nani...
Hakuna kitu kibaya sana humu duniani kama shida
Haichagui mtu, siku wala mwaka
Haina katu taarifa shida huingia shida bila hodi
Si mtoto wala mkubwa wote shida
Kila siku shida shida haiishi mpaka...
Wana jamvi habarini za majukumu,
Kwa wale tuliotekwa na kuangalia tamthiliya pendwa ya Wounded Love inayoonyeshwa na Azam Two, sasa ipo ukingoni.
Ni muigizaji na tukio lipi lilikuvutia katika...
Wale wapenzi wa twanga pepeta,akudo impact na fm academia nyimbo zao kuanzia 2002 mpaka 2012 tukumbushane enzi
Mimi nakumbuka
Mtu na pesa zake-twanga pepeta
Password- password ya maisha yangu...
SWAHILI UNIVERSE INAKULETEA FILAMU ZA BONGO KILASIKU
SAPOTI FILAMU ZETU KWA KUSUBSCRIBE LINK HII: Swahili Universe - Latest Bongo Movies USIPITWE
Hii ni channel yako namba 1 kukuletea visa na...
Habari viongozi,
Jana nimetoka kumsikia mtoto aliyezaliwa kwenye miaka ya 2004 (15) akiimba wimbo wa Kilimanjaro Band uitwao Boko.
Sasa najiuliza hawa vijana, wanawezaje kuimba nyimbo ambazo...
Hivi wasanii au mtu anapoweka video yake Youtube analipwa Shilingi ngapi za Kitanzania? Kinachoongeza kipato ni namba ya views, downloads au na urefu wa wimbo pia?
Kwa mfano video ya dakika 4...
wadau naomba tutoe maoni yetu kuhusu nani mkali zaidi ya mwenzake kati ya magwiji hawa wawili wa reggae, alfa blondy na lucky dube.
baadhi ya nyimbo za alfa blondy
1. jerusalem
2. masada
3...