Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Utangulizi: Pengine umejaribu kuangalia series ya Game of Thrones lakini umeshindwa kuielewa kwa sababu mbalimbali. Hapa nakupa utangulizi wa baadhi ya mambo yaliyotokea katika dunia hii ya...
8 Reactions
21 Replies
7K Views
Only lengendary understand this seasons Ipi ilikukoshaa na hasa tukio gani huwezi lisahau. Changia tuone picha itabaki kuwa ni dhahabu. Only Lengendary wanazielewa hizo picha Naanza GOT John...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Habari zenu wakuuu...!!!ni hivi nilikuwa na shida moviee yeyote ya kibongo ambayo ni nzuri nicheki mda huu nimemiss movie za kibongo kwaiyo kama, Kuna yeyote anayejua jina la bongo movie nzuri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Yani nipo sehemu napata upepo mara unapigwa wimbo wa Juma Kakere. Kama ni mfuatiliaji wa muziki wa dance utaujua. Sasa ni wimbo mtamu sana, tena wa siku nyingi. Najiuliza, kilichomfanya kuimba...
0 Reactions
0 Replies
780 Views
Habar za muda huu ndugu wanajukwaa,naomba kwa yeyote mwenye nyimbo za waganda aziweke kwenye uzi huu! Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
2K Views
TAHADHARI!! Kama huna kichwa cha kuelewa na kuchambua mistari ya hiphop bora upite kushoto, hutakaa waelewa Fid Q na Joh milele. Asee nimesikiliza hii nyimbo zaidi ya mara 3 yani alivyozungumza...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Yani kuna ngoma kibao zimewekwa ndani WCB, lengo lao kutaka tu kupinzana na Konde Boy. Eti Rayvany Mr Nyegezi katoa ngoma 5 bada ya jeshi kutoa. Sasa Diamond anasubiri siku tu Harmo akitoa ngoma...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jina la Kamili: Seydou Koné Jina la kisanii: Alpha Blondy Nchi: Ivory Coast Alizaliwa :1 Januari 1953 ( miaka 62 kwasasa) Dimbokoro, Ivory Coast Aina ya muziki : Raggae Kazi yake : Muimbaji...
5 Reactions
65 Replies
17K Views
wadau huu uzi maalumu kwa wapenzi wote wa nyimbo za mwambao za kuanzia mwaka 2000 kurudi nyuma hadi 1918 nimemkumbuka sana asu misambano,bi shakila,bi malika,mushrooms wazee wa embe dodo, , ...
1 Reactions
50 Replies
22K Views
Spac Dawg ndiye msanii anayefanya Kiswahili cha Arusha kiwe na maneno ambayo yanatumiwa Zaidi na watu wa kule. Maneno kama ‘Mafekeche’ ‘Fasi ya dwasi’, ‘Fyade’ ‘Yechu!Yechu!’ nk ni maneno ambayo...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Mimi najiuliza kuhusu hivi vipindi na umuhimu wake kwa jamii. Jamani watangazaji wanajinogesha kama wako kitandani duh!havichochei ngono kweli?Mambo yanayoongelewa ni vichocheo tosha. Nani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hakuna kitu kibaya sana humu duniani kama shida Haichagui mtu, siku wala mwaka Haina katu taarifa shida huingia shida bila hodi Si mtoto wala mkubwa wote shida Kila siku shida shida haiishi mpaka...
2 Reactions
0 Replies
781 Views
Wana jamvi habarini za majukumu, Kwa wale tuliotekwa na kuangalia tamthiliya pendwa ya Wounded Love inayoonyeshwa na Azam Two, sasa ipo ukingoni. Ni muigizaji na tukio lipi lilikuvutia katika...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wale wapenzi wa twanga pepeta,akudo impact na fm academia nyimbo zao kuanzia 2002 mpaka 2012 tukumbushane enzi Mimi nakumbuka Mtu na pesa zake-twanga pepeta Password- password ya maisha yangu...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Hawa netflix nahisi wanaweza kuharibu ratiba za valentines day Mzigo upo eztv(dot)io
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SWAHILI UNIVERSE INAKULETEA FILAMU ZA BONGO KILASIKU SAPOTI FILAMU ZETU KWA KUSUBSCRIBE LINK HII: Swahili Universe - Latest Bongo Movies USIPITWE Hii ni channel yako namba 1 kukuletea visa na...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari viongozi, Jana nimetoka kumsikia mtoto aliyezaliwa kwenye miaka ya 2004 (15) akiimba wimbo wa Kilimanjaro Band uitwao Boko. Sasa najiuliza hawa vijana, wanawezaje kuimba nyimbo ambazo...
1 Reactions
30 Replies
8K Views
Hivi wasanii au mtu anapoweka video yake Youtube analipwa Shilingi ngapi za Kitanzania? Kinachoongeza kipato ni namba ya views, downloads au na urefu wa wimbo pia? Kwa mfano video ya dakika 4...
2 Reactions
25 Replies
7K Views
wadau naomba tutoe maoni yetu kuhusu nani mkali zaidi ya mwenzake kati ya magwiji hawa wawili wa reggae, alfa blondy na lucky dube. baadhi ya nyimbo za alfa blondy 1. jerusalem 2. masada 3...
1 Reactions
78 Replies
26K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…