Lucky Dube vs Alfa Blondy nani mkali zaidi katika reggae?

Lucky Dube vs Alfa Blondy nani mkali zaidi katika reggae?

VOICE OF MTWARA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
3,121
Reaction score
2,235
wadau naomba tutoe maoni yetu kuhusu nani mkali zaidi ya mwenzake kati ya magwiji hawa wawili wa reggae, alfa blondy na lucky dube.
baadhi ya nyimbo za alfa blondy
1. jerusalem
2. masada
3. aPartheid is nazism
4.
Peace in liberia
na hizi ni baadhi ya nyimbo za dube
1.
Prisoner
2.remember me
3. together as one
4. slave



 
The crazy world Dube ni mkali sana,unasoma kwenye magazeti,unaangalia TV jinsi watu wanavyokufa kama inzi lakini huamini ipo siku mlango wako utavunjwa na mbele yako kasimama mbaba kavaa koti kubwa anataka uhai wako ndipo utajua the world is crazy ,r.i.p
 
LUCK DUBE NI AFRICA'S REGGAE KING. NI KATI YA WANAMUZIKI WA AFRIKA WALIOUZA SANA KAZI ZAO NA KWA UPANDE WA REGGAE NDIYE ALIKUWA KINARA WA MAUZO. ALPHA BLONDY KWA DUBE NI SAWA NA KUFANANISHA KOENIGSEGG CCXR TREVITA NA RANGE ROVER
 
Alpha Blondy - Zenith Paris



Alpha Blondy - Rasta Bourgeois

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom