Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kuna movie moja niliiangalia miaka ya 90 ikihusisha mapambano makali yenye mbinu za hali ya juu kabisa za kijeshi..... Ilifikia hatua Staring wa hiyo movie ambayo nimesahau jina lake alitamka...
0 Reactions
1 Replies
856 Views
KIDAWA (sijivunii Uchawi) Kipande cha 1 Na Gaooh Simu=0654387935 Nawakaribisha wote kwa pamoja kusoma simulizi hii ya kuvutia. Katika makuzi yangu sikuwahi kumuona baba wala mama, sura pekee...
2 Reactions
60 Replies
37K Views
Huu wimbo hakika ni mzuri ukiuimba mpaka unajisikia raha.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Baada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre. Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond... Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Sikiliza kwa makini wimbo huu, namna maudhui, sauti na mpangilio wa vyombo ulivyofanyika. Je mziki huu wa kibantu unafeli wapi against Bongo fleva? Yaani mziki wa namna hii kwa nini unashindwa ku...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kila kitu hapa ulimwenguni ni art na hii kazi ya arts ina kiwango chake. Hata mambo ya usalama ni kazi ya sanaa iliyojaa watu wa level tofauti. Kuna mjamaa mmoja alitumwa na boss wake kumfuatilia...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Kuna mbingu, na Kuna ardhi. Muziki wa Reggae umekuwa ukiheahimika duniani kote kwa maudhui yake maridhawa yaliyobeba ujumbe mzito wa kiukombozi na kuleta watu pamoja. Muziki wa sengeli ni muziki...
15 Reactions
14 Replies
2K Views
Mtunzi: Badi .M.Bao Email: badi.bao11@gmail.com Mobile: 0625920847 HUBA LA MISS-TANZANIA-PART 01 Mchakamchaka chinja la mgambo limelia, asiye na mwana aeleke jiwe, hoi hoi, shamrashamra, vifijo...
6 Reactions
63 Replies
19K Views
Habari zenu, nimekuja tena ndugu yenu kwenye riwaya hii fupi ya UNA NINI MELISSA? Nashukuru kwa wale wote waniungao mkono, wajuazo raha zilizo ndani ya story tamu. Haya sasa tufunge mkanda...
14 Reactions
240 Replies
32K Views
Jukwaa la wasanii katika kampeni za CCM limezidi kuimarika baada ya kuongezeka msanii wa nyimbo za Injili Rose Mhando. Rose amekuja na wimbo mpya wa kampeni "Magufuli Tubebe" Siasa ni sayansi...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Kiukweli kuna kipindi bahati inachangia kwenye maisha ijapokuwa utaweza kuwa na kipaji. Mfano halisi ni huyu Producer Luffa Jamaa ni talented sana ila hana bahati. Inasemekana pale switcher...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za Leo wakuu, Hili gitaa la huu wimbo limekaaje.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar wakuu,! Bass guitar pamoja na combo yake vinauzwa kwa pamoja. Being ni laki tano(500000). Combo ilikuw inatumika kwa askofu Gwajina haina tatizo inagonga muzki mzito unaotak ila kwa nyuma...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii nyimbo mpya ya Alikiba ni Diss track ?... Kwa maana rahisi ya kamusi Mediocre ni 'ya kawaida' 'wakaida' 'wa wastani' yani hujafika kwenye good ila ishatoka kwenye bad yani unajitahidi. Nani...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Nyimbo ya Alikiba imeweza kushika Namba Sita kwenye chat ya nyimbo Bora za Africa Alikiba ndio Msanii pekee Alie kwenye chat hiyo kwa ukanda wa East Africa Ameweza kuonyesha kwa kiasi Gani yeye...
4 Reactions
48 Replies
7K Views
Nadiriki kusema mwaka huu na mwaka kesho na kuendelea hakuna video itayokuja kuwa Kali zaidi ya hii ya Harmonize mpaka kesho. Director hanscana ni muuaji mnoo yaani kitu kipo kama movie quality...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Masaa machache tangu video ya mwanadada queen wa WCB kuwekwa youtube huko tayari imekuja kumtoa mtu pale juu. ZUCHU FT DIAMOND PLATNUMZ - Litawachoma Alafu unajua nini?? Eti kuna watu TWAWAKERA😀...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Habar wana JF kwa wakubwa, Shkamooo! Jioni ya leo katika pita pita zangu nimekutana na kijana yupo anasikiliza huo wimbo kupitia simu ake (****mbele kwa mbele) kweli nilimtizama kwa hasira sana...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…