Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,912
- 12,988
Leo asubuh Wasafi FM wamewasha mitambo yao Green City Mbeya
Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin
Safi sana kijana