abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Nyimbo ya Alikiba imeweza kushika Namba Sita kwenye chat ya nyimbo Bora za Africa
Alikiba ndio Msanii pekee Alie kwenye chat hiyo kwa ukanda wa East Africa Ameweza kuonyesha kwa kiasi Gani yeye Ni msanii wa Muziki na Sio Mfanya skendo ili Aonekane
Kwa Hatua hii Namuona Diamond akiachana na Zuchu na kuweka nguvu nying kwenye Muzik ili tu aweze kurudisha Ile Hali yake ya ushindan kama Zamani Kwani Kiba alivyo relax nayeye akalala
Pia siioni nafas ya Harmonize Tena na asipo angalia huenda akawa kama Rich Mavoko maana vurugu zote Hana nyimbo hata Moja ilioingia kwenye chat za Africa
My take kwa Alikiba endelea kufanya muziki mzuri kaka kwani wabongo tu Ndio wanaenda skendo ila nje watu wanapenda kazi
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Alikiba ndio Msanii pekee Alie kwenye chat hiyo kwa ukanda wa East Africa Ameweza kuonyesha kwa kiasi Gani yeye Ni msanii wa Muziki na Sio Mfanya skendo ili Aonekane
Kwa Hatua hii Namuona Diamond akiachana na Zuchu na kuweka nguvu nying kwenye Muzik ili tu aweze kurudisha Ile Hali yake ya ushindan kama Zamani Kwani Kiba alivyo relax nayeye akalala
Pia siioni nafas ya Harmonize Tena na asipo angalia huenda akawa kama Rich Mavoko maana vurugu zote Hana nyimbo hata Moja ilioingia kwenye chat za Africa
My take kwa Alikiba endelea kufanya muziki mzuri kaka kwani wabongo tu Ndio wanaenda skendo ila nje watu wanapenda kazi
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app