Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,175
- 22,576
Kiukweli kuna kipindi bahati inachangia kwenye maisha ijapokuwa utaweza kuwa na kipaji. Mfano halisi ni huyu Producer Luffa
Jamaa ni talented sana ila hana bahati.
Inasemekana pale switcher record yeye lufa alipoondoka kwenda wanene aliacha mafile yake mengi yenye beat ambazo hazina vocal kibao na zingine zilikuwa kwenye external ndo akawa anazitumia es2kizzy .
Kwa maana nyingine kizzy alikuwa anatumia kazi za luffa. Luffa amesuka beat nyingi Kali kama kababaye ya chin bees na nyimbo za Rosa ree kibao bila kusahau arosto ya G Nako.
Luffa anasifika kuwa ni mtaalam wa kupiga violin na kinanda. Kwa sasa yupo wanene record.
Watu kama kina layzer wamepata bahati ya kufanya kazi sehemu kubwa lakini ni utopolo.
Hii chini ni beat yake luffa alisuka hivi juzi
Jamaa ni talented sana ila hana bahati.
Inasemekana pale switcher record yeye lufa alipoondoka kwenda wanene aliacha mafile yake mengi yenye beat ambazo hazina vocal kibao na zingine zilikuwa kwenye external ndo akawa anazitumia es2kizzy .
Kwa maana nyingine kizzy alikuwa anatumia kazi za luffa. Luffa amesuka beat nyingi Kali kama kababaye ya chin bees na nyimbo za Rosa ree kibao bila kusahau arosto ya G Nako.
Luffa anasifika kuwa ni mtaalam wa kupiga violin na kinanda. Kwa sasa yupo wanene record.
Watu kama kina layzer wamepata bahati ya kufanya kazi sehemu kubwa lakini ni utopolo.
Hii chini ni beat yake luffa alisuka hivi juzi