Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Niko wazo nitawapigia kura wasanii wa ncho yoyote ile ila sio wasanii wa Tanzania. Sana nitawapigia kura wasanii wa Nigeria
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari, Navutiwa sana kupiga mziki hasa kwenye halaiki. Natumia simu na power-mixer huku watu wanapiga mziki kishamba sana. Au telegram channel ambayo inahusisha haya mambo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huyu the Weeknd ana-sound kama Michael Jackson ukisikiliza hii Starboy,Call out my name,The hills, N.k Ni hatari sana. Justin Bieber mtaalamu wa Sorry,What do you mean,Love youself, n.k Nani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna jamaa alikuwa mwendeshaji wa kipindi cha "HIP HOP BASE"EATV Miaka ya 2007.mwenye kufahamu huyu jamaa yupo wapi?na anafanya nini anijuze tafadhali.
2 Reactions
66 Replies
20K Views
MSALITI ASAKWE - 1 IMEANDIKWA NA : PATRICK J. MASSAWE ******* Simulizi : Msaliti Asakwe Sehemu Ya Kwanza (1) MAJIRA ya saa nane za mchana, walionekana vijana watatu, wakiwa wamekaa upande wa baa...
5 Reactions
19 Replies
50K Views
JULAI 7 story by richard MWAMBE Dunia inakumbwa na wimbi la ugaidi, matukio ya kutisha yanayopoteza maisha ya walio wengi katika pande mbalimbali za dunia ikiwemo Afrika hususan...
2 Reactions
48 Replies
29K Views
MTUNZI Amata Gaimba Sehemu 1 SEHEMU FULANI HUKO AFRIKA MAGAHARIBI MACHO YANGU yalikuwa mazito sana kiasi kwamba iliniwia ngumu kuyafumbua. Haikuwa rahisi kwangu, nilijaribu kutumia nguvu ya...
13 Reactions
290 Replies
69K Views
RIWAYA: HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA MTUNZI: Richard MWAMBE MAHALI: BAGAMOYO SIMU: 0766974865 Riwaya ya kufikirika, itakayokupa taharuki, tafadhalisoma kwa makini ikiwezekana rudia mara kadhaa...
2 Reactions
21 Replies
8K Views
Tanzania kwanza, kura zote kwa Wanaijeria.
1 Reactions
2 Replies
654 Views
Sehemu Ya Kwanza Kwa Majina naitwa Kelvin pia James, Haya ni majina ambayo sikupewa na wazazi wangu Bali nilijibatiza mwenyewe lengo hasa likiwa Ni kujibland wakati najitambulisha mbele za watu...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Kikundi cha mziki kilichopo milambo kinachoitwa PiTCHO GANG kimeachia Ngoma kuhusu milambo. Nyimbo inaitwa CHAMA LA WANAUME inapatikana YouTube.... Itafute upate burudani... Miongoni mwa...
1 Reactions
0 Replies
438 Views
Kama kichwa cha thread hapo juu kinavyosema Ipi series nzuri hapo juu kuanzia uhusika mpaka series yenyewe ipi ni nzuri hasa zaidi tukiwazungumzia wahusika wakuu PRISON BREAK unamkuta Michael...
6 Reactions
159 Replies
23K Views
BURUDANI: Watengenezaji wa ‘Game of Thrones’ wapanga kukaa mbali na mji ili wasisikie maoni ya watu baada ya tamthilia hiyo kuisha David Benioff na D.B Weiss wamenukuliwa wakisema wakati wa...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kwa mujibu wa Shazam, wimbo wa mwanamuziki Master KG umevunja rekodi ya kuwa wimbo uliotafutwa zaidi duniani. Congrats @MasterKGsa! #Jerusalema is now the most Shazamed song in the world...
4 Reactions
13 Replies
4K Views
Sasa unaweza kuskiliza street One radio katika page zote za online radio station bila ya shida seach Google street One radio au bila ya kuacha nafasi yani streetoneradio ok kisha chagua pa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Riwaya: Pasipoti ya Gaidi part 1 Mtunzi: Richard Mwambe Pasipoti ya Gaidi: Hujuma na Uzandiki Sura ya I Ikulu – Dar es Salaam Saa 10:30 Alfajiri Wakati giza likijiandaa kutoweka na kuipisha...
4 Reactions
36 Replies
14K Views
SISI WETU NI MAGUFULI, WENGINE MSITUTISHE! Tanzania yapendeza Amani yetu yaangaza Uhuru wetu twajivunia Na tisa hamsini metimia Beberu we situtishe Utaipata kasheshe. Wapo wenye inda Nia yao...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu naombeni msaada kutambua movie hii kwa maelezo mafupi nitakayo yatoa hapa. Hii movie nahisi imetolewa 1997 ni ya gerezani stara wa hii movie hupenda kujifunga kitambaa kichwani...
0 Reactions
1 Replies
992 Views
Lili kundi Hard Blasters na ile ngoma MWOKOZI NITOE ROHO. Mwenye kujua majina yao hawa jamaa anikimbushe TBT.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…