Wapi napata sound effects?

Wapi napata sound effects?

MC44

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
2,168
Reaction score
3,306
Habari,

Navutiwa sana kupiga mziki hasa kwenye halaiki. Natumia simu na power-mixer huku watu wanapiga mziki kishamba sana.

Au telegram channel ambayo inahusisha haya mambo
 
Audiojungle.com

Kama ni DJ Tag ingia fiverr.com walipe wadosi wakufanyie voice tag.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom