Oi oi oi Kalinye Kalinye
huyu jamaa nimemuona kwenye ngoma moja yuko na ZOLA D
Jamaa alifanya niwe nakifuatilia kipindi kila jtano, eeeh bwana dah!
Jamaa ypo poa sana, kama kawaida, kalnye kalnye...ndan ya sinza kwa remmy, anaendeleza mapambano binafs ndan ya mtaa!Ntamwambia wana-JF wnakuulzia....
Huyu jamaa jembe tangu akiwa na DIPLOMATZ hz bongo flava ndo inaanza Tz!
Nakumbuka walikuwa watoto fulani wa kishua, walikuja na track yao moja ilikuwa inaitwa are u down! na moja siikumbuki ilikuwa na chorus, nanukuu "kukuru kakala zako we zitakuponza".
Huyu jamaa jembe tangu akiwa na DIPLOMATZ hz bongo flava ndo inaanza Tz!
Nakumbuka walikuwa watoto fulani wa kishua, walikuja na track yao moja ilikuwa inaitwa are u down! na moja siikumbuki ilikuwa na chorus, nanukuu "kukuru kakala zako we zitakuponza".
Unaharibu mkuu,Huyu jamaa jembe tangu akiwa na DIPLOMATZ hz bongo flava ndo inaanza Tz!
Nakumbuka walikuwa watoto fulani wa kishua, walikuja na track yao moja ilikuwa inaitwa are u down! na moja siikumbuki ilikuwa na chorus, nanukuu "kukuru kakala zako we zitakuponza".