Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wimbo uliobuniwa na Timu ya CHADEMA kwa ajili ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 unaweza kuwa ndiyo wimbo Bora kabisa kwa Chaguzi za hivi karibuni. Wimbo unaitwa "AIYAYA CHADEMA" Sikiliza mwenyewe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jina la msanii: Mejja Jina la wimbo: Niko Poa Nchini: Kenya huu ni okonkwo tangu nikuje Nairobi watu wangu wa Majengo sijawasahau skia hii Verse 1 bro najua nimekosa sana ndio nimeandika hii...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Haina ubishi wakuu hakika hili ndio litakua hiphop kali na lenye beat funiko mwaka 2020. Beat lake tu ni hatari. Kama una sabufa lako jirani hapo jaribu kuconnect utasikia bonge la dundo.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za weekend wanajamvi. Moja kwa moja kwa mwenye kujua ni series au movie gani inaleta raha na kufurahisha hasa ukiwa unaangalia na mke au mpenzi wako. Iwe ya aina yoyote ile ila sio (pono)...
3 Reactions
50 Replies
11K Views
Niliacha kutazama hizi filamu za kitanzania kwa sababu ya makosa mengi ya dhahiri kuanzia uigizaji na matukio yanayoendana na filamu zao. Kuna mwigizaji hivi karibuni amejitokeza kwa filamu zenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii ni kwa wale wapenda movie huwa tumezoe kuona wengi huwapenda sana mahero/starring kwenye movie kushinda maadui mm ni mmoja kati ya watu ambao wanaopenda sana maadui kushinda mahero/starring...
5 Reactions
71 Replies
9K Views
My Soulmate Episode 1 Produced by EquatorStory Specials Stela :”Nickson uko wapi jamani ?? Mpaka sasa umechelewa sana.”. Ilikuwa ni sauti ya stela akimngojea mpenzi wake Nickson alie kuwa njiani...
2 Reactions
125 Replies
26K Views
Kwa kweli hata mimi sijui jina lake, wala aliyeupiga. Ingawa hata mimi ninaupenda huenda kuliko yeye. Laki yeye ndiye anahitaji aupakie kwenye simu yake sasa hivi! Sasa nafanyaje ili nipooze kiu...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Leo nataka tushare kidogo kuhusu apple music, kama tunavojua nje na kuproduce simu, Pc, watches, tv etc apple pia wana app ya music digital streaming services . Apple Music launched june30,2015...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Zuchu ameachia ngoma yake ambayo amemshirikisha msanii kutoka Nigeria JOEBOY ngoma inaitwa NOBODY humo ndani zimechanganywa lugha mbili kiingereza na kiswahili Sent from my SM-A107F using...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hivi kati ya Justin Bieber na Bruno Mars nani zaidi? Watu wamuziki tusaidiane kidogo hapa..
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu kiukweli tukubali tukatae hili ndio song Kali kuliko yote Tanzania kwasasa. Ukilitizama hili song unatamani uendelee kutazama tu.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tokea nimalize kuangalia GOT bado hakuna series iliyo attract my attention Sana mpaka nilipokutana na hii Series. Kisa Ni Black man jamaa anaitwa Atticus alitoka jeshini south Korea, enzi hizo za...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mziki wa zamani kwa asilimia kubwa ulifanywa kwa makundi na tumeshuhudia makubndi mengi sana Bongo yaliyohit sana na kusaidia kuusogeza muziki wa Bongo kwa kiasi fulani. Katika kuyakumbuka makundi...
5 Reactions
73 Replies
32K Views
DUKA LA ROHO SEHEMU YA 1. SAA 2:50 ASUBUHI. JIJINI DAR ES SALAAM, MAENEO YA SINZA AFRICA SANA. Wanaonekana watu wawili wakiwa wanafukuzana huku mfukuzaji akiwa kakamata bastola aina ya Baleta...
6 Reactions
180 Replies
53K Views
Kipenda roho, kipenda roho... Kipenda roho, kipenda roho hula nyama mbichi Kipenda roho haoni wala hasikii Akipenda anapenda oh Akipenda hasikii Kipenda roho, kipenda roho... Eeh ni ya nini wee...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari za leo wakuu, Leo nimekuja na song la my best friend anaitwa Aisha, song linaitwa stay. Kila nikiingia youtube naona viewers wanaongezeka kwa kasi mnoo. Hii inatangaza hali hatari kwa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna kazi nyingi sana za riwaya za kipepelezi ambazo zimetungwa na waandishi mahiri hapa nchini kama Ben Mtobwa n.k hali kadharika riwaya za kawaida kama za maisha. Je ni zipi zaidi zinapendwa na...
0 Reactions
19 Replies
14K Views
Doh! Washkaji nendeni XXL DJ Sinyorita kakinukisha huko doh! Huyu demu siyo mtu mzuri anapiga mix za kufa mtu yaani alivyonimiksia ile ngoma ya gyptia halafu akagusa roko ya mtaalam tyga aaaahhh...
5 Reactions
21 Replies
5K Views
Tuzo za Billboard mwaka 2020 zimemalizika usiku wa kuamkia leo, Post Malone ameibuka kinara kwa kuondoka na tuzo 9 mkononi. Malone amenyakua vipengele vya; Top Artist, Top Male Artist, Top...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…