mwakavuta
Member
- Sep 22, 2020
- 99
- 307
Kwangu mimi huyu ni rapa bora wa muda wote ninamuweka kundi moja na marapa bora kabisa waliowahi kutokea Tanzania. Sijaona kazi yake yoyote ambayo hajaitendea haki.
Huyu jamaa hajawahi kukosea stail yake ya kuachia ngoma kwa series, kuanzia Hatia, nobody is safe, lost angel, siku mbaya, kanisa, ndoa, kikao amedhihirisha uwezo mkubwa sana alio nao kifalsafa. sasa hivi amekuja na ngoma mpya kwa mtindo wa masimulizi inaitwa Verteller ni wimbo unaofaa kusikilizwa na kila mwenye akili.
Tatizo la Dizasta nililoliona si mtu wa kuachia videos za nyimbo zake hii inamkosesha coverage ya television nyingi.
Naona sasa kuna haja ya wakereketwa wa hip-hop ngumu kuanzisha kituo cha redio kitakachowapa heshima wasanii wetu wa hip-hop ngumu watambulike zaidi.
Binafs sina deni na Dizasta hii ni icon ya hip-hop ya tanzania kwa miaka mingi sana ijayo.
Huyu jamaa hajawahi kukosea stail yake ya kuachia ngoma kwa series, kuanzia Hatia, nobody is safe, lost angel, siku mbaya, kanisa, ndoa, kikao amedhihirisha uwezo mkubwa sana alio nao kifalsafa. sasa hivi amekuja na ngoma mpya kwa mtindo wa masimulizi inaitwa Verteller ni wimbo unaofaa kusikilizwa na kila mwenye akili.
Tatizo la Dizasta nililoliona si mtu wa kuachia videos za nyimbo zake hii inamkosesha coverage ya television nyingi.
Naona sasa kuna haja ya wakereketwa wa hip-hop ngumu kuanzisha kituo cha redio kitakachowapa heshima wasanii wetu wa hip-hop ngumu watambulike zaidi.
Binafs sina deni na Dizasta hii ni icon ya hip-hop ya tanzania kwa miaka mingi sana ijayo.