Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimetokea kuikubali sana hii series Maisha ya Daudi akiwa mchungaji wa kondoo huko milimani akipambana na wanyama wakali huku kaka zake wakiwa nyumbani Maisha ya mfalme Sauli aklivyolewa sifa...
3 Reactions
8 Replies
790 Views
Binafsi sio mfuatiliaji sana wa nyimbo hasa ambazo sielewi lugha yake Mwanzoni nilianza kuona wimbo wa makombolela kwenye page mbalimbali za instagram, baadaye kila aliyepost au kupiga wimbo huo...
2 Reactions
9 Replies
651 Views
Imebaki siku moja tu kabla ya kuonyeshwa duniani kote, Netflix wameachia trela ya kwanza kabisa ya Sean Combs: The Reckoning, mfululizo wa documentari ya sehemu nne (four-part docuseries)...
0 Reactions
1 Replies
291 Views
We and Dem” is Bob Marley’s warning about division, injustice, and oppressive systems, and a call for unity and awareness. It reflects the struggle of ordinary people against corrupt powers that...
1 Reactions
1 Replies
182 Views
Katika kupitia maoni ya JF members, nimekutana na post ya Roman Israel Esq ambayo kutokana na upeo wangu kuwa mdogo nimeshindwa kumuelewa Tosh. Sijui shida yake ilikuwa ni nini. Je, hakutaka...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
PENZI LA NYOKA MTU MTUNZI:HAKIKA JONATHAN WHATSAP:0629905923 *SEHEMU YA KWANZA** Msitu wa Ukijani ulikuwa kimya sana,ukimya uliopelekea sauti za ndege kusikika kila pembe ya msitu huo.Ndege...
1 Reactions
2 Replies
8K Views
tory za kusisimua. Simulizi: 'MKUFU WA MALIKIA WA KIJINI' Mtunzi: Meteck Derthod SEHEMU YA--- 01 Shukurani kwa:- 1> Mungu aliyeniumba na kunifanya niendelee kuishi mpaka muda huu. 2>Wote wanaotoa...
4 Reactions
10 Replies
9K Views
Huu utakuwa ufafanuzi rahisi was kitu ama Muda. Je inawezekana kwenda miaka ya mbele ama kurudi nyuma kwa akina Yesu na Yuda Eskaroti? Sasa hapa utapata ufafanuzi wa time travel. Ipo ama haipo...
2 Reactions
60 Replies
9K Views
Onyo: simulizi hii ni kazi ya ubunifu (fiction). Wahusika, matukio, majina ya kampuni (isipokuwa yale yanayojulikana sana, mfano 'Dar es Salaam)na taasisi za kisiasa zilizotajwa hapa ni za...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Naombeni kujua ni chanel gani nzuri kwa ajili ya kupata movies telegram
0 Reactions
10 Replies
813 Views
Jimmy Cliff alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutokea Kingston Jamaica na ndiye aliyekuwa mashindani mkubwa sana wa Bob Marley. Wote Jimmy Cliff na Bob Marley walivuma sana miaka ya 70 kabla Bob...
1 Reactions
5 Replies
370 Views
Wakuu naombeni mdondoshe movie kali[emoji116][emoji116]
3 Reactions
59 Replies
8K Views
Kama mtunzi hii ni simulizi yangu ya kwanza kuandika na kuitangaza nje ya jukwaa husika. Mimi ni mwandishi wa simulizi kutoka jukwaa la fasihinet.com ya boss singanojr 😁 Nisielezee sana kuhusu...
4 Reactions
162 Replies
30K Views
Mamtoni Kuna ranking za verse Kali za Hip hop ambazo vesi kama zifuatazo zimepata kupewa hadhi ya juu mara nyingi, NY state of mind verse 1- Nas Shook one verse 1 - Prodigy - Mob Deep Loose your...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Waandaaji wa SolFest ya bendi ya Sauti sol imetangaza kuhairisha tamasha lao la Solfest Tanzania Pre-Party, lililokuwa limepangwa kufanyika tarehe 22 Novemba jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya...
4 Reactions
12 Replies
294 Views
[MPYA 2024] FROM ISRA TO ISRA. Sehemu ya..............01 Mtunzi: Saul David Simu: 0756862047 Email: saulstewarty@gmail.com UTANGULIZI... Ulikuwa ni mchana wa jua kali, Mwanaume mmoja...
2 Reactions
60 Replies
17K Views
[Intro] Yeah, farewell Uh, uh, uh, uh Hey, farewell Hey, all my niggas, farewell Fayettenam Look Yeah, yeah, yeah, look [Verse 1] Some niggas let they dirt out, some just keep it all in 'em So...
4 Reactions
15 Replies
918 Views
Nimeona ni share hii Hadith yangu fupi ya utotoni. Nilipo kuwa mdogo, miaka karibu 4–5, nilienda na watoto wenzangu kuogelea mtoni. Tulivua nguo kama kawaida. Mimi, kwa udogo wangu, sikuwahi...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Wadau wa Games, kuanzia PC hadi consoles. Rockstar Games wamesogeza zaidi muda wa kuzindua GTA-6 kutoka May hadi Nov 2026. Pata muda wa kununua PS5 yako au upgrade PC yako mapema.
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…