Amani ni Tunda la Haki (Yak. 3:18).
Kazi ya haki ni kuleta amani (Isa. 32:17)
Pasipo Haki, hakuna Amani.
Furaha na upendo ni matunda pacha na amani (Wagalatia 5:22)
Mama Kanisa anatutuma kama...
Baada ya kuona kuwa nyumbani kunanichosha jioni ile, nikaamua niende katika baa iliyokuwa mtaa wa nne kutoka katika nyumba niliyokuwa naishi.
Pindi nilipowasili katika lango kuu la baa nililakiwa...
Serikali iache ukale.
Mambo yamebadilika, jeshi sio nguvu, jeshi sio adui wa mwananchi bali rafiki wa mwananchi.
Wasanii wa vichekesho wapate vibali vya kuvaa nguo za jeshi au zinazolingana na...
Wale wenzangu ambao kila upatapo muda unakimbilia section ya reality TV shows pita hapa.
TV shows zangu mara nyingi naangalizia Netflix, DSTV[app] na Showmax.
My favorite so far:
1. Young...
Nyota ya mtu inaweza kufifia lakini bado kuna watu wataendelea kuithamini na kuiona ni nyota bora kuliko zote.
Amonaizy Wamataizy ni jina maarufu sana mkoa wa Kigoma hususani wilaya ya Kasulu...
GENERAL DEFAO
mara ya kwanza nasikiliza album ya Defao (Defao Matumona) ilikuwa inaitwa General and Big Stars mwaka 1993 nlipenda saut ya huyu jamaa alikuwa naimba kw autulivu flani ingawa sikuwa...
Aloha kakahiaka....
Kama wewe ni mpenzi wa kutazama mieleka kwa muda mrefu na unawafahamu baadhi ya wacheza mieleka utagundua kwamba michoro/tattoo zilizopo kwenye mikono na mabega ya The Rock...
Salaam
Huu uzi ni kwaajili ya animation (cartoon) kali ambazo uwezo angalia. Pia kujulishana ambazo zitatoka.
Animation yangu ya kwanza ilikua ni Big Hero 6, hii ilinifanya niwe mpenzi na...
TITLE: RIPOTI YA MKAGUZI.
SEHEMU YA KWANZA.
NDANI-OFISI YA MZEE WOTA.
Mzee Wota, Bwana wa miaka 60 hivi, ameketi akiwa makini akisoma kilichopo kwenye Lap top, huku akibofya keyboard ya Lap top...
Wakuu!
Hivi suala la Mdundo wa Taifa limeishia wapi? Au fedha za Watanzania zilitumika bure?
Kamati iliundwa, ikazunguka nchi nzima kukusanya sampuli na elements kutoka kwa kila kabila, juhudi...
Mimi napenda muziki hata usiwe maarufu au hitsong. Watu wengi uwa wanashangaa nyimbo nazosikiliza wanasema ni nzuri sometimes wanakuwa hawajazisikia kabisa.
Nakupa list ya baaadhi ya nyimbo za...
Katika kuleta ubunifu na ufanisi kwenye ufundishaji, Mwalimu Kalesi ameibua hisia mitandaoni baada ya kutumia wimbo maarufu wa msanii Mbosso, "Pawa", kufundishia wanafunzi wake darasani.
Kipande...
Nimewahi kumuona Zuchu anaimba akiwa kama na mavazi ya wanafunzi, pia nimewahi kuona Bangor la picha ya maigizo bongo muigizaji kavaa sketi kama mabinti wa shule. Hii ni sahihi