Rayvanny ni msanii talented sana linapokuaja suala ya kuimba yaani kibongo bongo ni R KELLY maana sio poa that's why anakimbiaza sana Spotify, tidal, apple music, you tube, Deezer , audiomack na...
Zuchu na harmonize waliachia nyimbo zao siku moja huko youtube
Lakini katika hali ya kushangaza views za Harmonize zilionekana kupaa ghafla kwa speed ya light 😅😅😅 mpaka watu tukawa tunashangaa...
Habari wana Jf
Ni muda mrefu nimekuwa nikiitafuta hii tamthilia ya Kichina iliyokuwa ikioneshwa TBC kwa lugha ya kiswahili lakini Sijafanikiwa kuipata.
Nimejaribu kugoogle kila aina ya context...
yelena na natasha wanaingia kwenye mikono dreykov wanapikwa kwa mafunzo makali na mbinu mbalimbali za kijasusi wao pamoja na mamia ya wasichana wanafanya kila wanchoambiwa kwa ubongo wao ni kama...
Taylor Swift, msanii namba moja kwa mauzo 2020/21
Kama unapenda melody nzuri sikiliza nyimbo hizi HUTOJUTIA
Cardigan
Seven
Willow(for girls)
tis the damn season
Long story short
Dorothea...
Kama kawaida akiona inatrend style flani ataungaunga na kuforce wimbo hadi upendwe. Jana kaingia studio na CN mufasa kutengeneza nahisi track ya mtindo wa kibondeni "Amapiano". Jamaa wanawadaka...
Mtandao wa YouTube wenye makao makuu yake Marekani. Umefuta baadhi ya viewers kwenye wimbo wa ATTITUDE wa msanii Harmonize aliyo mshirikisha Msanii wa Zamani H. Baba pamoja na msanii wa Lumba...
Leo nimeitazama mission imposible niliweka kwenye store mda mwingi nikawa naiskip tu kumbe ni bonge moja la movie
Iko hiv binti yoh dae hae ni kutoka kitengo nyeti cha usalama anatakiwa kufanya...
50 CENT, GHETTO ECONOMICS NA MUZIKI WA RAP - 1
UTANGULIZI
Peace Family
Kwenye Kitabu nilichoandika cha “Uelewe Utamaduni wa Hip Hop” kuna sura inajulikana kama “Vita vya Kimashahiri mjini New...
Back to Back Song mpaka mteme ndoano.
Kule kwa wachafu roho baada ya mziki kubuma, na kik za mademu Kubuma sasa wamejikita kwenda kukopa hela benk ili wanunue mandinga waweze trend
Hatimaye ijumaa imefika. Album hii, binafsi niliisubiri sana, mimi ni mdau mkubwa wa muziki wa Reggae, hawa jamaa wa Morgan Heritage ni moja ya Band bora kabisa ya Reggae. Gramps Morgan ametoa...
Burudani na mazoezi yamekuwa na umuhimu mkubwa katika karne hii. Viongozi katika nchi nyingi wamekuwa wakijaribu katika kuhimiza wananchi wao katika swala zima la kufanya mazoezi.
Kuwepo na...
Kuna Mzungu alikuja Tanzania kwa shughuli za kikazi. Katika mihangaiko yake alisikia njaa na muda wa lunch uliwadia. Alifikiria pa kupata chakula, aliamua kutafuta sehemu inayouza chakula apate...
Simulizi: AKWELINA
Mwandishi: RUVULY DE FINISHER
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1 YA 50
""" Mke wangu unajua hii inchi yetu ina mambo mengi mno ambayo tukiyaangalia kwa macho tunaona...