Nazi Mbili

Nazi Mbili

Binti Kirembwe

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
307
Reaction score
331
Hapo zamani za kale ,alikuepo baba mmoja alikua akiishi na kijana wake wa kiume , kazi ya mzee ilikua ni fundi mwashi,

Miaka ilisogea na uzee ulibisha hodi na kijana alizid imarika siku hadi siku ,na ilifikia wakati wa kijana kuish kwake ,ila kazi akiwa bado anafanya na mzee wake ,.

Baba aliku na tabia yakutoka kwake na kumpitia mwanawe wakiwa waeleka kazini.

Mzee alipo angalia kijana chake kimeshakua na wakat unamfungiza ,akamwambia wakat umefika wa kuwa na mwenza ,.

Kijana aliitikia wito wa baba na kutafuta mwenza ambae ,ataanza naye Maisha ,Baba akuwa na akutaka kumchagulia kijana mwenza alimpa uhuru wa kumchagua ampendaye ,.ijapokua alikua ni mtu wa kutoa mitihani ,.
Kuthibitisha chagua la mwana kama ni sahihi.

Kijana alimpata mwenza na kumueleza babaye na kisha baba kuridhia ,Maisha yaliendelea .

Siku Moja wakat anakuja kumchukua kijana wake kuelekea kazin ,alitoa nazi mbili na kisha kumwambia mkwewe na mwanawe kwamba hiki ndio chakula cha jion ,.

Kisha wakaondoka na kuelekea kazin ,kawaida yao ilikua ni kurudi jion kabsa .
Nyuma walimpa changamoto kubwa mtoto wakike Nazi mbili tu atazifanyaje hadi kiwe chakula ,kiukweli aliwaza had akili kugota ,na alichofanya alizivunja na kuzichokoa na kuweka katka sinia ,kisha kufunika na kawa akimsubiria mumewe na mkewe wakirud wapate chakula cha jion.

Mikono imechoka.... Kuandika...

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Hapo zamani za kale ,alikuepo baba mmoja alikua akiishi na kijana wake wa kiume , kazi ya mzee ilikua ni fundi mwashi,
Miaka ilisogea na uzee ulibisha hodi na kijana alizid imarika siku hadi siku ,na ilifikia wakati wa kijana kuish kwake ,ila kazi akiwa bado anafanya na mzee wake ,.
Baba aliku na tabia yakutoka kwake na kumpitia mwanawe wakiwa waeleka kazini.
Mzee alipo angalia kijana chake kimeshakua na wakat unamfungiza ,akamwambia wakat umefika wa kuwa na mwenza ,.
Kijana aliitikia wito wa baba na kutafuta mwenza ambae ,ataanza naye Maisha ,Baba akuwa na akutaka kumchagulia kijana mwenza alimpa uhuru wa kumchagua ampendaye ,.ijapokua alikua ni mtu wa kutoa mitihani ,.
Kuthibitisha chagua la mwana kama ni sahihi.
Kijana alimpata mwenza na kumueleza babaye na kisha baba kuridhia ,Maisha yaliendelea .
Siku Moja wakat anakuja kumchukua kijana wake kuelekea kazin ,alitoa nazi mbili na kisha kumwambia mkwewe na mwanawe kwamba hiki ndio chakula cha jion ,.
Kisha wakaondoka na kuelekea kazin ,kawaida yao ilikua ni kurudi jion kabsa .
Nyuma walimpa changamoto kubwa mtoto wakike Nazi mbili tu atazifanyaje hadi kiwe chakula ,kiukweli aliwaza had akili kugota ,na alichofanya alizivunja na kuzichokoa na kuweka katka sinia ,kisha kufunika na kawa akimsubiria mumewe na mkewe wakirud wapate chakula cha jion.
Mikono imechoka.... Kuandika...

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Wapumbavu huianza Safari ambayo hawajui wataializa vipi, na huishia njiani.
Hongera kwa kupumbavuka
 
Hapo zamani za kale ,alikuepo baba mmoja alikua akiishi na kijana wake wa kiume , kazi ya mzee ilikua ni fundi mwashi,
Miaka ilisogea na uzee ulibisha hodi na kijana alizid imarika siku hadi siku ,na ilifikia wakati wa kijana kuish kwake ,ila kazi akiwa bado anafanya na mzee wake ,.
Baba aliku na tabia yakutoka kwake na kumpitia mwanawe wakiwa waeleka kazini.
Mzee alipo angalia kijana chake kimeshakua na wakat unamfungiza ,akamwambia wakat umefika wa kuwa na mwenza ,.
Kijana aliitikia wito wa baba na kutafuta mwenza ambae ,ataanza naye Maisha ,Baba akuwa na akutaka kumchagulia kijana mwenza alimpa uhuru wa kumchagua ampendaye ,.ijapokua alikua ni mtu wa kutoa mitihani ,.
Kuthibitisha chagua la mwana kama ni sahihi.
Kijana alimpata mwenza na kumueleza babaye na kisha baba kuridhia ,Maisha yaliendelea .
Siku Moja wakat anakuja kumchukua kijana wake kuelekea kazin ,alitoa nazi mbili na kisha kumwambia mkwewe na mwanawe kwamba hiki ndio chakula cha jion ,.
Kisha wakaondoka na kuelekea kazin ,kawaida yao ilikua ni kurudi jion kabsa .
Nyuma walimpa changamoto kubwa mtoto wakike Nazi mbili tu atazifanyaje hadi kiwe chakula ,kiukweli aliwaza had akili kugota ,na alichofanya alizivunja na kuzichokoa na kuweka katka sinia ,kisha kufunika na kawa akimsubiria mumewe na mkewe wakirud wapate chakula cha jion.
Mikono imechoka.... Kuandika...


Naendelea tena!
Wakati jua likielekea magharib kwa kasi na kiza kikizid kuufukuza mwanga au nuru ya jua , mzee na kijana chake ilikua ni mida ya kuanza safari ya kurudi nyumbani ,kupumzisha mwili ,ila ni lazima aipitie kwa mwanawe wapate chakula cha jioni ,.
Walipifika nyumbani baada ya mwendo mrefu walimkuta Dada keshaanda mkeka tayar na sinia ikiwa juu ya mkeka .
Kama ilivyo desturi alikwakaribisha na kuwaelekeza katka mkeka wa chakula kijana kufunua kawa walikuta Nazi zilizo nakshiwa kwenye sahani ,
Walikula baada ya mda mchache mzee akaaga ili aondoke ,.
Wakati anaondoka alimuita kijana na kumwambia tizama kizingiti chako akija kaa sawa ,kisha mzee akaondoka .
Kijana alimuelewa baba yake maana yake na asubui ilipofika alimuacha yule mke na kumrusisha kwao!
Kisha akamueleza baba yake maamuzi yake Mzee akamwambia sawa ,tafuta mungine ,.
Siku zilisogea na miaka ikajivuta ,.
Kijana akabahatika kupata jiko lingine ,.
Na alikua ni binti mcheshi na mchangamfu sana ,kiukweli kijana alitokea kumuelewa sana.
Ila kama kawaida yule ni asubui Moja alikuja kumfuata kijana wake ili waende kazin ,na alipofika nyumban kwa mwanawe ,.wakat wanataka kuondoka akazitoa zile Nazi mbili na kumwambia hiki ndicho chakula cha jion,.
Kiukweli mdada alishangaa Nazi mbili zawezaje kuwa chakula cha jioni .!?
Akiwa yupo katika tafakuri nzito kijana na mzee waliondoka na kuelekea kazini .
Yule mwanamke aliwaza sana ila akupata jibu kabsa ,.
Alichofanya ni kuikuna kutumia mbuzi ,kisha kuiweka katka sahani na kuinakshia ,kisha kufunikia na kawa kuwasubiria jion watakapo kuja wale .
Mda ulizid yoyoma na jua liizid kukimbilia Magharib kuaahiria siku inakatika na usiku unabisha hodi ,.
Kijana na mzee wake wakaianza safari ya kurudi nyumbani ,ila kijana akiwa katika Lindi Zito la mawazo kuhusu mkewe je ataweza kuandaa chakula kupitia Nazi mbili !?
Safari ilitawaliwa na ukimya mrefu had mzee akamuuliza mbona leo upo kimya sana.!?
Kijana alijibu kazi ya leo imenichosha sana ,kujarib kuficha kinacho muumiza ,
Mda simrefu walifika nyumbani na kupokelewa kwa uchangamfu mno kutoka kwa mke wa kijana.
Kisha akimuuliza mumewe habari za kazi na kama angetaka kuoga kwanza !? Kijana alijib wangeanza kula kwanza ili mzee wake asichelewe kurud nyumbani
Walielekezwa kukaa katika mkeka ulioandaliwa makhusus kwa ajil ya chakula cha jioni ,kijana kufungua kawa wakakuta Nazi ilikunwa na mbuzi ,walikula baada ya mda mfupi kumaliza mzee aliaga na kuondoka ,!!!
Kisha akirudia kauli ile ile tizama kizungiti chako akija kaa sawa ,.
Yule mwanamke akashangaa !! Na kumuuliza mumewe mbona kizingiti kipo sawa tu na mlango auna shida!!
Mzee aliondoka....

Naendelea.....
Basi kama desturi ilivyo kijana alitekeleza amri ya baba na kumuacha yule mwanamke ijapokua alikua anampenda sana na mchakato wa kutafuta mke mungine ukaanza ambaye atakua kizingiti kilicho imarika kutoka na mtizamo wa baba.
Aikupita mda mrefu kijana alipata jiko na kulileta nyumban na Maisha yalienda kwa kasi kama kawaida na shughuli za Maisha zikaendelea .
Ikawa baba anakuja kumchukua kijana wake na kuelekea kazin na ndoa ikawa njema tu na Maisha yakawa ni yenye furaha tele na amani.
Kama desturi ya mzee asubui Moja akaja kumchukua kijana kuelekea kazin na kisha kuacha Nazi mbili ,kisha akasema hiki ndicho chakula cha jioni mama andaa leo Nitakuja kula kwenu.
Mama akazichukua na kuzihifadhi kisha wao waliondoka na kuelekea kazini !!!
Huku kijana akiwa na hofu juu ya mtihani ule alio achiwa mkewe ,je atatatua kitendawili kile!?
Huku nyumbani mwanamke aliziuna zile na kwa kutumia mbuzi na kisha akatengeneza tui la Nazi ,kisha akalichemsha na kuzalisha mafuta ya Nazi .
Baada ya kuzalisha yale mafuta ya akayaweka kwenye chupa mbili na kisha kuyapeleka sokoni na kuyauza .
Baada ya kuyauza ile pesa alinunua Nazi zingine zaid na kurudi nazo nyumbani,. Baada yakufika nyumbani alizikuna na kundaa tui jingi na kisha kulichemsha na kupata mafuta mengi tu ya Nazi .
Baada ya kuzalisha akayatia kwenye chupa ,kisha kurudi sokoni na kuyauza .
Baada yakumaliza kuuza kisha pesa aliyoipata akanunua mchele na kitoweo na kisha kurudi nyumbani na kisha kuanza kuandaa cha jioni .
Na baada yakumaliza kupika aliweka chakula katika sinia na kuandaa mkeka na kisha kufunika na kawa tayar kuwasubiria baba na mtoto wakat wa kurud .
Jua kama kawaida yake lilikua lipo mbion kuzama na kiza kikinyemelea .
Huku baba na mwana wakiwa njian kurud nyumban ,wakiwa wanaongea hili na lile ila kijana mwazo yakiwa nyumban kuhusu mtihani ule .
Baada ya mwendo mrefu walifka nyumbani ,kijana akuitaj chochote zaid kuelekea kwenye mkeka Moja kwa Moja.
Alikaa chin na kufunua kawa na kukuta chakula ,alihema kwa kishindo na baba akasogea katka mkeka ,
Walikula kwa pamoja na baada ya kumaliza ,mzee akamuuliza umefanya je had kupata chakula mke akaelezea utaratibu wote.
Baba akasimama na kumwambia mwanawe kizingiti chako hiki ni imara na ukitunze na kukisimamia.
Kisha mzee aliondoka.
Nimemaliza.
Shukria .
 
Back
Top Bottom