CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Huwa nyimbo za Mayaula Moyoni zinanipa sana wakati mgumu, nikizisikia tu namkumbuka Marehemu Mama angu, alipenda mno nyimbo za Mayaula Moyoni kibao kama Ko Tika Te, ni kibao alicho kuwa anapenda sana.
Kanda ya Mayaula ilikuwa haizimishwi kabisa make muda wowote ilikuwa inawekwa kwenye Caset, nilikuwa mdogo sana miaka ya 90+
Huwa nikisikiliza basi siku nzima nakuwa na huzuni, kuna wakati niliacha kabisa kusikiliza nyimbo za Mayaula labada nikutane na wimbo mtaani.
Kanda ya Mayaula ilikuwa haizimishwi kabisa make muda wowote ilikuwa inawekwa kwenye Caset, nilikuwa mdogo sana miaka ya 90+
Huwa nikisikiliza basi siku nzima nakuwa na huzuni, kuna wakati niliacha kabisa kusikiliza nyimbo za Mayaula labada nikutane na wimbo mtaani.