Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,572
- 3,125
Wanaume tumeumbiwa huu ulimwengu.
Movement na maisha ya sasa yamefanya wanaume kuonekana watu wa chini sana.
Wanaume tusimame.
Lakini najua hatuhitaji nguvu au movement kama za wenzetu ili kuonekana sisi ni wanaume.
Tatizo letu ni kuishi kumfurahisha mwanamke mpaka tunasahau malengo yetu kabla ya kuoa.
Unakuta ulipangwa nitakuwa hivi au nitafanya hobby hii ila sababu ya hao wenzetu msimamo inabadilika.
Nachukia kauli hii eti '' mwanaume umia malaya apone''. Serious yaani unatafuta pesa yote kwa ajili ya malaya??
Kuwa responsible father ndio kinachotakiwa.
Kuhakikisha watoto nyumbani wanakuwa njema.
Kuna nyimbo nzuri zinazungumzia fahari ya kulea watoto kimaadili kibaba. Tuliolelewa kiuanaume tunajijua.
Najua tu napitia mazito kwenye kutafuta maisha.
Kuwa mwanaume jipige kifua kusema me ni mwanaume.
BY the way kuna wakati nikiwaga na stress za maisha huwa nasikiliza music ambazo mashairi yake ya kiume hunipa spirit ya kujiona mwanaume na kuimiliki hii dunia as Adam was given this world kabla ya..........
Nikishasikiliza ubongo hupata nguvu ya kupambana.
Music huwa nasikiliza hasahasa asubuhi nikiwa ninaenda mihanagaikoni basi huniletea hali na moyo wa kupambana hatari.
Hizi hapa mwingine anaweza ongezeka.
1.Aloe Blacc_ Am a Man
2. Future _ Mask off
3. Michael jackson _Man in the mirror
4.Drake_ Headlines
5.Geez mabovu_ mtoto wa kiume.
6. The cure _ Boyz don't cry
7. DAZ nundaz_ nipe tano
8. P DIDDY_ coming home
9. Chris brown _miracle
10. Drake _ started from the bottom.
11. Eminem _loose yourself
12. Kanye west _ champion.
13.R.kelly_ the world greatest
14. Kid kudi _ pursue of happiness
15. Kanye west_ Good life
16. Robbie Williams _ better man
17. TI. Live your life
18. Chris brown _fire ft Kap G
19. Kanye west_Stronger.
20. Jack Ingram _that's a man
21. Big sean _one man can change the world
Future anakuambia '' chase a check don't chase a chick''
Chris Brown kwenye nyimbo ya fire anakuambia.' 'I see the nigga I wanna be in the mirror
And I didn't love myself like I do now' '
Geez mabovu hapa ndio kashuka hatari
' mimi ni mtoto wa kiume niache nijitume kama matunda yangu yapo niache niyachume.
. ___________________
Nyingine mnaweza ongezea
Movement na maisha ya sasa yamefanya wanaume kuonekana watu wa chini sana.
Wanaume tusimame.
Lakini najua hatuhitaji nguvu au movement kama za wenzetu ili kuonekana sisi ni wanaume.
Tatizo letu ni kuishi kumfurahisha mwanamke mpaka tunasahau malengo yetu kabla ya kuoa.
Unakuta ulipangwa nitakuwa hivi au nitafanya hobby hii ila sababu ya hao wenzetu msimamo inabadilika.
Nachukia kauli hii eti '' mwanaume umia malaya apone''. Serious yaani unatafuta pesa yote kwa ajili ya malaya??
Kuwa responsible father ndio kinachotakiwa.
Kuhakikisha watoto nyumbani wanakuwa njema.
Kuna nyimbo nzuri zinazungumzia fahari ya kulea watoto kimaadili kibaba. Tuliolelewa kiuanaume tunajijua.
Najua tu napitia mazito kwenye kutafuta maisha.
Kuwa mwanaume jipige kifua kusema me ni mwanaume.
BY the way kuna wakati nikiwaga na stress za maisha huwa nasikiliza music ambazo mashairi yake ya kiume hunipa spirit ya kujiona mwanaume na kuimiliki hii dunia as Adam was given this world kabla ya..........
Nikishasikiliza ubongo hupata nguvu ya kupambana.
Music huwa nasikiliza hasahasa asubuhi nikiwa ninaenda mihanagaikoni basi huniletea hali na moyo wa kupambana hatari.
Hizi hapa mwingine anaweza ongezeka.
1.Aloe Blacc_ Am a Man
2. Future _ Mask off
3. Michael jackson _Man in the mirror
4.Drake_ Headlines
5.Geez mabovu_ mtoto wa kiume.
6. The cure _ Boyz don't cry
7. DAZ nundaz_ nipe tano
8. P DIDDY_ coming home
9. Chris brown _miracle
10. Drake _ started from the bottom.
11. Eminem _loose yourself
12. Kanye west _ champion.
13.R.kelly_ the world greatest
14. Kid kudi _ pursue of happiness
15. Kanye west_ Good life
16. Robbie Williams _ better man
17. TI. Live your life
18. Chris brown _fire ft Kap G
19. Kanye west_Stronger.
20. Jack Ingram _that's a man
21. Big sean _one man can change the world
Future anakuambia '' chase a check don't chase a chick''
Chris Brown kwenye nyimbo ya fire anakuambia.' 'I see the nigga I wanna be in the mirror
And I didn't love myself like I do now' '
Geez mabovu hapa ndio kashuka hatari
' mimi ni mtoto wa kiume niache nijitume kama matunda yangu yapo niache niyachume.
. ___________________
Nyingine mnaweza ongezea