Menny Terry akubali ushauri ili awe YouTuber mzuri

Menny Terry akubali ushauri ili awe YouTuber mzuri

namanga-kitonga

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2020
Posts
679
Reaction score
747
Nimeangalia video zake kadhaa, mfano Daraja la Kijazi-Ubungo, Eco-Village Kigamboni, Makumbusho n.k.

Afanyie kazi haya;

1. Anachapia kiingereza(ajifunze lugha hiyo) utadhani ni Watanzania pekee ndio wanaangalia.
2. Hana mtiriri mzuri wa maelezo yake.
3. Hayupo sensitive kueleza/kutaja vitu.
4. Kutembea muda mwingi na kuhema hema kama anakimbizwa.
5. Presentation na mavazi yasiyoendana na maudhui/mahala husika.

ANGALIZO:

Atazame Youtuber maarufu kutoka Ghana (Ghanan Boy-Wode Maya) atajifunza kitu na kuwa bora zaidi ya sasa.

Povu Ruksa.
 
Binafsi naona jamaa ana uthubutu, ujasiri na jitihada, atafanya vizuri zaidi muda uendavyo, tumpongeze.
 
Atafute watu wa nje wa kutazama vipind vyake

Tanzania hii maisha magumu mtu aangalie barabara

Au awekeze zaidi kwenye vivutio
 
Back
Top Bottom