Diarra anaibeba Yanga

Diarra anaibeba Yanga

Kiplayer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
1,355
Reaction score
2,232
Kwa kiasi kikubwa kwenye mechi za hivi karibuni Djigui Diarra ameanza kutoa ushuhuda wa sifa alizopewa wakati wa usajili wake. Screen protector, mdaka mishale, mdaka mabomu na na sifa zote niliona wanampa promo! Nathubutu kusema kwa sasa bila yeye Yanga wasingeweka gap Hilo la point kwenye ligi.
 
Kwani dhumuni ya uzi wako ni ipi?
Ulitaka asifanye kazi yake?....
 
Back
Top Bottom