AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,885
- 8,482
Kwetu Tanzania tunazo Zilipendwa za akina Les Wanyika na Wengine wengi, lakini hao wote bado ni wa juzi tu
Marekan wanayo "Country Music" hii ni ya kitambo zaidi.
Ni tamu
Ina maadili pia
Ina hisia kali.
Na waimbaji wake ni watu wenye fikra pana na chanya katika Maisha
Binafsi nampenda sana Kenny Rogers aliyeimba The Gambler, Coward of the County, Lucille na nyingine nyiiingi.
Lakini naukubali zaidi wimbo wa Don Williams "I believe in you"
Upo Wimbo unaitwa "Remember when" uloimbwa na Alan Jackson, huu wimbo ni sehemu kubwa ya kumbukumbu za maisha yang ya utoto, ujana na nataman niishi uzee wangu katika njia hiyohiyo kwa maana ndiyo Furaha yangu.
Unafahamu nini kuhusu Country Music?
Unamfahamu nani kwa undani?
Umewahi kujifunza nini kupitia wimbo gan?
Nataman kujua zaidi kupitia ninyi ebu funguka.
View attachment 2275442View attachment 2275443View attachment 2275441
Marekan wanayo "Country Music" hii ni ya kitambo zaidi.
Ni tamu
Ina maadili pia
Ina hisia kali.
Na waimbaji wake ni watu wenye fikra pana na chanya katika Maisha
Binafsi nampenda sana Kenny Rogers aliyeimba The Gambler, Coward of the County, Lucille na nyingine nyiiingi.
Lakini naukubali zaidi wimbo wa Don Williams "I believe in you"
Upo Wimbo unaitwa "Remember when" uloimbwa na Alan Jackson, huu wimbo ni sehemu kubwa ya kumbukumbu za maisha yang ya utoto, ujana na nataman niishi uzee wangu katika njia hiyohiyo kwa maana ndiyo Furaha yangu.
Unafahamu nini kuhusu Country Music?
Unamfahamu nani kwa undani?
Umewahi kujifunza nini kupitia wimbo gan?
Nataman kujua zaidi kupitia ninyi ebu funguka.
View attachment 2275442View attachment 2275443View attachment 2275441