Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wanajamvi, "Mke na mume wakipigana, wewe shika jembe ukalime": Baada ya kimgogoro kidogo, Sony na marvel wametangaza biashara kati yao inaendelea. Hiyo inamaanisha Spider Man anabaki Marvel...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Gwala kwa wana Jf wote, naamini bado tunaendelea kupambana na maisha. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Nyimbo nyingi kutoka Afrika Magharibi zinaandaliwa kwa ubora mkubwa...
3 Reactions
34 Replies
6K Views
Naifikiria miaka mia moja ijayo, au labda mia mbili au mia tatu!! Ni nini itakuwa hatma ya dunia? mbari ya binadamu (human race) itaendelea kutawala? Mpaka kufikia siku ya leo, Tarehe 13 March...
46 Reactions
726 Replies
157K Views
chunga moyo ,,moyo unataka vingi tena utosheki huu moyo kwa tamaa ya moyo kunganga na shilingi....... Tena utosheki huu moyo ikiibidi kupambana vyovyote ili tupate kurumbanarumbana SI vyema...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Unaitwa "Tizita" na ameimba mwanamama anaitwa Aster Aweke. Naupenda sana kwenye melody yake na unanipaisha sana. Sasa usijekuta anazungumzia kilimo au baa la njaa huko kwao nami naweka fantasy...
1 Reactions
10 Replies
599 Views
Wadau habari.Kuna ngoma YA zamani sana aliimba Bugz Malone na D Rob.Bugz alikuwa anachana kingereza D Rob alipita na chorus YA kiswahili.Ngoma hii naitafuta sana,mwenye nayo afanye kushare
2 Reactions
1 Replies
445 Views
Silimulizi : Msako Wa Mwanaharamu Sehemu Ya Kwanza (1) Katika Pori fulani huko BAGAMOYO PORI LILIONEKANA TUPU, hakukuwa na kipya zaidi ya miti ileile ya kila siku, kila mmoja ukiwa mahala pake...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Katika Maisha yangu nimeona bongo movie nzuri lakini sijawahi kuona filamu nzuri ya kitanzania zaidi ya furaha iko wapi by 20%.
2 Reactions
7 Replies
6K Views
Kutoka Dstv I would rank the series kama hivi; 1. Jua kali [emoji1241] 2. Selina [emoji1139] 3. Sanura [emoji1139] 4. Kina [emoji1139] 5. Huba [emoji1241] Tanzania tuongeze juhudi, Wakenya...
0 Reactions
7 Replies
982 Views
1. I LOVE YOU – CATHOLIC MT. THERESIA Hii nyimbo kama wahusika walifanya mazoezi ndipo wakaenda shoot video basi walifanya mazoezi ipasavyo.Nimependa jinsi wanavyocheza mwanzo mpaka...
21 Reactions
80 Replies
14K Views
Tafadhalini sana wakongwe kuna wimbo uliimbwa sikumbuki kama msondo ngoma au band gani ila KIITIKIO jamaa kwa sauti kali yenye kipaji cha hali ya juu aliimba "Hili ndilo fundisho kwa wengine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huh Nina washkaji home dili ikija wanapindisha sera Inawaumiza napopiga hela Wote wanangu bado sijawahi wapinga jambo Hata wakificha Cargo Bado nawapa hi ‘cause we best friends Wapo wavivu wapatwe...
5 Reactions
1 Replies
768 Views
Kwa wasiofuatilia wanaweza kudhani Msuguano baina ya Nas na Jay Z unaendelea lakini nikuambie tu ya kuwa mtafaruk wao ulishakwisha zamani sana. Awali familia zao zilihusishwa kwenye michano na...
8 Reactions
12 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Salamu nazitia kapuni naenda moja kwa moja kwenye mada. Je, mziki wa Tanzania (BongoFleva) unaweza kutusua na kuwekewa category yake pekee kwenye platform kubwa za mziki kama Billboard Hot...
0 Reactions
0 Replies
364 Views
Kiukweli huyu jamaa anajua mnoo ameandaa tamthilia kadhaa kama vile saluni ya mama kimbo, Kombolela na sasa tamthilia ya zahanati ya kijiji. Mwisho natoa rai kwa waongozaji wengine wa tamthilia...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Wana hip hop hamjambo? Aisee hii diss ya dkk 8 ya DIZASTA VINA ni balaa, mtoto RAPCHA amechanwa mno umo ndani. Siku zingine apunguze kiherehere, maradona DIZASTA ni moto sana kwa kizazi iki kwa...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Nakumbuka kuanzia miaka ya 1990 Hadi 2006 na sita hivi, nilikuwa napenda Sana movie za kihindi... My favorite actor ni mzee mzima Sunny Deol... My favorite movie inaitwa Ziddi... Je, wewe ndugu...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za Kongo, Mfalme JEAN BEDEL MPIANA wa TSHITUKA aka PAPAA CHERII aka MUKULU aka SOUVEREIN 1er aka BIN ADAM aka LEADER CHARISMATIQUE aka MOTO PAMBA ameamua kutuzawadia...
2 Reactions
0 Replies
509 Views
MTUNZI:MSANII JOTO LA MOTO SEHEMU YA KWANZA MSITUNI-JIONI Hali ya utulivu imetawala, huku sauti za Ndege na mivumo ya matawi ya miti inayopulizwa na upepo ikisikika, mara unasikika MNGURUMO WA...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom