Msaada kwa anayeifahamu hii movie

Msaada kwa anayeifahamu hii movie

Breaking bad

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,464
Reaction score
3,495
Filamu ni ya kizungu (western).
nadhani inaweza kuwa ni horror.
plot yake ipo hivi. Ndani ya familia ya kitajiri lakini utajiri wake unaoonekana ni kwa njia ya kishirikina. Kulikuwa na kijana ndani ya ile familia nadhani ni extended family.

Yule kijana ndani ya ile familia akaoa lakini usiku ule baada ya ndoa wanafamilia wanaanza kumtafuta mke wake wakiwa na silaha ili wamuue(nadhani walimpa option akajifiche iwe kama game hivi ndani ya ile nyumba).

Nadhani hili ni sharti ili waweze ku maintain ukwasi wao.
 
Ipo na hii nimeitafuta bila mafanikio

Ni movie ya vita za kizamani(vita vya mapanga,mishale na mikuki ) Basi jamaa alipigana vita nyingi ila ile ya mwisho aliuwawa , ilikuwa hivi.

Alikutana na mzee mmoja ana kibiyongo akamuomba kujiunga na jeshi lake ambalo lilikuwa jeshi la wanajeshi shupavu wa miraba mitano siyo minne tena, sasa sterling wetu akafanya kosa moja akamuonesha yule mzee aina fulani ya dharau kwa kumtupia ngao yake nzito na kumwambia akiweza kuinyanyua atajiunga na jeshi...

Kale kazee kalishindwa kuinyanyua ile ngao basi askali wakacheka na yule mzee akatoa laana kwamba vita ijayo watakufa wote na ndivyo ilivyokuwa.

Mwishoni mwa movie Askari wote wanauawa baada ya kuzungukwa na maadui kwa mishale licha ya kuwa sterling alijitahidi kumlenga kubwa la maadui na kumpatia jeraha pembezoni mwa jicho ....na ndiyo movie yangu ya kwa kuona sterling anakufa kabla ya kubwa la maadui
 
Filamu ni ya kizungu (western).
nadhani inaweza kuwa ni horror.
plot yake ipo hivi. Ndani ya familia ya kitajiri lakini utajiri wake unaoonekana ni kwa njia ya kishirikina. Kulikuwa na kijana ndani ya ile familia nadhani ni extended family.

Yule kijana ndani ya ile familia akaoa lakini usiku ule baada ya ndoa wanafamilia wanaanza kumtafuta mke wake wakiwa na silaha ili wamuue(nadhani walimpa option akajifiche iwe kama game hivi ndani ya ile nyumba).

Nadhani hili ni sharti ili waweze ku maintain ukwasi wao.
Inaitwa READY OR NOT


Ready-Or-Not-Film-Review.jpg
 
Nyingine jamaa kaaga anaenda kupambana vitani dhidi ya taifa linalotishia uwepo wao...

Ndiyo walifanikiwa kushinda vita ile ili tatizo ni kwamba walikosea masharti kwa kuua wanawake na watoto basi askari wa sterling wote walikufa tena kwa vifo vya kuliwa na madubwana ikiwemo dubwana moja lina jicho moja ni lichungaji la kondoo ila kabla ya kutoroka walilitoboa jicho baada ya kulinyesha mvinyo.....

Walienda wengi ila alirudi mwenyewe tena aliacha mke ana mimba ila kakuta mkewe anataka kuolewa tena...
 
Ipo na hii nimeitafuta bila mafanikio

Ni movie ya vita za kizamani(vita vya mapanga,mishale na mikuki )......Basi jamaa alipigana vita nyingi ila ile ya mwisho aliuwawa , ilikuwa hivi....

alikutana na mzee mmoja ana kibiyongo akamuomba kujiunga na jeshi lake ambalo lilikuwa jeshi la wanajeshi shupavu wa miraba mitano siyo minne tena, sasa sterling wetu akafanya kosa moja akamuonesha yule mzee aina fulani ya dharau kwa kumtupia ngao yake nzito na kumwambia akiweza kuinyanyua atajiunga na jeshi...

Kale kazee kalishindwa kuinyanyua ile ngao basi askali wakacheka na yule mzee akatoa laana kwamba vita ijayo watakufa wote na ndivyo ilivyokuwa...

Mwishoni mwa movie Askari wote wanauwawa baada ya kuzungukwa na maadui kwa mishale licha ya kuwa sterling alijitahidi kumlenga kubwa la maadui na kumpatia jeraha pembezoni mwa jicho ....na ndiyo movie yangu ya kwa kuona sterling anakufa kabla ya kubwa la maadui
Jina la movie ni 300
Starling ni Gerald Butler
Bassed Iin a true event, Greece
Yule jamaa mwenye kibiyongo sio kwamba aliwapa laana, la hasha bali alienda kuwachomea kwa maadui.
300 (2006)
 
Jina la movie ni 300
Starling ni Gerald Butler
Bassed Iin a true event, Greece
Yule jamaa mwenye kibiyongo sio kwamba aliwapa laana, la hasha bali alienda kuwachomea kwa maadui.
300 (2006)
Kweli aisee nimeiona hii picha nikakumbuka ni muda eti...
enzi zile vibanda umiza niliikuta mwishoni mwishoni na huwa hawarudishi nyuma , ngoja niitafute 🙂🙂🙂
 
Kweli aisee nimeiona hii picha nikakumbuka ni muda eti...
enzi zile vibanda umiza niliikuta mwishoni mwishoni na huwa hawarudishi nyuma , ngoja niitafute 🙂🙂🙂
Ina Part Two yake, yule mwanajeshi mmoja ambaye aliumia jicho aliambiwa arudi nyumbani huku wenzao wakiendeleza harakati.
Lilikuja kuundwa jeshi lingine huko balaa
 
Kweli aisee nimeiona hii picha nikakumbuka ni muda eti...
enzi zile vibanda umiza niliikuta mwishoni mwishoni na huwa hawarudishi nyuma , ngoja niitafute [emoji846][emoji846][emoji846]
Oya mi kuna movie naitafuta jina siijui
Ila ni ya wafungwa sugu lakini gereza lao lipo angani
Ndaani ya gereza ndo kuna sterling ila kuna kajamaa kamoja kama kachizichiz hivi
Cjui kulikua na button ya kutaka kulipua gereza kakawa kanapigania sana kuibonyeza
Sema nmeiangalia kitambo nmesahau vipande vingine
 
Oya mi kuna movie naitafuta jina siijui
Ila ni ya wafungwa sugu lakini gereza lao lipo angani
Ndaani ya gereza ndo kuna sterling ila kuna kajamaa kamoja kama kachizichiz hivi
Cjui kulikua na button ya kutaka kulipua gereza kakawa kanapigania sana kuibonyeza
Sema nmeiangalia kitambo nmesahau vipande vingine
Inaitwa LOCKOUT
 
Jina la movie ni 300
Starling ni Gerald Butler
Bassed Iin a true event, Greece
Yule jamaa mwenye kibiyongo sio kwamba aliwapa laana, la hasha bali alienda kuwachomea kwa maadui.
300 (2006)
Naona unajua movie nyingi...
Naomba movie nzuri za netflix mchanganyiko ambazo ni hit za 2022
Kasoro horror
 
Nyingine jamaa kaaga anaenda kupambana vitani dhidi ya taifa linalotishia uwepo wao...

Ndiyo walifanikiwa kushinda vita ile ili tatizo ni kwamba walikosea masharti kwa kuua wanawake na watoto basi askari wa sterling wote walikufa tena kwa vifo vya kuliwa na madubwana ikiwemo dubwana moja lina jicho moja ni lichungaji la kondoo ila kabla ya kutoroka walilitoboa jicho baada ya kulinyesha mvinyo.....

Walienda wengi ila alirudi mwenyewe tena aliacha mke ana mimba ila kakuta mkewe anataka kuolewa tena...
Inaitwa Odyssey
inahusu mfalme alienda kupigana na Trojans. Sasa aliposhinda vita akamtukana mungu wa bahari, Akalaaniwa akaambiwa atateseka sana.
wakati wanarudi Kwenye nchi yao. wakasababishiwa upepo ambao ulikuwa unawasumbua sana. Lakini katika kuhangaika wakakutana na mungu wa upepo. yule mungu akamsaidia kwa kuukusanya upepo korofi na kuuweka ndani ya gudulia la maji. kisha akawaambia waende ila asilifingue hadi afile nyumbani kabisa.. Walipokuwa k kwenye mashua wamekaribia kwao wanapaona pale. maaskari wake wakaiba lile guduria lenye upepo then wakalifua yy akiwa kalala.
Kilichotokea taabu ndio kama ikawa imeanza upya maana walisombwa wakapelekwa tena mbali kabisa.


story yake kidogo inarelate na movie ya Troy iliyochezwa na Brad pitt hasa mwanzoni. Kama hukaiona troy icheki ni kali zaidi
MV5BYTI4NWZmZmQtNDY3OC00ZWQ3LWE4NjgtOGY0N2JiZTQ5YTNhXkEyXkFqcGdeQXVyMTQxNzMzNDI@._V1_.jpg
 
Safi Sanaa Huu Uzi...

Mimi kuna Movie moja nilionaga ITV zamani sana iko hivi... "kuna huyo mwamba yeye alikua msafiri, akapata kulala kwenye lodge/motel moja. Mule ndani palikua na draw/kabati hivii na akafungua ndani akakuta kakaratasi flanii kuukuu ikiwa na maandishi, alianza kuyasoma yale maandishi Na ghafla kuna mtu/mzimu akatokea basi bwana akawa rafiki yake---

Lakini ule mzimu/mtu alikua anaona yeye tu na watu wengine walikua hawauoni... Ukawa una mfanyia vituko vingi akiwa na watu wa wakawaida---

Ila mwisho sikumbuki iliishaje---
 
Back
Top Bottom