Ni Rapa gani anaweza kushindana na Eminem?

Battle za hivi sijawahi kuzielewa! lakin zaidi vijana wengi wa sasa ivi hamfahamu Music wa RAP and HIP HOP down 1998.

Tunasoma tu story, lakini kuna vichwa vilitangulia, ni kwakuwa havikupata streaming ya kutosha!

Fuatilia music wa HIP HOP, utakubaliana na mimi, ingawa naheshimu Vyanzo vinavyompa EM heshima ya kuwa ROAT ( rapper of all time)
 
EMINEM ni the most over rated rapper of all time

Kurap haraka kwa speed sio kigezo cha kuwa rapper bora abadani

Kinacho fanya watu wengi waamini Em ni rapper bora wanatumia kigezo cha mauzo....... yes Em anauza sana na anasimama sana kwenye chart kwasababu pamoja na kupata wafuasi kutoka kwa black wenye rap yao lakini anapata wafuasi wengi zaidi kutoka kwa white kuliko black rapper wanaopata kwa black wenzao tu

Kwa tunaojua rap skills Em ni rap cartoon tu na mpiga kelele

Tunapo zungumzia GOAT wa Rap walio hai tunaongelea vichwa kama
NAS Escow
Jay Z nk

Kwenye kizazi kipya tunazungumzia vichwa kama
Kendric Lamar
J Cole nk
 
EMINEM ni the most over rated rapper of all time

Kurap haraka kwa speed sio kigezo cha kuwa rapper bora abadani

Kinacho fanya watu wengi waamini Em ni rapper bora wanatumia kigezo cha mauzo....... yes Em anauza sana na anasimama sana kwenye chart kwasababu pamoja na kupata wafuasi kutoka kwa black wenye rap yao lakini anapata wafuasi wengi zaidi kutoka kwa white kuliko black rapper wanaopata kwa black wenzao tu

Kwa tunaojua rap skills Em ni rap cartoon tu na mpiga kelele

Tunapo zungumzia GOAT wa Rap walio hai tunaongelea vichwa kama
NAS Escow
Jay Z nk

Kwenye kizazi kipya tunazungumzia vichwa kama
Kendric Lamar
J Cole nk

EM anarap cartoon?
Ni nyimbo ngapi za EM unazijua mpaka uje na Conlcusion hii?
Anachujua EM ni kurap faster?
Nasi mzuri yes......ila hafikii kwa EM.
Jigga mzuri ila si kwa EM....
Mzee check mafile yako vizuri.
Eti em ni overated Aseee.....
 
EM anarap cartoon?
Ni nyimbo ngapi za EM unazijua mpaka uje na Conlcusion hii?
Anachujua EM ni kurap faster?
Nasi mzuri yes......ila hafikii kwa EM.
Jigga mzuri ila si kwa EM....
Mzee check mafile yako vizuri.
Eti em ni overated Aseee.....
Mkuu Em ni rapper mzuri sana kwa muktadha wa mauzo na audience kubwa (Black and white)
Lakini kwenye original rap skills Em ni mpiga kelele tu wakati mwingine anabebwa sana na auto tune na double voice vitu ambavyo huwezi kuvikuta kwa NAS, HOV, J COLE and the likes

Unapo zungumzia UBORA mfano wake ni kama hilo jina la ID yako ILLIMATIC
Hiyo ndio moja ya albam bora kabisa za Rap za muda wote na sio kelele za Em
Illmatic haina mauzo wa chart kama za album za Em lakini Billboard wanai regarded as the best hip hop album of all time
Wakati Rollingstone wameiweka No 44 kama album bora 500 duniani

Namuheshimu Em kwenye mauzo na chart lakini Rap ni zaidi ya ku top kwenye chart tu na kuwa na mauzo makubwa
Tafuta vyanzo credible vinavyo chambua ubora kitaaluma badala ya kuangalia mauzo na stremming
Leo hii Lil Nas X anakimbiza vibaya kwenye Hip Hop anabeba tuzo streaming usiseme shows zake ticket sold out kitambo sababu tu ni SHOGA na walaji wa muziki wa kizazi hiki wanaamini Lil Nas x is the best of the best
 
Mkuu Em ni rapper mzuri sana kwa muktadha wa mauzo na audience kubwa (Black and white)
Lakini kwenye original rap skills Em ni mpiga kelele tu wakati mwingine anabebwa sana na auto tune na double voice vitu ambavyo huwezi kuvikuta kwa NAS, HOV, J COLE and the likes

Unapo zungumzia UBORA mfano wake ni kama hilo jina la ID yako ILLIMATIC
Hiyo ndio moja ya albam bora kabisa za Rap za muda wote na sio kelele za Em
Illmatic haina mauzo wa chart kama za album za Em lakini Billboard wanai regarded as the best hip hop album of all time
Wakati Rollingstone wameiweka No 44 kama album bora 500 duniani

Namuheshimu Em kwenye mauzo na chart lakini Rap ni zaidi ya ku top kwenye chart tu na kuwa na mauzo makubwa
Tafuta vyanzo credible vinavyo chambua ubora kitaaluma badala ya kuangalia mauzo na stremming
Leo hii Lil Nas X anakimbiza vibaya anabeba tuzo streaming usiseme shows zake ticket sold out kitambo sababu tu ni SHOGA na walaji wa muziki wa kizazi hiki wanaamini Lil Nas x is the best of the best
Mkuu....
Nimewasikiliza wote, ila Nasema labda hujamsikiliza Em ipasavyo.

Anachange, anazo ladha mbali mbali.
Kuna Ngoma anakua lyrical...
Zingine anakuwa fun...
Nyingine anashow rapping skills.

Jipe homework msikilize vizuri mkuu....
Anzia Album ya recovery kushuka chini.

Haina haja ya kutafita vyanzo Em simjarate juu kwa kusoma popote ni sikio langu ndio limempa nafasi hiyo, kama kuna vyanzo vinarate wengine juu ya Em hao ni wao na siwapingi ila kwangu ni EM
 
EM anarap cartoon?
Ni nyimbo ngapi za EM unazijua mpaka uje na Conlcusion hii?
Anachujua EM ni kurap faster?
Nasi mzuri yes......ila hafikii kwa EM.
Jigga mzuri ila si kwa EM....
Mzee check mafile yako vizuri.
Eti em ni overated Aseee.....

Nakazia.

Eminem ni overrated rap cartoon, labda kwa vile sipendi rap ya kufokewa makelele ya aina yake…. sijawahi kuelewa sababu zinazombeba kwenye mauzo.
 
EM anarap cartoon?
Ni nyimbo ngapi za EM unazijua mpaka uje na Conlcusion hii?
Anachujua EM ni kurap faster?
Nasi mzuri yes......ila hafikii kwa EM.
Jigga mzuri ila si kwa EM....
Mzee check mafile yako vizuri.
Eti em ni overated Aseee.....
Kwenye album ya NAS King’s Disease 1 alimshirikisha Em kwenye wimbo wa EPMD 2
Basi kama kawaida yake Em ukimuita kwenye kolabo unaambiwa huwa anakamia vibaya sana kukufunika, hiyo imesababisha wasanii wengi kufuta verse zao na kuandika upya baada ya kusikia verse ya Em watu kama 50cent Kanye West Jay z walifanya hivyo lakini NAS hakufanya hivyo alibaki kwenye originality yake na mwisho wa siku Em akaoneka kaharibu vibaya wimbo kwa jinsi alivyo rap haraka haraka na kwa Tample za juu hadi Producer Hit Boy kulazimika kubadili beat mara 2 kwenye verse ya Em ili kwenda na rhythm ya wimbo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom