Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

. Soma kisa hiki Cha (Bint wa mfalme) Mfalme alitangaza kuwa anahitaji kijana ambae atamuoa binti yake, mfalme alikuwa akihishi uko milimani kwahiyo vijana walipewa taarifa kuwa Mfalme anamuoza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yeah unaweza sema the dangerous killer Mr keanu Reaves a.k.a John wick himself is back. Waandaaji wa filamu hii na duru za uhakika wameweka wazi kuwa baada ya kimya Cha muda mrefu, basi filamu...
10 Reactions
38 Replies
2K Views
Muziki ni njia nzuri ya kuweka akili yako imara na kukusaidia kujisikia vizuri. Wataalam wa tiba ya saikolojia wanathibitisha kuwa muziki ni tiba bora kwa magonjwa ya akili kama vile wasiwasi...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Naam Naam yeye ni zawadi ya kimwambao, binti wa pwani. Sijui nimuite malaika wa kibantu, kihabeishia au kiajemi sielewi nimuweke kundi lipi hata Unaweza kuuona uzuri wa wake pia kwa kuitazama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiernan Jarryd Forbes, ‘AKA’ alizaliwa Cape Town nchini Afrika Kusini Januari 28, 1988 na alijiingiza katika anga ya muziki mwaka 2002 alipoanzisha kundi la Hip-Hop lililoitwa Entity pamoja na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mama hey hey hey Say hey Nakupenda maa Basi njoo maa Mi kila saa kabisa kwako kichaa Girl just listen, tuishi kwama Eden Nakuweka kwenye top 10 Nadata na reception Mi nachoka hoi, pande zote...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Niite Lyrics Niite basi mpenzi uwe wangu Nikakutambulishe kwa ndugu zangu Shida zote ulizo nazo ni za kwangu Njoo home, njoo home Niite basi mpenzi uwe wangu Nikakutambulishe kwa ndugu zangu...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Msanii Nyota kutoka Nigeria, Burna Boy ameonesha hisia zake baada ya kifo cha msanii AKA ambaye aliuawa kwa kupigwa Risasi siku ya Birthday yake February 10, 2023 jiji Durban wakati akitoka...
5 Reactions
13 Replies
860 Views
Baada ya kuachia tribulation ngoma ya kumdiss rapcha naona ata ngoma zake zimeanza kupepea hewani hata wasomjua dizasta wamemjua Sasa. Hila jamaa flow yake haibadiliki ana usanii ule wa kizamani...
0 Reactions
12 Replies
909 Views
CHAPTER 1 South Tanganyika, Early 1899 An early morning, I think it was probably way too early than usual for me since the sun was barely out and shining through the thick tree that surrounded...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Mcheza bongo Mac Muga Yuko single sana Mac Muga Ukimwona mtu akijinamia kwa sababu ya maisha yamchanganya Chali wangu alizamia Kuenda kusini mwa Africa Huku pia akimchanua kwa sababu ya maisha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baby usilie Mi najua wazo lako Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie) Nenda shule kwanza Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata Usione nadharau Hata mimi nakungoja baby Candy Wala...
1 Reactions
3 Replies
487 Views
Oooh siamini Kama tuko wote Kama tuko wote Mimi na wewe Oooh siamini Kama tuko wote Kama tuko wote Mimi na wewe Wajua pendo letu lilipotoka Si mbali sana mpenzi siwezi me sema Milima na mabonde...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hellow Kataa kubali wanaume wengi wanapenda taarabu sema kwasababu tu ya jamii ilivyo mjengea mwanaume kuishi ndiyo ina mpa shida kushow love kwenye mziki huu. Na hili nimeliona kwenye sauti za...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Here they talk let ’em talk girl Now what they talk Here they talk let ’em talk girl Now what they talk Here they talk let ’em talk girl Now what they talk Here they talk let ’em talk girl Ah haa...
0 Reactions
1 Replies
601 Views
Oh yeah tmk feel this song Chege Wowo woooh woooooo Wowo woooh woooooo When I close my eyes picture yako inajirudiya ah Tena Nasita kusahau kwa matusi ulio nimwagiya ah Yaya Tena mbele za...
1 Reactions
1 Replies
859 Views
Verse 1 Mara ya mwisho mimi na wewe Kuonana kipindi kile twasoma Shule ya msingi kigoma. Najua ulinipenda Ila hukutaka penzi kulilinda. Ungesema mapema Iliniuma sana. Mimi leo niko Dar...
0 Reactions
2 Replies
563 Views
Mwaka huu kuna muvi kali zimetoka ila watu wanashindwa kuziangalia kutokana na kushindwa kuziaccess kwenye internet au kwa kutozijua Leo naleta muvi chache tu na kama una zako nawe tupia hapo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Naomba kufahamu wimbo unaohit kwa sasa wa Chibu Dangote. Sababu za kuuliza swali langu ni huu mfululizo anaoufanya kuachia nyimbo kama fungu la.mchicha. Itakuwa vyema kuwa na chati ya TopHit kwa...
1 Reactions
6 Replies
760 Views
Saa saba juu ya alama saa nikiitazama Nimeshaachana na Jacki sasa namfata Salama Saa kumi na mbili n'na appointment mademu wawili Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili Jenny wa Mikocheni ambae...
13 Reactions
26 Replies
1K Views
Back
Top Bottom