Binafsi nikiwa kijiweni kwangu napendelea kuweka mix kali kwani zinanifanya nifanye kazi bila kuchoka kwavile napenda sana muziki, napendelea zaidi muziki mzuri uliomiksiwa na madj wakali kuliko...
Abdallah, Hasara Roho, D Timing, mtoto wa Kusini, mtoto wa Kiwalani, MTOTO WA MASKANI??
Mara ya kwanza nilimsikia kwenye ngoma yake iliyoitwa "Uwe Wangu" akimshirikisha Dully Sykes kwenye chorus...
SIMULIZI; I LOVE MY TWINS (NAWAPENDA MAPACHA WANGU)
MWANZO.
Dunia nzima ilisimama kushuhudia tukio la ugawaji wa tuzo kubwa za muziki zilizotolewa na kampuni kubwa ya utangazaji ya MTV yenye...
Mtangazaji #NickCannon akifanya mahojiano na kipindi cha #EntertainmentTonight, amesema suala la idadi ya Watoto halimhusu yeye na hivyo hawezi kusema kama amefikia mwisho wa kupata wengine...
Licha ya kuteuliwa kuwania Tuzo ya GRAMMY mara 10, Nicki Minaj hajawahi kupata tuzo hiyo, Snoop Dogg ameteuliwa mara 20, Katy Perry (13), Jennifer Lopez (2), Busta Rhymes (12) na Miley Cyrus (2)...
Simulizi: 𝐊𝐀𝐑𝐀𝐍𝐈
Mtunzi: Saul David
WhatsApp: 0756862047
Sehemu ya...........01
𝐌𝐖𝐀𝐍𝐙𝐎
Wingu kubwa jeusi, radi na miungurumo ya hapa na pale ilikuwa imeshika kasi na kufunika mlima mkubwa maarufu...
Mzuqa wanaJF!
Nikutulia tu ndani nakuwa entertained Na movie Na JamiiForums.
Kwa wale mashabiki wa movies ningependa muiangalie hi movie ya Zombie. Mimi siyo shabiki mkubwa ya movie za zombie...
Ni kawaida sana na hii ipo duniani kote ,hata huko Marekani ipo sana,msanii au kundi la muziki kuja na wimbo mmoja unabamba kisha baada ya hapo wanapotea au wanatoa zingine ila zinashindwa kubamba...
JOACHIM MARUNDA KIMARYO, MASTER JAY "MJ" MASTER MASTER TU!!!
Ukiachana na kumwona magazetini, kwa mara ya kwanza, nilimwona angalau katika picha jongefu kwenye video ya SINTOBADILIKA ya MIKE T...
Salaam...
A mystery film is a genre of film that revolves around the solution of a problem or a crime. It focuses on the efforts of the detective, private investigator or amateur sleuth to solve...
Wakuu ifuatayo ni orodha ya ma rappers wa kike bora kuwahi kutokea walioendesha mapambano ya mziki wetu huu
Nick minaj
Miss Elliott
Lil Kim
Queen Latifah
Lauryn hill
Hamna ubishi hapa...
R. Kelly amehukumiwa kifungo kingine cha miaka 20 huko Chicago kwa kesi yake ya uhalifu wa ngono ya mtungo.
Mwimbaji huyo alikuwa katika mahakama ya shirikisho huko Illinois ambapo miaka 19 kati...
Habari za asubuhi waungwana. Ni siku mpya tena ya kuwajibika.
Leo nimeamka na mzuka wa kusikiliza nyimbo za huyu mwamba, aliyetikisa miaka ya 90. Alibamba na nyimbo kama Elizabeth, inde monie...
Wadau wa michezo, weekend hii tutashuhudia game za kibabe katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika sambamba na ile ya Kombe la Shirikisho.
Pamoja na kuwa game nyingi ila hapa mimi nitajikita katika...
Hope wote mmeamka salama.Kwa wale wenye changamoto poleni.Mungu awe faraja kwenu.
Mimi ni mpenzi sana wa kusoma historia mbalimbali hasa hasa zinazoohusu OPERATIONS ZA KIJASUSI.Saivi nipo likizo...
Nilimfahamu gafla bin vuu kupitia Rafik yangu (kibandike), wengi tulipenda kumwita aa Kiba.
Gafla bin vuu ana Mixtape 3
Ujio wa mimi na upweke
Mapishi ya Upendo
Zamani July
Nyimbo zake nyingi...
Aisha, Aisha, Aisha
Mzuri kama kachorwa
Body kakupa Mola
I'm like my oh my
Macho yake yanavyong'aa
Just like a candle light
Lips zake zilivyo lowa
Akizing'ata, like my oh my
Ngozi yake...
Ukweli japo ni mchungu lakini ni tiba tosha ya maradhi ndugu zetu wa upande wa pili yaani Simba SC kuna kitu kinachowatafuna ambacho mpaka sasa hawakijui wanakimbilia kuwatuhumu makocha, wachezaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.