Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Binafsi nikiwa kijiweni kwangu napendelea kuweka mix kali kwani zinanifanya nifanye kazi bila kuchoka kwavile napenda sana muziki, napendelea zaidi muziki mzuri uliomiksiwa na madj wakali kuliko...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Abdallah, Hasara Roho, D Timing, mtoto wa Kusini, mtoto wa Kiwalani, MTOTO WA MASKANI?? Mara ya kwanza nilimsikia kwenye ngoma yake iliyoitwa "Uwe Wangu" akimshirikisha Dully Sykes kwenye chorus...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
SIMULIZI; I LOVE MY TWINS (NAWAPENDA MAPACHA WANGU) MWANZO. Dunia nzima ilisimama kushuhudia tukio la ugawaji wa tuzo kubwa za muziki zilizotolewa na kampuni kubwa ya utangazaji ya MTV yenye...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mtangazaji #NickCannon akifanya mahojiano na kipindi cha #EntertainmentTonight, amesema suala la idadi ya Watoto halimhusu yeye na hivyo hawezi kusema kama amefikia mwisho wa kupata wengine...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Licha ya kuteuliwa kuwania Tuzo ya GRAMMY mara 10, Nicki Minaj hajawahi kupata tuzo hiyo, Snoop Dogg ameteuliwa mara 20, Katy Perry (13), Jennifer Lopez (2), Busta Rhymes (12) na Miley Cyrus (2)...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Simulizi: 𝐊𝐀𝐑𝐀𝐍𝐈 Mtunzi: Saul David WhatsApp: 0756862047 Sehemu ya...........01 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐙𝐎 Wingu kubwa jeusi, radi na miungurumo ya hapa na pale ilikuwa imeshika kasi na kufunika mlima mkubwa maarufu...
0 Reactions
21 Replies
26K Views
Mzuqa wanaJF! Nikutulia tu ndani nakuwa entertained Na movie Na JamiiForums. Kwa wale mashabiki wa movies ningependa muiangalie hi movie ya Zombie. Mimi siyo shabiki mkubwa ya movie za zombie...
4 Reactions
29 Replies
7K Views
Ni kawaida sana na hii ipo duniani kote ,hata huko Marekani ipo sana,msanii au kundi la muziki kuja na wimbo mmoja unabamba kisha baada ya hapo wanapotea au wanatoa zingine ila zinashindwa kubamba...
13 Reactions
554 Replies
99K Views
JOACHIM MARUNDA KIMARYO, MASTER JAY "MJ" MASTER MASTER TU!!! Ukiachana na kumwona magazetini, kwa mara ya kwanza, nilimwona angalau katika picha jongefu kwenye video ya SINTOBADILIKA ya MIKE T...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaam... A mystery film is a genre of film that revolves around the solution of a problem or a crime. It focuses on the efforts of the detective, private investigator or amateur sleuth to solve...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Ni nyimbo za aina gani nzuri kujiliwaza unapokua upo mpweke na mwenye maumivu ya kuachwa[emoji17] [emoji17] .... Wakuu
11 Reactions
313 Replies
78K Views
Wakuu ifuatayo ni orodha ya ma rappers wa kike bora kuwahi kutokea walioendesha mapambano ya mziki wetu huu Nick minaj Miss Elliott Lil Kim Queen Latifah Lauryn hill Hamna ubishi hapa...
1 Reactions
17 Replies
729 Views
R. Kelly amehukumiwa kifungo kingine cha miaka 20 huko Chicago kwa kesi yake ya uhalifu wa ngono ya mtungo. Mwimbaji huyo alikuwa katika mahakama ya shirikisho huko Illinois ambapo miaka 19 kati...
4 Reactions
65 Replies
4K Views
Habari za asubuhi waungwana. Ni siku mpya tena ya kuwajibika. Leo nimeamka na mzuka wa kusikiliza nyimbo za huyu mwamba, aliyetikisa miaka ya 90. Alibamba na nyimbo kama Elizabeth, inde monie...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau wa michezo, weekend hii tutashuhudia game za kibabe katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika sambamba na ile ya Kombe la Shirikisho. Pamoja na kuwa game nyingi ila hapa mimi nitajikita katika...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Hope wote mmeamka salama.Kwa wale wenye changamoto poleni.Mungu awe faraja kwenu. Mimi ni mpenzi sana wa kusoma historia mbalimbali hasa hasa zinazoohusu OPERATIONS ZA KIJASUSI.Saivi nipo likizo...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nilimfahamu gafla bin vuu kupitia Rafik yangu (kibandike), wengi tulipenda kumwita aa Kiba. Gafla bin vuu ana Mixtape 3 Ujio wa mimi na upweke Mapishi ya Upendo Zamani July Nyimbo zake nyingi...
0 Reactions
3 Replies
914 Views
Aisha, Aisha, Aisha Mzuri kama kachorwa Body kakupa Mola I'm like my oh my Macho yake yanavyong'aa Just like a candle light Lips zake zilivyo lowa Akizing'ata, like my oh my Ngozi yake...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukweli japo ni mchungu lakini ni tiba tosha ya maradhi ndugu zetu wa upande wa pili yaani Simba SC kuna kitu kinachowatafuna ambacho mpaka sasa hawakijui wanakimbilia kuwatuhumu makocha, wachezaji...
1 Reactions
2 Replies
406 Views
Back
Top Bottom