Peace be upon you all sons of Zion.
Baba alipomuoa huyu mwanamke na kua mama yetu wa kambo tangu mwanzo nilijua hana nia njema na sisi, kwa kumuangalia tu macho yake niliona kuna jambo haliko...
Ipp Media na Clouds Media uzeni kampuni zenu kwa wawekezaji vijana wafumue na kuunda upya vituo vyenye muonekano wa kushawishi vijana kutazama channel zenu kwasababu mpo kizee sana channel zenu...
Habarini ya jumapili.
Mimi ni mpenzi sana wa muziki wa taarab asilia. Kwa tafsiri nyepesi, taarab asilia ni muziki wa taarab ulioanza toka miaka ya 1940 hadi hadi miaka ya 1990 mwishoni au 2000...
Wakuu salama,
Katika pitapita ya nyuzi mbalimbali kuna uzi fulani siukumbuki ila kuna mdau alikoment audio yenye hili shairi, hili shairi nimelisikiliza mara nyigi sana na lina ujumbe mzuri sana...
Wakuu hii ndo list ya movie za zilizoandaliwa na director mkali James Cameron
[emoji419]avatar:the way of water
[emoji419]true lies
[emoji419]titanic
[emoji419]avatar
[emoji419]entourage...
SEHEMU YA 01:
Siku hiyo mvua ilinyesha sana halafu shuleni kulikuwa na mitihani na mama alinitaka nirudi nyumbani kufanya kazi fulani, kwa hiyo nikaamua kumfuata mwalimu mkuu ambaye alikuwa...
After barely surviving his previous mission, Tyler Rake retires from mercenary work to a cabin in Austria, where he is approached by a stranger and asked to rescue his ex-wife Mia's sister Ketevan...
Katika kujaribujaribu kuangalia Movie ili kupata burudani, elimu au kupitisha wakati nimekuwa nikiziangalia movie tofautitofauti lakini nilikuja kukutana na hii The Walking Dead
Nimeipenda na...
Nilianza kumuona kwenye saga maarufu za fast & furious. Bt sikumtilia mkazo sana maana nilikuwa kama namuona mzembe mzembe fulani hivi.
Siku ya jana ndio nikadaka movie moja inaitwa "Army of...
RIWAYA: KIROBA CHEUSI
MTUNZI: LAURA PETTIE
SEHEMU YA KWANZA
1
PALISHAKUCHA.
Pakuche mara ngapi?
Ni vile tu huyu Morena alilala chakari. Asubuhi hii ya saa nne, kwake ilikuwa ingali liamba. Alilala...
Hii ndo list Kali inayotamba kwasasa kwenye playlist yangu ya bongo flavor(kizazi cha Sasa tu), list ipo ndani ya hiyo miaka haitatoka nje!.
tulieni tuwafundishe mziki kwa wale msiojua mziki...
Kila nikiangalia hii video nafurahi, yule dada aliweza kuinogesha, haimaanishi kuna cha ajabu amekifanya ila mimi naona kuna cha utofauti na mavideo queen wengi tunao waona.
.
Naomba kuuliza ni...
yangasc
THANK YOU @miltonnienov
Tunamshukuru Kocha wa magolikipa Milton kwa mchango wake katika kipindi chote alichofanya kazi kwenye benchi la ufundi la Klabu yetu na tunamtakia kila la kheri...
DEAR SON#
Nilipanga uje mapema iLa mipango ya Mungu na..
Ni kweli nilitafuta kwa jasho na ulikuja kwa uchungu na..
Muda ni asset ila haidumu na inakuja kimafungu..
kama kuna kosa kubwa nilifanya...
DEAR SON#
Nilipanga uje mapema iLa mipango ya Mungu na..
Ni kweli nilitafuta kwa jasho na ulikuja kwa uchungu na..
Muda ni asset ila haidumu na inakuja kimafungu..
kama kuna kosa kubwa nilifanya...
MAPICHA YANGU...
THE RAP MONSTER, LYATUU
Ee bwana weee! Huyu niliye naye pichani alikuwa bonge la mtu kwenye rap na mwonekano wake.
Picha linaanza, jamaa ni mtu wa chuga, rudi nyuma mpaka kwa...