Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,810
- 40,562
Nilianza kumuona kwenye saga maarufu za fast & furious. Bt sikumtilia mkazo sana maana nilikuwa kama namuona mzembe mzembe fulani hivi.
Siku ya jana ndio nikadaka movie moja inaitwa "Army of thieves" Wakati nawekewa sikuitilia mkazo sana niliona tu acha nikapoteze potezee muda. Maana aliyenipa hakuwa na movie nyingi na nyingi nilishaziona alizokuwa nazo yeye.
Sasa kiukweli nimeona anajua sana maana yeye ndiye alikuwa muhisika mkuu. Ukiondoa kuwa ni pisi kali😄 Ila movie kwangu nimeona kaitendea haki. Hata kwenye kipande kidogo cha kutumia mkono hakuniangusha.
Movie inahusu wizi wa kutumia akili. imetoka mwaka juzi 2021.
Ikabidi nimgoogle kujua movie zake nyingine, nikakutana pia na "Maze runner".
Anaitwa Nathalie Emmanuel.
Siku ya jana ndio nikadaka movie moja inaitwa "Army of thieves" Wakati nawekewa sikuitilia mkazo sana niliona tu acha nikapoteze potezee muda. Maana aliyenipa hakuwa na movie nyingi na nyingi nilishaziona alizokuwa nazo yeye.
Sasa kiukweli nimeona anajua sana maana yeye ndiye alikuwa muhisika mkuu. Ukiondoa kuwa ni pisi kali😄 Ila movie kwangu nimeona kaitendea haki. Hata kwenye kipande kidogo cha kutumia mkono hakuniangusha.
Movie inahusu wizi wa kutumia akili. imetoka mwaka juzi 2021.
Ikabidi nimgoogle kujua movie zake nyingine, nikakutana pia na "Maze runner".
Anaitwa Nathalie Emmanuel.