Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mwaka 2009 Abdallah Khamis(mchezaji mpya wa simba) alimaliza kidato cha nne na mdogo wangu Nkende Sec kule Tarime mjini. Kipindi hicho alikuwa anacheza ligi ya wilaya na mkoa kupitia timu ya...
1 Reactions
5 Replies
929 Views
Wakuu Tangu muziki huu ulipoanza kusikika nchini kutokea huko south Africa. Sasa imekuwa fashion kila wimbo unaotoka basi jua ni amapiano tu na tumezoea imekuwa kawaida kabisa.! Mpaka wazee nao...
1 Reactions
1 Replies
497 Views
SIMULIZI; NIFE AU NIENDE GEREZANi MTUNZI:Alli H MWANDISHI: Intelligent businessman SEHEMU YA 01 Ubaridi ulikuwa ukiingia mwilini utadhani nilikuwa nimeingia kwenye...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwenye nyimbo ya Mbosso " AMEPOTEA" Na kamtaja huyu mwamba mwana wa Rajabu, je huyu ni nani? Wenye kujua tupeni elimu
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifuatilia sana Mtangazaji wa TBC Taifa, Manju wa Muziki Masoud Masoud akielezea historia ya Muziki wa Tanzania, anauliza uu wapi Muziki wa Kitanzania kwenye Mizania ya Kimataifa...
0 Reactions
7 Replies
803 Views
Salaam wakuu. Jana nilikuwa msibani, kuna wimbo niliusikia melody na mashairi yake yalinivutia. Bahati mbaya nimeufuta kimakosa baada ya kurekodi. Baadhi ya maneno yake ni 'Mwamini Mungu ewe...
2 Reactions
3 Replies
994 Views
Najiulizi huyu mwamba ana trend Africa nzima na nje ya Africa anapagawisha sana watu, mimi nimejaribu kusikiliza nyimbo zake naona hata hazina mvuto kabisa lakini amepanda kuwa ndiye Giant kuliko...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Anaandika KENGE, Kama wewe ni mfatiliaji mzuri wa movies hasa izi genre za Action,war based au millitary.Utakubaliana na kenge kwamba zinafanana sana content.Yani storyline inakua hivi...Unakuta...
12 Reactions
79 Replies
7K Views
Sehemu ya 1 Mimi ni mfanyakazi katika taasisi mojawapo iliyopo chini ya wizara ya elimu iliyoko nje kidogo ya jiji la Arusha (Tengeru). Makazi yangu yapo jijini Arusha. Muda mrefu nimekuwa...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Nawapa hi! members wote wa Jf hasa wana "Entertainment", matumaini yangu muwazima wa afya kabisa kwa wale waliokumbwa na matatizo hapa karibuni hasa hasa moto wa eneo la Kariakoo na matatizo...
2 Reactions
34 Replies
6K Views
Jamanieee, nitapata wapi hii tamthilia? Naona hata azam wenyewe hawajaweka namna ya kuipata hata kwa kulipia. Je, kuna anaejua au alienayo aniuzie?
1 Reactions
3 Replies
918 Views
Yanayoendelea kwenye tasnia ya Musiki Tanzania naona wasanii wanaturudisha miaka 10+ iliyopita. Teams na ushabiki usio na tija unapewa kipaumbele sana balada ya kusongesha mziki kimatafa...
1 Reactions
1 Replies
966 Views
Salaam wanabodi Aisee katika pitapita za mjini nikakutana na zile Gereji za barabarani. Yaani magari yanapaki beside barabara na fundi gereji wanaendelea na matengenezo kama kawaida. Sasa mimi...
11 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari ya kila movie watu wema kushinda inakera sana wakati mwingine. Maisha hayako hivyo kabisa. Na sometimes unakuta adui anapambania dili lake lifanikishe mara anatokea "mtu mwema" na...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Hivi aina hii ya music maDJ nani kawadanganya kila mtu anaipenda? Mnadhan kila mtu anavutiwa na ujinga wa hizo viral za tiktok? Nipo sehemu moja hapa naandika kwa uchungu sana sababu DJ toka saa...
1 Reactions
2 Replies
856 Views
RIWAYA: UFUKWE WA MADAGASCAR Mtunzi: Kelvin Mponda SEHEMU: 2 Begi langu dogo la mgongoni lenye mifuko mingi yenye vipenyo tofauti ambapo mle ndani pia niliweka nguo zangu chache muhimu za...
5 Reactions
341 Replies
140K Views
Naona alosto zimezidi. Nimeona nirushe adithi ambayo bado mtunzi anaishusha taratibu. Mara moja kwa wiki. Kumbukeni huyu ni mwandishi mahili wa vitabu kama;Tai kwenye mzoga,Mifupa 206 na Ufukwe wa...
7 Reactions
129 Replies
58K Views
Nimawasalimia wana JF wote. Leo nimeona niweze kuelezea mambo muhimu sana ya nchi niliyoweza kuyapata miaka ya 90s. Miaka hiyo nilitokea kumpenda mtoto mmoja wa kike jina lake akiitwa Misoji...
9 Reactions
38 Replies
4K Views
Wiki hii kule Twitter kumekuwa na mjadala mkubwa sana, Moja ya Page ya Twitter ya Kinaijeria imemshutumu Msanii Mkubwa kuwa Nigeria ndio imempa umaarufu kupitia namna anavyokopi Sound ya Miziki...
0 Reactions
1 Replies
465 Views
1. Liberation 2. Serge Palmi Kama Wewe ni Mpenzi wa Miziki ya Congo DR hasa Bendi yangu pendwa na tukuka ya Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana na hujazisikiliza hizi Nyimbo Mbili Tamu katika Album...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…