Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Je, wajua "The Gods must be Crazy Movie" Muigizaji mkuu wa "The Gods Must Be Crazy", N!xau Toma, alilipwa $300 pekee, ingawa filamu iliyotayarishwa mwaka wa 1980 ilitengeneza zaidi ya $200...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nisipoteze muda, moja kwa moja kwenye mada. Beat hiyo hapo chini kwa wajuzi unaweza kusikiliza na kutoa feedback, wapi hapako sawa, wapi na nini kimevuruga, nini niongeze na nini nipunguze nk...
1 Reactions
12 Replies
867 Views
Habari zenu waungwana. Nilikua naomba wimbo unaopigwa kwenye misiba ndani ya tamthilia ya huba dstv 160 Natanguliza shukrani
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wasalaam, Muziki au matangazo ya kibiashara ni vitu vinaweza kutukumbusha hazina ya muda na mambo mazuri tuliwahi kuwa nayo zamani Binafsi siwezi kulisahau tangazo la dawa ya kuzibia pancha...
8 Reactions
117 Replies
10K Views
Nakumbuka mara ya kwanza kuona tamthiliya ya Iris ilikuwa ni ITV pale mwaka 2013 kama sio 2014 kipindi hicho hata smartphone sina. Nilivyoiona tu mara ya kwanza sijui ilikuwaje lakini tangu hapo...
28 Reactions
60 Replies
12K Views
Uzi maalum Kwa ajili tamthilia ya Unfaithful, Ripoti, Juakali, Huba n.k Uzi tayari # kukumsela
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa, kwamba Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemtumia Barua ya wito TRUE BOY likimuhitaji kwa Mahojiano kuhusu Kibao chake kabambe alichokitoa hivi karibuni, bado...
22 Reactions
55 Replies
6K Views
Story inahusisha jamaa wanne na mdada mmoja, kwa pamoja wanakuwa MTU TANO. Jamaa walijihusisha na utoaji wa misaada kwa jamii, si kanisani wala misikitini, kote walialikwa na huko walitoa pesa na...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Nyota zote za angani, zimulike pendo lake Ndege wote wa nyikani, waliimbe jina lake Vipepeo wa kondeni, wasifu uzuri wake Kanifumbata rohoni, mimi kinda mbele yake Mbingu zitamuangaza, maisha...
1 Reactions
6 Replies
758 Views
Hawa jamaa wamejitoa mhanga haswa maana kwa Africa ukiwa mkweli wewe ni adui. Hawa jamaa wamekuwa wakweli sana katika kufumua maovu na uchafu unaifanywa na hawa wachumia tumbo. Hio ndio maana...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Huu ni uzi wa mashari ya nyimbo za zamani zilizoimbwa na bendi za hapa nyumbani na zikapendwa sana na mpaka sasa zinapendwa. Karibuni tujumuike
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Sijui nitaupataje. Unaimbwa na kwaya za kilutheri. Haya ni baadhi ya maneno: "Imetupasa kushukuru mno kwa neema yake....mimi na wewe leo wazima, hiyo ni neema...wenzetu hawapo wamekosa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za muda Huu wanajamvi Kuna Nyimbo Jina na mwimbaji nimeisahau ni ya muda Kidogo video inaponyesha jamaa na mpenzi wake wameshika mtutu wa bunduki (AK 47) then jamaa anarap ni bonge Moja...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
WAKUU Nilikua natafuta SOUNDTRACK ya movie ya MY DARLING ya Mussa Banzi ndani ya ile movie kaimba yule KIPOFU aliitwa TAFU Eeebwana eeeh lile Beat sijui alinyonga P FUNK MAJANI Maana ni balaa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari nahitaji hizi sebene aliyekuwa nazo anitumie ya kwanza kisanola ya koffi olomide ya pili ulaya ulaya ya twanga pepeta naomba kuwasilisha
0 Reactions
1 Replies
4K Views
WIMBO: 𝙄𝘿𝘼 MWIMBAJI: 𝙁𝙍𝘼𝙉𝘾𝙊 𝘼𝙉𝘿 𝙏𝙋𝙊𝙆 𝙅𝘼𝙕𝙕 - TAFSIRI : 𝙎𝙐𝙇𝙀 𝙈𝙆𝘼𝙉𝘿𝘼𝙍𝘼𝙎𝙄 ************************* Ndenge toyokanaki ngai na yo e ndenge tolakanaki ngai na yo e Ata ko nasali mabe oh Okoki...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Aisee sikuwahi kujua kama wimbo wa Maria ulioimbwa na mwanamuziki Fally Ipupa umetoka miaka 4 iliyopita,mimi nilipousikia mwaka huu na ulipovuma sana nikadhani ni wimbo mpya kumbe ushakula chumvi...
1 Reactions
3 Replies
554 Views
Kwanza naunga mkono uwekezaji katika bandari yetu, lakini sio kwa mkataba huu, naomba kasoro zirekebishwe. Niende moja moja kwenye mada. Nimeangalia na kufuatilia series na movie nyingi za...
12 Reactions
41 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…